2 Wathesalonike 1 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wathesalonike 1:1-12

11:1 Mdo 16:1; 1The 1:1Paulo, Silvano1:1 Yaani Sila. na Timotheo:

Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:

21:2 Rum 1:7; 1Kor 1:3Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.

Shukrani Na Maombi

31:3 1The 3:12; 1:2, 3; 2The 2:13Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa ajili yenu siku zote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa sababu imani yenu inakua zaidi na zaidi na upendo wa kila mmoja wenu alio nao kwa mwenzake unazidi kuongezeka. 41:4 2Kor 7:14; 1The 1:3; 1:6Ndiyo sababu miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote na dhiki mnazostahimili.

51:5 Flp 1:28Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake. 61:6 Rum 12:19; Ufu 6:10Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi 71:7 1The 4:16; Yud 14na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu. 81:8 Gal 4:8; Rum 2:8Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Yesu. 91:9 1The 5:3; 2Pet 3:7; 2The 2:8Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, 101:10 1Kor 3:13; Yn 17:10; 1Kor 1:6siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.

111:11 1The 1:3; 2The 1:5Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu. 121:12 Flp 2:9, 11; 1Pet 1:7; 4:14Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani yake, kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Yesu Kristo.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

帖撒罗尼迦后书 1:1-12

1保罗西拉提摩太写信给帖撒罗尼迦属于我们父上帝和主耶稣基督的教会。

2愿我们的父上帝和主耶稣基督赐给你们恩典和平安!

感恩与劝勉

3弟兄姊妹,我们应当为你们常常感谢上帝,这是合宜的,因为你们的信心不断增长,彼此相爱的心也不断增加。 4因此,我们在上帝的众教会中夸奖你们在各种迫害和患难中的坚忍和信心。 5你们这种表现正是上帝公义审判的明证,使你们配进上帝的国,你们正在为这国受苦。

6上帝是公义的,祂必以患难来报应那些迫害你们的人。 7当主耶稣和祂大能的天使在烈焰中从天上显现时,祂必使你们这些受苦的人和我们同得安慰, 8惩罚那些不认识上帝、不听从有关我们主耶稣之福音的人。 9那些人要受的刑罚就是离开主的面和祂荣耀的权能,永远灭亡。 10主降临的那日,祂要在祂的众圣徒中得到荣耀,使所有的信徒惊叹不已。你们也会在当中,因为你们相信了我们做的见证。

11因此,我们常常为你们祷告,愿我们的上帝看你们配得祂的呼召,用大能成全你们一切美好的心愿和凭信心所做的工作。 12这样,按照我们的上帝和主耶稣基督所赐的恩典,主耶稣基督的名便在你们身上得到荣耀,你们也在祂身上得到荣耀。