2 Wafalme 24 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wafalme 24:1-20

124:1 Yer 25:1, 9; 2Fal 18:7Wakati wa utawala wa Yehoyakimu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliishambulia nchi, naye Yehoyakimu akawa mtumwa wake kwa miaka mitatu. Lakini hatimaye akabadili mawazo yake na kuasi dhidi ya Nebukadneza. 224:2 Yer 5:15; Isa 28:18-19; Eze 23:23Bwana akatuma wavamiaji wa Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni ili kumshambulia. Aliwatuma kuiangamiza Yuda sawasawa na neno la Bwana lililosemwa na watumishi wake manabii. 324:3 2Fal 21:12Hakika mambo haya yalitokea Yuda kulingana na agizo la Bwana, ili kuwaondoa kutoka machoni pake kwa sababu ya dhambi za Manase na yote aliyoyafanya, 424:4 2Fal 21:16; Kut 23:21ikiwa ni pamoja na kumwaga damu isiyo na hatia. Kwa kuwa aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia, naye Bwana hakuwa radhi kusamehe.

524:5 Yer 22:18-19Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? 624:6 Yer 22:19; Eze 19:1Yehoyakimu akalala pamoja na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

724:7 Mwa 15:18; Yer 46:25Mfalme wa Misri hakutoka tena katika nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alikuwa ameitwaa himaya yake yote, kuanzia Kijito cha Misri hadi Mto Frati.

Yehoyakini Mfalme Wa Yuda

(2 Nyakati 36:9-10)

824:8 1Nya 3:16; Yer 13:18Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani kutoka Yerusalemu. 924:9 1Fal 15:26Akafanya maovu machoni pa Bwana, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.

1024:10 2Fal 24:1Wakati huo, maafisa wa Nebukadneza mfalme wa Babeli walikuja ili kuishambulia Yerusalemu, nao wakaizunguka kwa jeshi. 11Nebukadneza mwenyewe akaupandia mji wakati maafisa wake walipokuwa wameuzunguka kwa jeshi. 1224:12 Yer 24:1Yehoyakini mfalme wa Yuda, mama yake, wahudumu wake, wakuu na maafisa wake wote wakajisalimisha kwa Nebukadneza.

Katika mwaka wa nane wa utawala wa mfalme wa Babeli, akamchukua Yehoyakini kuwa mfungwa. 1324:13 2Fal 20:17; Isa 39:6Kama vile Bwana alivyokuwa amesema, Nebukadneza akaondoa hazina yote kutoka Hekalu la Bwana na kutoka jumba la mfalme, akavichukua vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Solomoni mfalme wa Israeli alikuwa amevitengeneza kwa ajili ya Hekalu la Bwana. 1424:14 Kum 28:36; Ay 5:16Akawachukua watu wa Yerusalemu wote kwenda uhamishoni: yaani maafisa wote na mashujaa, watu wenye ustadi na ufundi, jumla yao watu elfu kumi. Watu maskini sana ndio tu waliobaki katika nchi.

1524:15 2Fal 20:18; Mao 2:9Nebukadneza akamchukua mateka Yehoyakini hadi Babeli. Pia akawachukua utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli mama yake mfalme, wake zake, maafisa wake, na viongozi wote wa nchi. 1624:16 Ezr 2:1Mfalme wa Babeli pia akawahamishia Babeli mashujaa elfu saba, wenye nguvu na wanaofaa kupigana vita, na watu wenye ustadi na mafundi elfu moja. 1724:17 2Nya 36:11; Yer 37:1Akamfanya Matania, ndugu wa baba yake Yehoyakini, kuwa mfalme mahali pake, na akalibadilisha jina lake kuwa Sedekia.

Sedekia Mfalme Wa Yuda

(2 Nyakati 36:11-12; Yeremia 52:1-3)

1824:18 Yer 39:1; 2Fal 23:31Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna. 19Alifanya maovu machoni pa Bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu. 20Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya Bwana haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake.

Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

La Bible du Semeur

2 Rois 24:1-20

La première invasion babylonienne

1Sous le règne de Yehoyaqim, Nabuchodonosor, roi de Babylone24.1 Fils de Nabopolassar, Nabuchodonosor a été le plus grand roi de l’Empire néo-babylonien (612 à 539 av. J.-C.) et a régné de 605 à 562 av. J.-C., l’attaqua24.1 Après avoir défait les Egyptiens à Karkemish et à Hamath (Jr 46.2), Nabuchodonosor entreprit de conquérir tout « le pays des Hatti » qui comprenait le royaume de Juda (vers 605 av. J.-C. ; voir Dn 1.1-2). et Yehoyaqim fut assujetti à Nabuchodonosor pendant trois ans, puis il se révolta de nouveau contre lui24.1 Cette révolte a dû avoir lieu en 601 av. J.-C.. 2Alors l’Eternel déchaîna contre lui des bandes de Chaldéens, des bandes de Syriens, de Moabites et d’Ammonites. Il les dressa contre le royaume de Juda pour le faire disparaître comme il l’avait annoncé par l’intermédiaire de ses serviteurs, les prophètes. 3Ces malheurs arrivèrent uniquement sur l’ordre de l’Eternel, parce qu’il voulait chasser Juda loin de lui à cause de tous les péchés commis par Manassé, 4et parce qu’il avait tué beaucoup d’innocents dont le sang avait rempli Jérusalem. Car l’Eternel ne voulait plus pardonner24.4 Voir 21.10-16..

5Les autres faits et gestes de Yehoyaqim et toutes ses réalisations sont cités dans le livre des Annales des rois de Juda. 6Il rejoignit ses ancêtres décédés et son fils Yehoyakîn lui succéda sur le trône.

7A cette époque, le roi d’Egypte cessa ses expéditions militaires, car le roi de Babylone s’était emparé de tous les territoires qui, depuis le torrent bordant la frontière nord de l’Egypte jusqu’à l’Euphrate, avaient été sous domination égyptienne.

Le règne de Yehoyakîn sur Juda

(2 Ch 36.9-10)

8Yehoyakîn était âgé de dix-huit ans à son avènement, et il régna trois mois à Jérusalem24.8 Yehoyakîn est appelé Yekonia dans 1 Ch 3.16 et Konia dans Jr 22.24. Il ne régna que trois mois comme vassal du roi de Babylone (de décembre 598 à mars 597 av. J.-C.).. Sa mère s’appelait Nehoushta, elle était fille d’Elnathan, de Jérusalem. 9Il fit ce que l’Eternel considère comme mal, tout comme son père.

Le siège de Jérusalem et la déportation de sa population

10Pendant son règne, les officiers de Nabuchodonosor, roi de Babylone, marchèrent avec leurs troupes contre Jérusalem et l’assiégèrent. 11Nabuchodonosor lui-même vint sur place pendant le siège. 12Alors Yehoyakîn, roi de Juda, se rendit au roi de Babylone, avec sa mère, ses ministres, ses officiers et ses hauts fonctionnaires. Ils furent faits prisonniers par le roi de Babylone la huitième année de son règne24.12 Voir Jr 22.24-30 ; 24.1 ; 29.2.. 13Nabuchodonosor emporta tous les trésors du temple de l’Eternel et les trésors du palais royal après avoir mis en pièces tous les ustensiles d’or que Salomon, roi d’Israël, avait fabriqués pour le temple de l’Eternel. Ainsi s’accomplit ce que l’Eternel avait annoncé24.13 Voir 2 R 20.17.. 14Il déporta toute la population de Jérusalem, tous les dirigeants et tous les militaires, tous les artisans et les forgerons : en tout, dix mille personnes prirent le chemin de l’exil ; seule la population la plus pauvre resta dans le pays. 15Yehoyakîn fut déporté de Jérusalem à Babylone avec sa mère, ses femmes, ses hauts fonctionnaires et les puissants du pays24.15 Cf. Jr 22.24-30 ; 24.1-10 ; 29.1-2 ; Ez 17.12.. 16Le roi de Babylone emmena aussi en exil dans son pays les sept mille militaires, mille artisans et forgerons et tous les guerriers entraînés au combat.

17Il établit comme roi à la place de Yehoyakîn l’oncle de celui-ci, Mattania, dont il changea le nom en Sédécias.

Le règne de Sédécias sur Juda

(2 Ch 36.11-16)

18Sédécias avait vingt et un ans à son avènement. Il régna onze ans à Jérusalem24.18 De 597 à 587 av. J.-C. Sur le règne de Sédécias, voir Jr 37 et 38.. Sa mère s’appelait Hamoutal, elle était fille de Jérémie, de Libna. 19Il fit ce que l’Eternel considère comme mal, tout comme Yehoyaqim. 20Tout cela arriva parce que l’Eternel était en colère contre Jérusalem et Juda, au point de les chasser loin de lui.

Or, Sédécias se révolta contre le roi de Babylone.