Amosi 1 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 1:1-15

11:1 2Sam 14:2; Zek 14:5; 2Fal 14:21-23; Hos 1:1; 2Nya 11:6; Za 78:70; 2Nya 26:23Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.

21:2 Isa 42:13; Yoe 3:16; Amo 9:3; Yer 12:4; Za 29:3Alisema:

Bwana ananguruma toka Sayuni,

pia ananguruma kutoka Yerusalemu;

malisho ya wachunga wanyama yanakauka,

kilele cha Karmeli kinanyauka.”

Hukumu Juu Ya Majirani Wa Israeli

31:3 Isa 8:4; 7:9; 17:1-3; 8:4; 2Fal 10:33; Amo 2:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Dameski,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu aliipura Gileadi

kwa vyombo vya chuma vyenye meno.

41:4 Eze 30:8; Yer 17:27; 49:23-27; 1Fal 20:1; 19:17; 2Fal 6:24Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli

ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.

51:5 Yer 51:30; 49:27; Isa 7:1, 16; 22:6; Zek 9:1; 2Fal 16:9Nitalivunja lango la Dameski;

nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni,1:5 Bonde la Aveni maana yake Bonde la Uovu.

na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni.

Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,”

asema Bwana.

61:6 2Nya 28:18; 1Sam 6:17; Mwa 10:19; 14:6; Oba 1:11; Sef 2:4Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Gaza,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima

na kuwauza kwa Edomu,

71:7 2Fal 18:8nitatuma moto juu ya kuta za Gaza

ambao utateketeza ngome zake.

81:8 2Nya 26:6; Za 81:14; Eze 25:16; Isa 14:28-32; 34:8; Sef 2:4-7Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi

na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni.

Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,

hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,”

asema Bwana Mwenyezi.

91:9 Isa 23:1-18; 1Fal 5:12; 9:11-14; Yer 25:22; Yoe 3:4Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Tiro,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu,

na kutokujali mapatano ya undugu,

101:10 Yer 47:6; Eze 26:2-4; Isa 23:1-18; 34:8; Zek 9:1-4Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro

ambao utateketeza ngome zake.”

111:11 Yer 49:7-22; Eze 25:12-14; Zek 1:15; Mal 1:4; Za 83:6; Hes 20:14-21; 2Nya 28:17Hili ndilo Bwana asemalo:

“Kwa dhambi tatu za Edomu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga,

alikataa kuonyesha huruma yoyote,

kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote

na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.

121:12 Mwa 36:11-15; Mao 1:9-10; Isa 34:5; 63:1-6; Eze 25:12-14; Mal 1:2-5Nitatuma moto juu ya Temani

ambao utateketeza ngome za Bosra.”

131:13 Mwa 19:38; 34:29; Yer 49:1-6; 2Fal 8:12; Hos 13:16; Eze 21:28Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Amoni,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi

ili kuongeza mipaka yake.

141:14 Kum 3:11; Ay 39:25; Eze 25:5; Amo 2:2; Isa 30:30; Yer 23:19Nitatuma moto kwenye kuta za Raba

ambao utateketeza ngome zake

katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano,

katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.

151:15 Yer 25:21; 49:1-3; Eze 21:28-32; 25:2-7; 1Nya 20:1Mfalme wake atakwenda uhamishoni,

yeye pamoja na maafisa wake,”

asema Bwana.

Swedish Contemporary Bible

Amos 1:1-15

Guds dom över Israels grannfolk

1Detta är Amos ord, som var en av herdarna från Tekoa, vad han såg angående Israel, när Ussia var kung i Juda och Jerobeam, Joashs son, var kung i Israel, två år före jordbävningen1:1 Se Sak 14:5..

2Amos sa:

Herren ryter från Sion,

från Jerusalem dånar hans röst.

Herdarnas betesmarker vissnar

och Karmels topp torkar bort.”

3Så säger Herren:

”För Damaskus tre, ja, fyra överträdelsers skull

kan jag inte låta bli att agera,

eftersom de med trösksläden av järn

har krossat Gilead.

4Jag ska sända eld mot Hasaels slott,

och den ska förtära Ben-Hadads fästningar.

5Jag ska bryta sönder bommen i Damaskus

och utplåna den som bor i Bikat-Aven

och den som bär spiran i Bet Eden.

Arams folk ska föras bort till Kir, säger Herren.”

6Så säger Herren:

”För Gazas tre, ja, fyra överträdelsers skull

kan jag inte låta bli att agera,

eftersom de fört bort hela samhällen till exil

och sålt dem till Edom.

7Jag ska sända eld mot Gazas mur,

och den ska förtära dess fästningar.

8Jag ska utplåna den som bor i Ashdod

och den som bär spiran i Ashkelon.

Jag ska vända mig mot Ekron,

tills filistéerna är döda till sista man, säger Herren, Herren.”

9Så säger Herren:

”För Tyros tre, ja, fyra överträdelsers skull

kan jag inte låta bli att agera,

eftersom de har sålt hela samhällen åt Edom

och inte tänkt på sitt broderskapsförbund.

10Jag ska sända eld mot Tyros mur,

och den ska förtära dess fästningar.”

11Så säger Herren:

”För Edoms tre, ja, fyra överträdelsers skull

kan jag inte låta bli att agera,

eftersom han har förföljt sin bror med svärd

och förkvävt sin barmhärtighet,

låtit sin vrede ständigt brinna

och sitt raseri fortsätta okontrollerat.

12Jag ska sända eld mot Teman,

och den ska förtära Bosras fästningar.”

13Så säger Herren:

”För Ammons tre, ja, fyra överträdelsers skull

kan jag inte låta bli att agera,

eftersom de skurit upp gravida kvinnor i Gilead,

då de ville utvidga sina gränser.

14Därför ska jag sätta eld på Rabbas mur,

och den ska förtära dess fästningar

under krigsrop på stridens dag,

under en våldsam vind på stormens dag.

15Deras kung måste gå till exil,

han och hans furstar tillsammans, säger Herren.”