2 Samweli 8 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 8:1-18

Ushindi Wa Daudi

(1 Nyakati 18:1-17)

18:1 2Sam 7:9; 21:15-22; 1Nya 18:1Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Metheg-Amma kutoka mikononi mwa Wafilisti.

28:2 Mwa 19:37; Hes 21:29; Amu 3:15; Isa 45:14; Hes 24:17; 1Sam 14:47; Za 50:8; 72:10Pia Daudi akawashinda Wamoabu. Akawafanya walale chini kwa mstari akawapima kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Wamoabu wakawa chini ya Daudi nao wakamletea kodi.

38:3 2Sam 10:16; 1Fal 11:23; 1Sam 14:47; Mwa 2:14; 15:18Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala wake kwenye eneo la Mto Frati. 48:4 Mwa 49:6; Yos 11:9Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.

58:5 Mwa 14:15; 2Sam 10:6; 1Fal 11:24; 2Fal 8:7; 14:28Waaramu wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao. 68:6 1Fal 20:34; 2Fal 10:19; 2Sam 3:18Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski, nao Waaramu wakawa watumwa wake na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.

78:7 1Fal 10:16; 14:26; 2Fal 11:10Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu. 88:8 Eze 47:16Kutoka miji ya Beta8:8 Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Kiaramu; pia uliitwa Tibhathi (1Nya 18:8). na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.

98:9 1Fal 8:65; 2Fal 14:28; 2Nya 8:4; Lk 14:31-32Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri, 10akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.

118:11 1Fal 7:51; 15:15; 1Nya 26:26; 2Nya 5:1; 1Nya 18:11; 22:14-16; Mik 4:13; Ufu 21:24Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda: 128:12 2Sam 10:14; 5:25; Hes 24:20; 1Sam 27:8yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

138:13 2Sam 7:9; 2Fal 14:7; 1Nya 18:12; Za 60Naye Daudi akapata sifa baada ya kurudi kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.

148:14 Hes 24:17-18; Za 108:9; Isa 34:5; 63:1; Yer 49:7; Eze 25:12; Mwa 27:29, 37-40; Za 144:10; 2Sam 22:44; Za 18:43Akaweka kambi za askari walinzi katika Edomu yote, nao Waedomu wakawa chini ya Daudi. Bwana alimpatia Daudi ushindi kila alipokwenda.

Maafisa Wa Daudi

158:15 Mwa 18:19; 1Fal 11:18; 14:8; 15:11; 22:43; 2Fal 12:2; Ay 29:14; Za 5:12; 119:121; Ebr 11:33Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote. 168:16 2Sam 2:13; 20:24; 1Fal 4:3; Isa 36:3, 22; 2Sam 19:13Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu; 178:17 1Sam 2:35; 15:24, 29; 2Sam 20:25; 1Fal 1:8; 4:4; 1Nya 6:8, 53; 16:39; 24:3; 27:17; 2Nya 13:10; Eze 40:46; 43:19; 44:15; 48:11; Mk 2:26; 1Fal 4:3; 2Fal 12:10; 19:2; 22:3; Isa 36:3; Yer 36:12Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi; 188:18 2Sam 20:23; 23:20; 1Fal 1:8; 2:25, 35, 46; 4:4; 1Sam 30:14; 1Nya 18:17Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.

Bibelen på hverdagsdansk

2. Samuelsbog 8:1-18

Davids sejre over nabofolkene

1David besejrede efterhånden filistrene fuldstændigt og undertvang dem ved at indtage deres hovedstad. 2Han besejrede også moabitterne. Han lod dem lægge sig ned i lange rækker, hvorefter han afmålte dem med en målesnor: To snorlængder blev slået ihjel, en snorlængde fik lov at leve. De overlevende blev Davids skattepligtige undersåtter.

3Kong Hadadezer af Zoba, Rehobs søn, forsøgte at generobre sit gamle territorium syd for Eufratfloden,8,3 Et område, som Saul havde taget fra ham. men David besejrede ham. 4Ved den lejlighed erobrede David 1000 stridsvogne8,4 Oplysningen om de 1000 vogne er ved en fejl faldet ud af den hebraiske kopi, men findes i LXX og 1.Krøn. 18,4. og tog 70008,4 Den hebraiske kopi siger 1700, men LXX og 1.Krøn. 18,4 siger 7000. ryttere og 20.000 fodfolk til fange. Han skar haserne over på 90 procent af hestene. 5Da aramæerne rykkede ud fra Damaskus for at hjælpe Hadadezer, huggede David 22.000 af dem ned. 6I Damaskusområdet udstationerede han flere garnisoner og indlemmede aramæerne blandt sine skattepligtige undersåtter. Herren gav David sejr over alle hans fjender. 7David beslaglagde alle de guldskjolde, som kong Hadadezers officerer havde brugt, og førte dem til Jerusalem 8sammen med en stor ladning kobber fra byerne Teba og Berotaj.

9Da kong Toi af Hamat8,9 I det nordvestlige Syrien, vest for Zoba området og ca. 200 km nord for Damaskus. hørte om Davids triumf over Hadadezers hær, 10sendte han sin søn Joram af sted for at lykønske ham. Hadadezer og Toi var nemlig ærkefjender. Joram forærede David mange gaver af sølv, guld og bronze, 11-12og David indviede dem til Herren sammen med det guld og sølv, han havde taget i krigsbytte fra edomitterne, moabitterne, ammonitterne, filistrene, amalekitterne og kong Hadadezers hær.

13Således voksede Davids ry ude omkring. På hjemvejen fra kampene mod nord tilintetgjorde han 18.000 edomitter i Saltdalen, 14hvorefter han etablerede en række garnisoner i Edom, så edomitterne kom under Davids herredømme. Således gav Herren David sejr, hvor som helst han kom frem.

Davids embedsmænd

15David var en retfærdig konge i Israel, der gav alle en fair behandling. 16Joab var øverstbefalende for hæren; Joshafat, Ahiluds søn, var kongens øverste embedsmand med ansvar for arkiverne; 17Zadok, Ahitubs søn, og Ahimelek, Ebjatars søn,8,17 Ahimelek var far til Ebjatar ifølge 1.Sam. 22,20, så enten er der sket en fejl, eller også er det en anden Ebjatar. var de ledende præster; Seraja var statssekretær; 18Benaja, Jojadas søn, var chef for livgarden; og Davids egne sønner havde ledende stillinger ved hoffet.