2 Wafalme 22 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wafalme 22:1-20

Yosia Mfalme Wa Yuda

(2 Nyakati 34; 35:20-27)

122:1 Yer 1:2; Yos 15:39Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja. Mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi. 222:2 Kum 5:32Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana na kuenenda katika njia zote za Daudi baba yake. Hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.

322:3 2Nya 34:20; Yer 39:14Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wake, Mfalme Yosia akamtuma mwandishi Shafani mwana wa Azalia, mwana wa Meshulamu, kwenda katika Hekalu la Bwana. Akasema: 422:4 Ezr 7:1; 2Fal 12:4-5“Panda uende kwa Hilkia, kuhani mkuu, umwambie ahesabu zile fedha ambazo zimeletwa katika Hekalu la Bwana, ambazo mabawabu wamekusanya kutoka kwa watu. 522:5 2Fal 12:5Waambie waikabidhi kwa watu walioteuliwa kusimamia kazi ya Hekalu. Waamuru watu hawa wawalipe wafanyakazi ambao wanakarabati Hekalu la Bwana: 622:6 2Fal 12:11-12wale maseremala, wajenzi na waashi. Waambie pia wanunue mbao na mawe yaliyochongwa ili kukarabati Hekalu. 722:7 2Fal 12:15Lakini hawahitajiki kutoa hesabu ya fedha walizokabidhiwa, kwa sababu wanafanya kwa uaminifu.”

822:8 Kum 31:24; Gal 3:10Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria ndani ya Hekalu la Bwana.” Akampa Shafani, ambaye alikisoma. 9Kisha Shafani mwandishi akamwendea mfalme na kumpa taarifa akisema: “Maafisa wako wametoa ile fedha ambayo ilikuwa ndani ya Hekalu la Bwana na imekabidhiwa mikononi mwa wasimamizi wa marekebisho ya Hekalu.” 1022:10 Yer 36:21Ndipo Shafani mwandishi akampasha mfalme habari kwamba: “Hilkia kuhani amenipa kitabu hiki.” Naye Shafani akakisoma kile kitabu mbele ya mfalme.

11Mfalme aliposikia maneno ya kile Kitabu cha Sheria, akararua mavazi yake. 1222:12 2Fal 25:22; Isa 8:14Akatoa maagizo haya kwa Hilkia kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya mtumishi wa mfalme: 1322:13 Kum 29:24-28; Amo 2:4“Nendeni mkamuulize Bwana kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na Yuda wote kuhusu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho kimepatikana. Hasira ya Bwana ni kubwa inayowaka dhidi yetu kwa sababu baba zetu hawakuyatii maneno ya kitabu hiki. Hawajatenda kulingana na yale yote yaliyoandikwa humo kutuhusu sisi.”

1422:14 Kut 15:20Hilkia kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani na Asaya wakaenda kuongea na nabii mke Hulda, ambaye alikuwa mke wa Shalumu mwana wa Tikwa, mwana wa Harhasi mtunzaji wa chumba cha mavazi. Hulda aliishi Yerusalemu katika Mtaa wa Pili.

15Akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu aliyewatuma ninyi kwangu, 1622:16 Yos 23:15; Dan 9:11‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na watu wake, kulingana na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hicho mfalme wa Yuda alichosoma. 1722:17 1Fal 9:9Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine, na kunighadhibisha kwa sanamu zote zilizotengenezwa kwa mikono yao, hasira yangu itawaka dhidi ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’ 1822:18 Yer 21:2Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza Bwana, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli, kuhusu maneno uliyoyasikia: 1922:19 Isa 37:15; Yer 26:6; Law 26:31Kwa kuwa moyo wako ulikuwa msikivu na ulijinyenyekeza mbele za Bwana uliposikia kile nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake, kwamba wangelaaniwa na kuachwa ukiwa, basi kwa sababu uliyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, nimekusikia, asema Bwana. 2022:20 Isa 47:11; 1Fal 21:29Kwa hiyo nitakukusanya kwa baba zako, nawe utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa.’ ”

Basi wakapeleka jibu lake kwa mfalme.

Bibelen på hverdagsdansk

2. Kongebog 22:1-20

Kong Josias af Juda restaurerer templet

1Josias var otte år gammel, da han blev konge, og han regerede i Jerusalem i 31 år. Hans mor hed Jedida og var datter af Adaja fra byen Botzkat. 2Han gjorde, hvad der var ret i Herrens øjne og fulgte i sin forfar Davids spor.

3-4I sit 18. regeringsår sendte kong Josias statssekretæren Shafan, som var søn af Atzalja og sønnesøn af Meshullam, af sted til templet med følgende besked til ypperstepræsten Hilkija: „Tag de penge, som folket giver til præsterne, når de ankommer til Herrens hus, 5-6og giv pengene til dem, der fører tilsyn med tempelbygningerne, så de kan købe tømmer og sten og ansætte tømrere, bygningshåndværkere og murere, der kan restaurere templet. 7I behøver ikke at bede dem om at aflægge regnskab for, hvordan de administrerer pengene, for jeg har fuld tillid til dem—de er alle pålidelige mænd.”

Ypperstepræsten finder lovbogen under restaureringen

8En dag gik ypperstepræsten Hilkija til statssekretæren Shafan og sagde til ham: „Jeg har fundet lovbogen i Herrens hus.” Han overlod bogrullen til Shafan, som begyndte at læse i den. 9Shafan gik derefter til kongen og aflagde rapport: „De penge, der er blevet indsamlet i templet, har vi udbetalt til opsynsmændene, som aflønner dem, der arbejder på restaureringen af templet.” 10Derefter tilføjede han: „Præsten Hilkija gav mig denne bog.” Så gav han sig til at læse op for kongen. 11Da kongen hørte, hvad der stod i bogen, blev han så fortvivlet, at han rev en flænge i sit tøj. 12-13Øjeblikkeligt tilkaldte han Hilkija og nogle flere af sine embedsmænd. Det drejede sig om hans personlige tjener Asaja, Shafans søn Ahikam og Mikas søn Ahbor. „Gå hen og rådspørg Herren på mine og folkets vegne om indholdet af denne lovbog,” sagde han. „Herren er uden tvivl vred på os, for vores forfædre har ikke handlet efter forskrifterne i denne bog.”

14Derpå gik ypperstepræsten og de fire embedsmænd hen til Jerusalems nye bydel, hvor profetinden Hulda boede sammen med sin mand, Shallum (en søn af Tikva, som var søn af Harhas). Shallum havde ansvar for præstedragterne. 15-16Hulda sagde til dem: „Herren, Israels Gud, siger: Sig til den mand, som sendte jer, at jeg, Herren, vil straffe dette sted og dets indbyggere i overensstemmelse med den bog, Judas konge nu har læst, 17for de har forkastet mig til fordel for andre guder. De har ofret røgelse til afguderne og provokeret mig med alle deres afgudsbilleder. Jeg må straffe dem, og straffen står ikke til at ændre. 18Men til kongen, som sendte jer for at rådspørge Herren, skal I overbringe følgende personlige budskab: Den straf, som du lige har hørt om, står fast, 19men fordi du var fortvivlet over, hvad der er sket og ydmygede dig for mig, da du hørte om mine advarsler om den forbandelse og ødelæggelse, der skal ramme landet, og fordi du flængede dit tøj og græd for mit ansigt, så vil jeg bønhøre dig. 20Jeg vil udskyde dommens time over Jerusalem, så byen ikke bliver ødelagt i din levetid. Du skal få lov at dø i fred og blive skånet for at være vidne til den katastrofe, jeg sender over dette sted.” Med det budskab vendte de tilbage til kongen.