3 Yohana 1 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

3 Yohana 1:1-15

Salamu

11:1 Mdo 11:30; 2Yn 1Mzee:

Kwa Gayo rafiki yangu, nimpendaye katika kweli.

Gayo Anasifiwa Kwa Ajili Ya Ukarimu Wake

21:2 2Yn 4Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema kama vile roho yako ifanikiwavyo. 31:3 Mdo 1:16; 2Yn 4Ilinifurahisha sana baadhi ya ndugu walipokuja na kutueleza juu ya uaminifu wako katika kweli na jinsi unavyoendelea kuenenda katika hiyo kweli. 41:4 1Kor 4:14; 1Yn 1:2Sina furaha kubwa kuliko hii, kusikia kwamba watoto wangu wanaenenda katika kweli.

51:5 Rum 12:13Rafiki mpendwa, wewe ni mwaminifu kwa yale unayowatendea ndugu, ingawa wao ni wageni kwako. 61:6 1Kor 16:11; 2Kor 1:16; Efe 4:1Wameshuhudia kuhusu upendo wako mbele ya kanisa. Utafanya vyema ukiwasafirisha kama inavyostahili kwa Mungu. 71:7 Yn 15:21; Mdo 20:33, 35Ilikuwa ni kwa ajili ya hilo Jina waliondoka, bila kukubali kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini. 81:8 Ebr 13:2; 2Yn 10Kwa hiyo imetupasa sisi kuonyesha ukarimu kwa watu kama hao ili tuweze kutenda kazi pamoja kwa ajili ya kweli.

Deotrefe

9Nililiandikia kanisa, lakini Deotrefe, yeye apendaye kujifanya wa kwanza, hakubali mamlaka yetu. 101:10 3Yn 14; 2Yn 5; Yn 9:22, 34Hivyo kama nikija, nitakumbuka matendo yake atendayo, akitusingizia kwa maneno ya hila. Wala hatosheki na hayo anayotusingizia, bali pia hukataa kuwakaribisha ndugu, na hata huwazuia wale walio tayari kufanya hivyo na kuwafukuza watoke kanisani.

Demetrio

111:11 Za 34:14; 37:27; 1Yn 2:29; 3:6, 9, 10Rafiki mpendwa, usiige lile lililo baya bali lile lililo jema. Yeyote atendaye mema atoka kwa Mungu, bali atendaye mabaya hajamwona Mungu.

121:12 Yn 19:39; 21:24Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu Demetrio, vivyo hivyo hata na hiyo kweli yenyewe. Sisi pia twashuhudia mema juu yake, nanyi mwajua kwamba ushuhuda wetu ni kweli.

Salamu Za Mwisho

131:13 2Yn 12Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino. 141:14 2Yn 12; Rum 1:7; Efe 6:23; Yn 10:3Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana.

15Amani iwe kwako. Rafiki zetu walioko hapa wanakusalimu. Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila mmoja kwa jina lake.

Nova Versão Internacional

3 João 1:1-15

1O presbítero,

ao amado Gaio, a quem amo na verdade.

2Amado, oro para que você tenha boa saúde e tudo corra bem, assim como vai bem a sua alma. 3Muito me alegrei ao receber a visita de alguns irmãos que falaram a respeito da sua fidelidade, de como você continua andando na verdade. 4Não tenho alegria maior do que ouvir que meus filhos estão andando na verdade.

5Amado, você é fiel no que está fazendo pelos irmãos, apesar de não os conhecer. 6Eles falaram à igreja a respeito desse seu amor. Você fará bem se os encaminhar em sua viagem de modo agradável a Deus, 7pois foi por causa do Nome que eles saíram, sem receber ajuda alguma dos gentios7 Isto é, dos que não são judeus.. 8É, pois, nosso dever receber com hospitalidade irmãos como esses, para que nos tornemos cooperadores em favor da verdade.

9Escrevi à igreja, mas Diótrefes, que gosta muito de ser o mais importante entre eles, não nos recebe. 10Portanto, se eu for, chamarei a atenção dele para o que está fazendo com suas palavras maldosas contra nós. Não satisfeito com isso, ele se recusa a receber os irmãos, impede os que desejam recebê-los e os expulsa da igreja.

11Amado, não imite o que é mau, mas sim o que é bom. Aquele que faz o bem é de Deus; aquele que faz o mal não viu a Deus. 12Quanto a Demétrio, todos falam bem dele, e a própria verdade testemunha a seu favor. Nós também testemunhamos, e você sabe que o nosso testemunho é verdadeiro.

13Tenho muito que escrever, mas não desejo fazê-lo com pena e tinta. 14Espero vê-lo em breve, e então conversaremos face a face.

15A paz seja com você.

Os amigos daqui enviam saudações. Saúde os amigos daí, um por um.