2 Wafalme 1 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wafalme 1:1-18

Hukumu Ya Bwana Juu Ya Ahazia

11:1 Mwa 19:37; 2Sam 8:2; 2Fal 3:5Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli. 21:2 Amu 18:5; 2Fal 1:16; 8:7-10; Mt 10:25; Isa 14:29; Mk 3:22; 1Sam 5:10Basi Ahazia alikuwa ameanguka huko Samaria kutoka baraza ya chumba chake cha juu, akaumia. Hivyo akatuma wajumbe, akiwaambia, “Nendeni mkaulize kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni, mkaone kama nitapona kutokana na kuumia huku.”

31:3 Mwa 16:7; 1Sam 28:8; Isa 8:19; Yer 2:10-13; Yon 2:8Lakini malaika wa Bwana akamwambia Eliya, Mtishbi, “Panda ukakutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaulize, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana mnakwenda kumuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni?’ 41:4 2Fal 1:6, 16; Za 41:8; Rum 6:23; Mhu 8:13; Mit 11:19; Isa 3:11; Yak 1:15Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana, ‘Hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!’ ” Hivyo Eliya akaenda.

5Wajumbe waliporudi kwa mfalme, akawauliza, “Kwa nini mmerudi?”

61:6 2Fal 1:2; Mit 14:32Wakamjibu, “Mtu fulani alikuja kukutana nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme aliyewatuma na mkamwambie, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” ’ ”

7Mfalme akawauliza, “Alikuwa mtu wa namna gani ambaye mlikutana naye, akawaambia hili?”

81:8 Isa 3:3; Zek 13:4; Mt 3:4Wakamjibu, “Alikuwa mtu aliyekuwa na vazi la manyoya na mkanda wa ngozi kiunoni mwake.”

Mfalme akasema, “Huyo alikuwa ni Eliya, Mtishbi.”

91:9 Kut 18:25; 2Fal 6:14; Za 105:15; Amo 7:12; Mt 27:29Ndipo mfalme akamtuma mkuu mmoja wa kikosi pamoja na kikosi chake cha askari hamsini kwa nabii Eliya. Yule mkuu wa kikosi akamwendea Eliya, aliyekuwa ameketi juu ya kilima, na kumwambia, “Mtu wa Mungu, mfalme anasema, ‘Shuka chini!’ ”

101:10 Hes 11:1; 1Fal 18:38; Lk 9:54; Ufu 11:5Eliya akamjibu yule mkuu wa kikosi, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza yule mkuu wa kikosi pamoja na watu wake.

111:11 Isa 26:11Aliposikia hili, mfalme akatuma kwa Eliya mkuu wa kikosi mwingine na askari wake hamsini. Yule mkuu wa kikosi akamwambia Eliya, “Mtu wa Mungu, hili ndilo asemalo mfalme, ‘Shuka chini mara moja!’ ”

12Eliya akajibu, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto wa Mungu ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na watu wake hamsini.

131:13 1Sam 26:21; Za 72:14; Mit 22:27; Mhu 9:3; Yer 5:3Hivyo mfalme akatuma mkuu wa kikosi wa tatu na watu wake hamsini. Huyu mkuu wa kikosi wa tatu akapanda na kupiga magoti mbele ya Eliya, akiomba, “Mtu wa Mungu, tafadhali niachie uhai wangu na uhai wa hawa watu hamsini, watumishi wako! 14Tazama, moto umeshuka kutoka mbinguni na kuwateketeza wale wakuu wa vikosi viwili vya kwanza pamoja na watu wao. Lakini sasa niachie uhai wangu!”

151:15 2Fal 1:3; Isa 57:11-12; Yer 1:17; Eze 2:6Malaika wa Bwana akamwambia Eliya, “Shuka pamoja naye, usimwogope.” Hivyo Eliya akainuka na kushuka pamoja naye kwa mfalme.

16Akamwambia mfalme, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli wa kumuuliza habari, ndiyo maana ukatuma wajumbe kuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa sababu umefanya hili, kamwe hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” 171:17 2Fal 8:15-16; Yer 20:6; 28:17Hivyo akafa, sawasawa na lile neno la Bwana ambalo Eliya alikuwa amesema.

Kwa kuwa Ahazia hakuwa na mwana, Yoramu1:17 Yoramu ni namna nyingine ya kutaja jina Yehoramu. akawa mfalme baada yake katika mwaka wa pili wa Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. 18Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahazia na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

Священное Писание

4 Царств 1:1-18

Пророк Ильяс и царь Охозия

1После смерти Ахава Моав взбунтовался против Исраила. 2Царь Охозия же упал через решётку своей верхней комнаты в Самарии и покалечился. Он отправил посланцев, сказав им:

– Идите и спросите Баал-Зевува1:2 Баал-Зевув – в Инджиле Иса Масих отождествляет этого бога (там он назван Баал-Зевулом) с самим сатаной, повелителем демонов (см. Мат. 10:25; 12:24-28)., бога филистимского города Экрона: оправлюсь ли я от этих увечий?

3Но Ангел Вечного1:3 Вечный – на языке оригинала: «Яхве». Под этим именем Всевышний открылся Мусе и народу Исраила (см. Исх. 3:13-15). См. пояснительный словарь. Ангел Вечного – этот особенный ангел отождествляется с Самим Вечным. Многие толкователи видят в Нём явления Исы Масиха до Его воплощения. То же в 19:35. сказал Ильясу из Тишбы:

– Пойди навстречу посланцам царя Самарии и спроси их: «Разве в Исраиле нет Бога, что вы идёте спрашивать Баал-Зевува, бога Экрона?» 4Итак, вот что говорит Вечный: «Ты не встанешь с постели, на которую лёг. Ты непременно умрёшь!»

И Ильяс пошёл.

5Посланцы же вернулись к царю, и он спросил их:

– Почему вы вернулись?

6– Нам навстречу вышел некий человек, – ответили они. – Он сказал нам: «Возвращайтесь к царю, который вас послал, и скажите ему: „Так говорит Вечный: Разве в Исраиле нет Бога, что ты посылаешь людей спрашивать Баал-Зевува, бога Экрона? Итак, ты не встанешь с постели, на которую лёг. Ты непременно умрёшь!“»

7Царь спросил их:

– Как выглядел тот человек, который вышел вам навстречу и сказал это?

8Они ответили:

– Он был одет в шкуры, с кожаным поясом на бёдрах.

Царь сказал:

– Это Ильяс из Тишбы.

9И он послал к Ильясу командира с его пятьюдесятью воинами. Тот поднялся к Ильясу, который сидел на вершине холма, и сказал ему:

– Пророк, царь говорит: «Спустись!»

10Но Ильяс ответил ему:

– Если я пророк, пусть огонь сойдёт с неба и пожрёт тебя и твоих людей!

И огонь, сойдя с неба, пожрал его и пятьдесят его воинов. 11Тогда царь послал к Ильясу другого пятидесятника с его людьми. Тот сказал Ильясу:

– Пророк, так говорит царь: «Немедленно спустись!»

12– Если я пророк, – ответил Ильяс, – пусть огонь сойдёт с неба и пожрёт тебя и твоих людей!

И огонь Всевышнего, сойдя с неба, пожрал его и пятьдесят его воинов. 13Тогда царь послал третьего пятидесятника с его людьми. Этот командир поднялся и пал на колени перед Ильясом.

– Пророк, – взмолился он, – прошу, пощади мою жизнь и жизнь этих пятидесяти воинов, твоих рабов! 14Ведь огонь, сошедший с небес, пожрал двух первых пятидесятников и их воинов. Пощади же мою жизнь!

15Ангел Вечного сказал Ильясу:

– Спустись с ним, не бойся его.

Тогда Ильяс встал и спустился с ним к царю. 16Он сказал царю:

– Так говорит Вечный: «Разве в Исраиле нет Бога, чтобы спрашивать Его? Ты отправлял посланцев спрашивать Баал-Зевува, бога Экрона! За это ты не встанешь с постели, на которую лёг. Ты непременно умрёшь!»

17И он умер, по слову Вечного, которое произнёс Ильяс. Так как у Охозии не было сына, вместо него на втором году правления иудейского царя Иорама, сына Иосафата, воцарился его брат Иорам.

18Прочие события царствования Охозии и то, что он сделал, записано в «Книге летописей царей Исраила».