2 Wakorintho 2 – NEN & SZ-PL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 2:1-17

12:1 2Kor 1:23; 12:20, 21; 13:10Hivyo nilikusudia moyoni mwangu nisifanye ziara nyingine yenye kuwaumiza ninyi. 22:2 2Kor 7:8Kwa kuwa kama nikiwahuzunisha ninyi, ni nani aliyebaki wa kunifurahisha isipokuwa ninyi ambao nimewahuzunisha? 32:3 2Kor 7:8-12; 12:21; 7:16; 8:22; Gal 5:10; 2The 3:4Niliandika hivyo kama nilivyofanya, ili nikija nisihuzunishwe na wale watu ambao wangenifanya nifurahi. Nina uhakika na ninyi nyote, kwamba wote mngeshiriki furaha yangu. 42:4 2Kor 7:8-12; 12:20, 21; 13:10Kwa maana niliwaandikia kutokana na dhiki kubwa na kutaabika sana kwa moyo wangu tena kwa machozi mengi, shabaha yangu si ili niwasababishe mhuzunike bali kuwaonyesha kina cha upendo wangu kwenu.

Msamaha Kwa Mwenye Dhambi

52:5 1Kor 5:1-2; Gal 4:12; 1Kor 5:1Lakini ikiwa mtu yeyote amesababisha huzuni, kwa kiasi fulani hakunihuzunisha mimi kama vile alivyowahuzunisha ninyi nyote, ili nisiwe mkali kupita kiasi. 62:6 1Kor 5:4-5; 2Kor 7:11Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha. 72:7 Gal 6:1; Efe 4:32; Kol 3:13Basi sasa badala yake, inawapasa kumsamehe na kumfariji, ili asigubikwe na huzuni kupita kiasi. 8Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwa ajili yake. 92:9 2Kor 7:8-12; 7:15; 10:6Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo. 102:10 Lk 10:16Kama ninyi mkimsamehe mtu yeyote, mimi pia nimemsamehe. Kile nilichosamehe, kama kulikuwa na kitu chochote cha kusamehe, nimekwisha kusamehe mbele ya Kristo kwa ajili yenu, 112:11 Mt 4:10; Lk 22:31; 2Kor 4:4; 1Pet 5:8ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatuachi kuzijua hila zake.

Wasiwasi Wa Paulo Huko Troa

122:12 Rum 1:1; 2Kor 4:3-4; 8:18; 9:13; 1The 3:2; Mdo 14:21Basi nilipofika Troa kuhubiri Injili ya Kristo na kukuta kwamba Bwana alikuwa amenifungulia mlango, 132:13 2Kor 7:5; 7:6-13; 8:6-23; 12:18; Gal 2:1-3; Tit 1:4; Mdo 16:9bado nilikuwa sina utulivu akilini mwangu kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito huko. Hivyo niliagana nao nikaenda Makedonia.

142:14 Rum 6:17; 7:25; 1Kor 15:57; 2Kor 9:15; Eze 20:41; Efe 5:2; Flp 4:18; 2Kor 8:7Lakini Mungu ashukuriwe, yeye ambaye siku zote hutufanya tuandamane kwa ushindi tukiwa ndani ya Kristo. Naye kupitia kwetu hueneza kila mahali harufu nzuri ya kumjua yeye. 152:15 Mwa 8:21; Kut 29:18Kwa maana sisi kwa Mungu ni harufu nzuri ya manukato ya Kristo miongoni mwa wale wanaookolewa na kwa wale wanaopotea. 162:16 Lk 2:34; Yn 3:36; 2Kor 3:5-6Kwa wale wanaopotea, sisi ni harufu ya mauti iletayo mauti; lakini kwa wale wanaookolewa, sisi ni harufu nzuri iletayo uzima. Ni nani awezaye mambo hayo? 172:17 Mdo 20:33; 2Kor 4:2; 1The 2:5; 1Kor 5:8; 2Kor 1:12; 12:19Tofauti na watu wengine wengi, sisi hatufanyi biashara na Neno la Mungu kwa ajili ya kupata faida. Kinyume chake, katika Kristo tunalisema Neno la Mungu kwa unyoofu, kama watu tuliotumwa kutoka kwa Mungu.

Słowo Życia

2 Koryntian 2:1-17

1Postanowiłem, że zaoszczędzę wam kolejnej wizyty, która byłaby dla was bardzo przykra. 2Chciałbym bowiem, abyście mnie pocieszyli. Ale jeśli was zasmucę, to jak będziecie mogli tego dokonać? 3Piszę o tym dlatego, że nie chciałbym zostać zasmucony przez tych, którzy powinni mi sprawiać największą radość. Moja radość jest bowiem waszą radością. 4Piszę to z ogromnym bólem serca i ze łzami w oczach. Robię to jednak nie po to, aby sprawić wam przykrość, ale aby pokazać, jak bardzo was kocham.

Przebaczenie dla winowajcy

5Ten, kto wyrządził mi tę przykrość, tak naprawdę wyrządził ją nie mnie, ale wam. 6Wystarczy mu już jednak kara wymierzona przez większość z was. 7Teraz należałoby mu przebaczyć i dodać otuchy, aby nie popadł w rozpacz. 8Dlatego proszę, okażcie mu miłość. 9Napisałem to, aby się przekonać, czy we wszystkim jesteście mi posłuszni. 10Jeśli komuś przebaczycie, i ja mu przebaczę. A jeśli już przebaczyłem, to ze względu na Chrystusa i dla waszego dobra, 11abyśmy nie wpadli w pułapkę szatana, którego zamiary są nam dobrze znane.

Słudzy nowego przymierza

12Gdy dotarłem do Troady, Pan dał mi wspaniałe możliwości głoszenia dobrej nowiny. 13Niepokoiłem się jednak, bo nie spotkałem Tytusa, mojego drogiego przyjaciela. Dlatego pożegnałem się ze wszystkimi i udałem się do Macedonii.

14Bogu niech jednak będą dzięki za to, że w Chrystusie zawsze pozwala nam odnosić zwycięstwo. Wszędzie też możemy nauczać ludzi o Jezusie, tak że wieść o Nim rozchodzi się po całym świecie jak cudowny zapach. 15My sami również sprawiamy Bogu radość i jesteśmy Jego cudownym zapachem, który dociera zarówno do przyjmujących zbawienie, jak i do tych, którzy zmierzają na potępienie. 16Dla pierwszych jest to zapach niosący życie, dla drugich—śmierć. Ale kto sprosta takiemu zadaniu? 17Niektórzy ludzie głoszą dobrą nowinę dla pieniędzy. My jednak do nich nie należymy. Posłani przez Boga i odpowiedzialni przed Nim, szczerze służymy bowiem Chrystusowi.