2 Wakorintho 4 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 4:1-18

Hazina Ya Mbinguni Katika Vyombo Vya Udongo

14:1 1Kor 7:25; 1Tim 1:13-16; Za 18:45; Isa 40:31Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa. 24:2 Rum 6:21; 1Kor 4:5; 2Kor 2:17; Ebr 4:12; 2Kor 5:11Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu. 34:3 2Kor 2:12; 3:14; 1Kor 1:18Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea. 44:4 Yn 12:31; 1Kor 1:20; 2Kor 3:14; Yn 14:9Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. 54:5 1Kor 1:13; 1:23; 9:19Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu. 64:6 Mwa 1:3; Za 18:28; 2Pet 1:19Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.

74:7 Ay 4:19; Isa 64:8; 2Tim 2:20; Amu 7:2; 1Kor 2:5; 2Kor 6:7Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu. 84:8 2Kor 7:5; Gal 4:20Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa; 94:9 Yn 15:20; Rum 8:35; Ebr 13:5; Za 37:24; Mit 24:16twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi. 104:10 Rum 6:6; 2Kor 1:5; Rum 6:5Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu. 114:11 Rum 8:36Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti. 124:12 2Kor 13:9Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.

134:13 Za 116:10; 1Kor 12:29Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema, 144:14 Mdo 2:24; 1The 4:14; Efe 5:27; Kol 1:22; Yud 24kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake. 154:15 1Kor 1:11; 9:11Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.

164:16 Za 18:45; Rum 7:22; Za 103:5Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. 174:17 Za 30:5; Rum 8:18; 1Pet 1:6-7Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, 184:18 2Kor 5:7; Rum 8:24; Ebr 11kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele.

Nueva Versión Internacional

2 Corintios 4:1-18

Tesoros en vasijas de barro

1Por esto, ya que por la misericordia de Dios tenemos este ministerio, no nos desanimamos. 2Más bien, hemos renunciado a todo lo vergonzoso que se hace a escondidas; no actuamos con engaño ni torcemos la palabra de Dios. Al contrario, mediante la clara exposición de la verdad, nos recomendamos a toda conciencia humana en la presencia de Dios. 3Pero si nuestro evangelio está encubierto, lo está para los que se pierden. 4El dios de este mundo ha cegado la mente de estos incrédulos, para que no vean la luz del glorioso evangelio de Cristo, el cual es la imagen de Dios. 5No nos predicamos a nosotros mismos, sino a Jesucristo como Señor; nosotros no somos más que servidores de ustedes por causa de Jesús. 6Porque Dios, que dijo: «¡Que la luz resplandezca en las tinieblas!»,4:6 Gn 1:3. hizo brillar su luz en nuestro corazón para que conociéramos la gloria de Dios que resplandece en el rostro de Jesucristo.

7Pero tenemos este tesoro en vasijas de barro para que se vea que tan sublime poder viene de Dios y no de nosotros. 8Nos vemos atribulados en todo, pero no abatidos; perplejos, pero no desesperados; 9perseguidos, pero no abandonados; derribados, pero no destruidos. 10Dondequiera que vamos, siempre llevamos en nuestro cuerpo la muerte de Jesús, para que también su vida se manifieste en nuestro cuerpo. 11Pues a nosotros, los que vivimos, siempre se nos entrega a la muerte por causa de Jesús, para que también su vida se manifieste en nuestro cuerpo mortal. 12Así que la muerte actúa en nosotros y en ustedes la vida.

13Escrito está: «Creí y por eso hablé».4:13 Sal 116:10. Con ese mismo espíritu de fe también nosotros creemos y por eso hablamos. 14Pues sabemos que aquel que resucitó al Señor Jesús nos resucitará también a nosotros con él y nos llevará junto con ustedes a su presencia. 15Todo esto es por el bien de ustedes, para que la gracia que está alcanzando a más y más personas haga abundar la acción de gracias para la gloria de Dios.

16Por tanto, no nos desanimamos. Al contrario, aunque por fuera nos vamos desgastando, por dentro nos vamos renovando día tras día. 17Pues los sufrimientos ligeros y efímeros que ahora padecemos producen una gloria eterna que vale muchísimo más que todo sufrimiento. 18Así que no nos fijamos en lo visible, sino en lo invisible, ya que lo que se ve es pasajero, mientras que lo que no se ve es eterno.