2 Wakorintho 4 – NEN & HHH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 4:1-18

Hazina Ya Mbinguni Katika Vyombo Vya Udongo

14:1 1Kor 7:25; 1Tim 1:13-16; Za 18:45; Isa 40:31Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa. 24:2 Rum 6:21; 1Kor 4:5; 2Kor 2:17; Ebr 4:12; 2Kor 5:11Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu. 34:3 2Kor 2:12; 3:14; 1Kor 1:18Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea. 44:4 Yn 12:31; 1Kor 1:20; 2Kor 3:14; Yn 14:9Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. 54:5 1Kor 1:13; 1:23; 9:19Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu. 64:6 Mwa 1:3; Za 18:28; 2Pet 1:19Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.

74:7 Ay 4:19; Isa 64:8; 2Tim 2:20; Amu 7:2; 1Kor 2:5; 2Kor 6:7Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu. 84:8 2Kor 7:5; Gal 4:20Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa; 94:9 Yn 15:20; Rum 8:35; Ebr 13:5; Za 37:24; Mit 24:16twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi. 104:10 Rum 6:6; 2Kor 1:5; Rum 6:5Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu. 114:11 Rum 8:36Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti. 124:12 2Kor 13:9Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.

134:13 Za 116:10; 1Kor 12:29Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema, 144:14 Mdo 2:24; 1The 4:14; Efe 5:27; Kol 1:22; Yud 24kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake. 154:15 1Kor 1:11; 9:11Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.

164:16 Za 18:45; Rum 7:22; Za 103:5Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. 174:17 Za 30:5; Rum 8:18; 1Pet 1:6-7Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, 184:18 2Kor 5:7; Rum 8:24; Ebr 11kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele.

Habrit Hakhadasha/Haderekh

אגרת פולוס השנייה אל-הקורנתים 4:1-18

1אלוהים בעצמו נתן לנו ברחמיו את העבודה הנפלאה של הפצת דברו, ולכן איננו מתייאשים. 2איננו מרמים איש, איננו משתמשים בתכסיסים ותחבולות כדי להביא אנשים לידי אמונה, ומעולם לא סילפנו את דבר אלוהים. שכן אנו בוחלים בכל הונאה. אנו עומדים לנוכח ה׳ ודוברים אמת, וכל המכיר אותנו יודה בכך.

3אם הבשורה שאנו מספרים נסתרת מאיש, היא נסתרת מאלה שפניהם מועדות לאבדון. 4השטן, שהוא שר העולם המרושע הזה, עיוור את עיניהם, כדי שלא יוכלו לראות את אור הבשורה שזורח עליהם, ושלא יבינו את הבשורה הנפלאה על כבוד המשיח שהוא צלם האלוהים. 5איננו מכריזים על עצמנו, אלא על ישוע המשיח כאדון, ועל עצמנו כעבדיכם בזכות המשיח. 6האלוהים אשר אמר: ”יהי אור מן החושך“, הציף את לבנו באור דעת כבוד אלוהים אשר בפניו של המשיח.

7אך אוצר זה – האור והגבורה שזורחים בנו – טמון בכלי חרס בר־חלוף, כלומר בגופנו. עובדה זאת מוכיחה שהגבורה בתוכנו היא מאת אלוהים ולא מעצמנו.

8הצרות לוחצות עלינו מכל עבר, אך לא נשברנו. אנו נבוכים, אך לא נואשנו. 9אנו נרדפים, אך אלוהים לא נטש אותנו. אנו מוכים, אך לא הושמדנו. 10מדי יום אנו מתנסים במידת־מה במות המשיח, על מנת שגבורת חיי המשיח תיגלה בגופנו.

11אכן, חיינו בסכנה מתמדת כי אנו משרתים את האדון, אך הדבר מאפשר לנו להפגין את גבורת ישוע בגופנו בר־התמותה. 12לפיכך, אנו עומדים בפני מוות, בגלל הטפת דבר אלוהים, על־מנת שתזכו בחיי נצח. 13כתבי־הקודש אומרים:4‏.13 ד 13 תהלים קטז 10 ”האמנתי כי אדבר.“ באותה רוח אמונה גם אנחנו מאמינים ולכן מדברים. 14אנו יודעים כי האלוהים אשר הקים לתחייה את האדון ישוע, יקים לתחייה גם אותנו עם ישוע ויציגנו לפניו יחד אתכם. 15סבלנו הוא למענכם, וככל שירבו מקרבכם המאמינים במשיח, כן ירבו המודים לו על טובו לכבוד אלוהים.

16משום כך איננו מתייאשים. גופנו הפיזי אמנם הולך ובלה, אך כוחנו הפנימי שמקורו בה׳ הולך ומתחזק מדי יום. 17צרתנו הקלה של הרגע תביא לנו את ברכתו העשירה והנצחית של אלוהים. 18לפיכך איננו מתרכזים בדברים שאנו רואים עתה, כלומר בצרות הסובבות אותנו, אלא עינינו נשואות לשמחה המצפה לנו בשמים ושטרם ראינו אותה. הצרות תעלמנה בקרוב, אך השמחה שמצפה לנו תעמוד לעולם.