2 Samweli 4 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 4:1-12

Ish-Boshethi Auawa

14:1 2Sam 3:27; Ezr 4:4Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu. 24:2 Yos 9:17; 18:25Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini, 34:3 Neh 11:33kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.

44:4 1Sam 18:1; 31:9; Law 21:18; 2Sam 9:8-12; 16:1-4; 19:24; 21:7-8; 1Nya 8:34; 9:40(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)

54:5 2Sam 2:8; Rut 2:7Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana. 64:6 2Sam 2:23; Amu 5:25; Za 147:14Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.

74:7 Kum 3:17; 1Sam 17:54; 31:9; Mt 14:11Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba. 84:8 2Sam 20:21; 2Fal 10:7; 1Sam 24:4; 25:29; Hes 31:3; 1Sam 23:15Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”

94:9 Mwa 48:16; 1Fal 1:29; Za 31:7; 103:4; 106:10Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote, 104:10 2Sam 1:2-16yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake! 114:11 Mwa 4:10; 9:5; Za 9:12; 72:14Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”

124:12 2Sam 1:15; 3:32Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

Thai New Contemporary Bible

2ซามูเอล 4:1-12

อิชโบเชทถูกปลงพระชนม์

1เมื่ออิชโบเชทราชโอรสของซาอูลทรงทราบว่าอับเนอร์เสียชีวิตที่เมืองเฮโบรนก็ทรงหวาดหวั่น และชาวอิสราเอลทั้งปวงก็ตื่นตกใจ 2อิชโบเชทมีหัวหน้ากองโจรสองคน คือบาอานาห์และเรคาบ ทั้งสองเป็นบุตรของริมโมนเผ่าเบนยามินแห่งเมืองเบเอโรท ซึ่งถือว่าเป็นส่วนหนึ่งของเบนยามิน 3เพราะชาวเบเอโรทหนีไปอาศัยอยู่ที่เมืองกิททาอิมในฐานะคนต่างถิ่นตราบจนทุกวันนี้

4(โยนาธานราชโอรสของซาอูลมีบุตรชายคนหนึ่งซึ่งขาพิการทั้งสองข้าง เพราะขณะที่เด็กนั้นอายุห้าขวบ มีคนนำข่าวซาอูลกับโยนาธานจากยิสเรเอลมาแจ้ง พี่เลี้ยงจึงอุ้มขึ้นและพาหนี แต่ด้วยความรีบเด็กนั้นจึงตกลงมาและเป็นง่อย เขาชื่อว่า เมฟีโบเชท)

5ฝ่ายเรคาบและบาอานาห์ บุตรของริมโมนชาวเมืองเบเอโรทออกเดินทางมายังตำหนักของอิชโบเชทและมาถึงในเวลาใกล้เที่ยง ขณะอิชโบเชทกำลังบรรทมพักเที่ยง 6ทั้งสองเข้าไปยังส่วนในของตำหนักและทำทีว่าจะเข้าไปเอาข้าวสาลี แล้วพวกเขาก็แทงที่ท้องของอิชโบเชท จากนั้นเรคาบกับบาอานาห์ก็หนีไป

7ทั้งสองเข้าไปในตำหนักขณะอิชโบเชทบรรทมอยู่บนพระแท่นในห้องบรรทม หลังจากพวกเขาจ้วงแทงและปลงพระชนม์แล้ว ก็ตัดพระเศียรและหิ้วหนีมาตลอดคืนตามเส้นทางอาราบาห์ 8เขานำพระเศียรอิชโบเชทมาเข้าเฝ้าดาวิดที่เมืองเฮโบรน และกราบทูลว่า “นี่คือศีรษะของอิชโบเชทราชโอรสของซาอูล ศัตรูผู้พยายามตามฆ่าฝ่าพระบาท วันนี้องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงแก้แค้นต่อซาอูลและลูกหลานของเขาเพื่อฝ่าพระบาทแล้ว”

9ดาวิดตรัสตอบเรคาบและบาอานาห์สองพี่น้องซึ่งเป็นบุตรของริมโมนชาวเมืองเบเอโรทว่า “องค์พระผู้เป็นเจ้าผู้ทรงกอบกู้เราพ้นจากความทุกข์ร้อนทั้งปวงนั้นทรงพระชนม์อยู่แน่ฉันใด 10เมื่อมีคนมาบอกเราว่า ‘กษัตริย์ซาอูลสิ้นพระชนม์แล้ว’ โดยหลงคิดว่าเอาข่าวดีมาบอกเรา เราก็ได้จับฆ่าในศิกลากฉันนั้น นั่นเป็นบำเหน็จที่เราให้สำหรับข่าวของเขา 11ยิ่งกว่านั้นสักเท่าใดเราจะตอบแทนอย่างสาสมกับคนสารเลวที่ลอบฆ่าคนบริสุทธิ์ถึงในบ้านทั้งๆ ที่เขายังหลับอยู่บนเตียง เราไม่ควรเอาชีวิตเจ้ามาทดแทนและกำจัดเจ้าออกจากแผ่นดินหรือ!”

12แล้วดาวิดจึงตรัสสั่งทหารให้ฆ่าเรคาบกับบาอานาห์ ตัดมือและเท้าของคนทั้งสองออกมา เอาร่างแขวนไว้ข้างสระในเมืองเฮโบรน แต่พวกเขาก็นำพระเศียรของอิชโบเชทไปฝังไว้ในอุโมงค์ฝังศพของอับเนอร์ที่เมืองเฮโบรน