2 Samweli 14 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 14:1-33

Absalomu Arudi Yerusalemu

114:1 2Sam 2:18Yoabu mwana wa Seruya akafahamu kuwa moyo wa mfalme ulikuwa na shauku ya kumwona Absalomu. 214:2 Neh 3:5; Yer 6:1; Amo 1:1; 2Sam 20:16; Rut 3:3; Isa 1:6; 2Nya 11:6; 20:20Kwa hiyo Yoabu akamtuma mtu fulani kwenda Tekoa na kumleta mwanamke mwenye hekima kutoka huko. Akamwambia huyo mwanamke, “Jifanye uko katika maombolezo. Vaa nguo za kuomboleza, nawe usitumie mafuta yoyote ya uzuri, jifanye kama mwanamke ambaye amekuwa na huzuni kwa siku nyingi kwa ajili ya kufiwa. 314:3 Kut 4:15Kisha nenda kwa mfalme ukazungumze maneno haya.” Naye Yoabu akaweka maneno kinywani mwa yule mwanamke.

414:4 1Sam 20:41; 2Sam 1:2; 2Fal 6:26Huyo huyo mwanamke kutoka Tekoa alipofika kwa mfalme, akaanguka kifudifudi kumpa mfalme heshima, akasema, “Ee mfalme, nisaidie!”

514:5 2Sam 12:1Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?”

Akamwambia, “Mimi ni mjane hasa, mume wangu amekufa. 6Mimi mtumishi wako nilikuwa na wana wawili. Wakapigana wao kwa wao huko shambani wala huko hapakuwa na mtu hata mmoja wa kuwaamua. Mmoja akampiga mwenzake na kumuua. 714:7 Hes 35:19; Mt 21:38; Kum 19:10-13; Mwa 4:14Sasa ukoo wote umeinuka dhidi ya mtumishi wako, wakisema, ‘Utukabidhi huyo aliyemuua ndugu yake, ili tumuue kwa ajili ya uhai wa ndugu yake ambaye alimuua, nasi hapo tutakuwa tumekatilia mbali na mrithi pia.’ Wakifanya hivyo, watakuwa wamezima tumaini langu lililobaki, mume wangu hataachiwa jina wala mzao katika uso wa dunia.”

814:8 1Sam 25:35Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.”

914:9 1Sam 25:24; Mt 27:25; 1Sam 25:28; 1Fal 2:33; Mwa 27:13; 2Sam 3:28-29; Hes 35:33Lakini huyo mwanamke kutoka Tekoa akamwambia, “Mfalme bwana wangu, lawama na iwe juu yangu na juu ya nyumba ya baba yangu, naye mfalme na kiti chake cha enzi na asiwe na hatia.”

10Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.”

1114:11 Hes 35:12; Mt 10:30; 1Sam 14:45; Yos 20:3-6; 1Sam 28:10; Mdo 27:34Huyo mwanamke akasema, “Basi mfalme na amwombe Bwana Mungu wake ili kuzuia mlipiza kisasi cha damu kuongeza juu ya uharibifu, ili kwamba mwanangu asije akaangamizwa.”

Mfalme akasema, “Hakika kama aishivyo Bwana, hakuna unywele mmoja wa kichwa cha mwanao utakaoanguka chini.”

12Ndipo huyo mwanamke akasema, “Mruhusu mtumishi wako aseme neno kwa mfalme bwana wangu.”

Mfalme akajibu, “Sema.”

1314:13 2Sam 12:7; 1Fal 20:40; 2Sam 13:38-39; Amu 20:2Huyo mwanamke akasema, “Mbona basi wewe umewaza jambo kama hili dhidi ya watu wa Mungu? Je, mfalme asemapo hili, hajitii hatiani mwenyewe, kwa maana mfalme hajamrudisha mwanawe aliyefukuziwa mbali? 1414:14 Ay 14:11; Za 58:7; Isa 19:5; Ay 10:8; 17:13; 30:23; Za 22:15; Ebr 9:27; Hes 35:15-28; Mhu 3:19Kama vile maji yaliyomwagika ardhini, yasivyoweza kuzoleka tena, hivyo sisi kufa ni lazima. Lakini Mungu haondoi uhai, badala yake, yeye hufanya njia ili kwamba aliyefukuzwa asibaki akiwa amefarikishwa naye.

15“Nami sasa nimekuja kusema hili kwa bwana wangu mfalme kwa sababu watu wameniogopesha. Mtumishi wako alifikiri, ‘Nitanena na mfalme, labda mfalme atamfanyia mtumishi wake kile anachoomba. 1614:16 Kut 34:9; 1Sam 26:19Labda mfalme atakubali kumwokoa mtumishi wake kutoka mkononi mwa mtu anayejaribu kunikatilia mbali, mimi na mwanangu, kutoka kwenye urithi Mungu aliotupatia.’

1714:17 1Sam 29:9; 1Fal 3:9; Dan 2:21; 2Sam 19:27“Basi sasa mtumishi wako anasema, ‘Neno la bwana wangu mfalme na linipatie pumziko, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu katika kutambua jema na baya. Bwana Mungu wako na awe pamoja nawe.’ ”

18Basi mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Usinifiche jibu kuhusu hilo nitakalokuuliza.”

Huyo mwanamke akasema, “Mfalme bwana wangu na aseme.”

19Mfalme akauliza, “Je, mkono wa Yoabu haupo pamoja nawe katika jambo hilo lote?”

Huyo mwanamke akajibu, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu mfalme, hakuna yeyote anayeweza kugeuka kulia wala kushoto kutokana na chochote anachosema bwana wangu mfalme. Naam, ni mtumishi wako Yoabu ndiye alinifundisha kufanya hivi, naye ndiye aliweka maneno haya yote kinywani mwa mtumishi wako. 2014:20 1Fal 3:21; 10:23-24; Isa 28:6; 2Sam 18:13; 19:27Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadili hali iliyopo. Bwana wangu ana hekima kama ile ya malaika wa Mungu, hufahamu kila kitu kinachotokea katika nchi.”

21Mfalme akamwambia Yoabu, “Vyema sana, nitalifanya jambo hili. Nenda, ukamlete kijana Absalomu.”

2214:22 Mwa 47:7Yoabu akaanguka kifudifudi mpaka ardhini kumpa mfalme heshima, naye akambariki mfalme. Yoabu akasema, “Leo mtumishi wako anajua kuwa amepata kibali machoni pako, bwana wangu mfalme, kwa sababu mfalme amemjalia mtumishi wake ombi lake.”

2314:23 Kum 3:14; 2Sam 3:3; 13:37Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu. 2414:24 Mwa 43:3; 2Sam 3:13; Ufu 22:4Lakini mfalme akasema, “Lazima Absalomu aende kwenye nyumba yake mwenyewe; kamwe asiuone uso wangu.” Kwa hiyo Absalomu akaenda kwenye nyumba yake na hakuuona uso wa mfalme.

2514:25 Kum 28:35; Ay 2:7; Isa 1:6; Efe 5:27Katika Israeli yote hakuna mtu yeyote aliyesifiwa kwa uzuri wa sura kama Absalomu. Kuanzia utosi wa kichwa chake hadi wayo wa mguu wake hapakuwa na kasoro. 2614:26 2Sam 18:9; Eze 44:20Kila mara aliponyoa nywele za kichwa chake, kwa kuwa alikuwa akinyoa mara kwa mara zilipokuwa zinamwia nzito, alizipima uzito wake ulikuwa shekeli mia mbili kwa kipimo cha kifalme.14:26 Shekeli 200 kwa kipimo cha kifalme ni sawa na kilo 2.3.

2714:27 2Sam 18:18; 13:1Walizaliwa wana watatu na binti mmoja kwa Absalomu. Jina la binti yake aliitwa Tamari, naye akawa mwanamke mzuri wa sura.

28Absalomu akaishi miaka miwili huko Yerusalemu pasipo kuuona uso wa mfalme. 29Basi Absalomu akamwita Yoabu kwa kusudi la kumtuma kwa mfalme, lakini Yoabu akakataa kuja kwa Absalomu. Ndipo akamwita tena mara ya pili, lakini pia akakataa kuja. 3014:30 Kut 9:31; 2Sam 13:28; Amu 15:5Ndipo akawaambia watumishi wake, “Tazama, shamba la Yoabu liko jirani na langu, naye ana shayiri humo. Nendeni mkalitie moto.” Kisha watumishi wa Absalomu wakalitia moto shamba hilo.

3114:31 Amu 15:5Basi Yoabu akaenda nyumbani kwa Absalomu, akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wametia moto shamba langu?”

3214:32 2Sam 3:3; 1Sam 20:8; Ay 31:33; Mit 28:13; Yer 8:12Absalomu akamwambia Yoabu, “Tazama, nilikutumia ujumbe na kusema, ‘Njoo ili niweze kukutuma kwa mfalme kuuliza, “Kwa nini nimekuja kutoka Geshuri? Ingekuwa bora zaidi kwangu kama ningebaki huko!” ’ Sasa basi, nataka kuuona uso wa mfalme, na ikiwa nina hatia ya jambo lolote, basi na aniue.”

3314:33 Lk 15:20; Mwa 33:4; 45:15Basi Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia jambo hili. Kisha mfalme akamwita Absalomu, naye akaingia ndani akasujudu uso wake mpaka ardhini mbele ya mfalme. Naye mfalme akambusu Absalomu.

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

2 Царств 14:1-33

Иоав готовит возвращение Авессалома в Иерусалим

1Иоав, сын Церуи, знал, что сердце царя тоскует по Авессалому. 2И послал Иоав в Текоа, чтобы привести оттуда одну хитрую женщину.

Он сказал ей:

– Притворись плачущей. Оденься в траур и не умащай себя благовониями. Веди себя как женщина, которая провела много дней в слезах, оплакивая умершего. 3Пойди к царю и скажи ему вот что.

И Иоав научил её, что нужно сказать.

4Когда женщина из Текоа вошла к царю, она поклонилась ему, пав лицом на землю, и сказала:

– Помоги мне, о царь!

5Царь спросил её:

– Что у тебя за беда?

Она сказала:

– Увы, я вдова, мой муж умер. 6У твоей рабыни было два сына. Они подрались друг с другом в поле, где не было никого, чтобы их разнять. Один из них убил другого. 7И вот против твоей рабыни поднялся весь клан. Люди говорят: «Выдай того, кто поразил своего брата, и мы предадим его смерти за жизнь его брата, которого он убил, пусть даже так мы истребим и единственного наследника». Они погасят последний уголёк, который у меня остался, и не оставят моему мужу на земле ни имени, ни потомка.

8Царь сказал женщине:

– Иди домой, я распоряжусь о тебе.

9Но женщина из Текоа сказала:

– Господин мой царь, пусть позор ляжет на меня и на семью моего отца, а царь и его престол будут невиновны.

10Царь ответил:

– Если кто-нибудь скажет тебе что-либо, приведи его ко мне, и он больше тебя не тронет.

11Она сказала:

– Тогда пусть царь помянет Вечного, своего Бога, чтобы не позволить мстителю за кровь убивать дальше и чтобы мой сын не погиб.

– Верно, как и то, что жив Вечный, – сказал он, – с головы твоего сына не упадёт на землю ни один волос.

12Тогда женщина сказала:

– Позволь твоей рабыне сказать слово господину моему царю.

– Говори, – ответил он.

13Женщина сказала:

– Почему же ты тогда замыслил подобное против народа Всевышнего? Разве, говоря так, царь не обвиняет самого себя? Ведь царь не вернул своего изгнанного сына. 14Все мы должны умереть. Мы подобны воде, пролитой на землю, которую нельзя собрать. Но Всевышний не отнимает жизнь, напротив, Он мыслит о том, как бы отверженный Им не остался отвергнутым.

15И вот я пришла, чтобы сказать это господину моему царю, потому что народ напугал меня. Твоя рабыня подумала: «Поговорю с царём, может быть, он сделает то, о чём просит рабыня его. 16Может быть, царь согласится избавить свою рабыню от руки того человека, который пытается отсечь и меня, и моего сына от наследия, которое дал нам Всевышний».

17И вот твоя рабыня говорит: пусть слово господина моего царя принесёт мне покой, потому что господин мой царь, как ангел Всевышнего, различающий, что есть добро, а что зло. Пусть Вечный, твой Бог, будет с тобой!

18Царь сказал женщине:

– Не утаи от меня того, о чём я тебя спрошу.

– Пусть господин мой царь говорит, – сказала женщина.

19Царь спросил:

– Не рука ли Иоава с тобой во всём этом?

Женщина ответила:

– Верно, как и то, что ты жив, господин мой царь, – никто не может уклониться ни вправо, ни влево от того, что говорит господин мой царь. Да, это твой раб Иоав научил меня сделать так и вложил эти слова в уста твоей рабыни. 20Твой раб Иоав сделал это, чтобы изменить нынешнее положение дел. Мудрость моего господина, как мудрость ангела Всевышнего – он знает всё, что происходит на земле.

21Царь сказал Иоаву:

– Хорошо, я сделаю это. Ступай, возврати юношу Авессалома.

22Иоав поклонился ему, пав лицом на землю, и благословил царя.

Иоав сказал:

– Сегодня твой раб узнал, что нашёл у тебя расположение, господин мой царь, потому что царь исполнил просьбу своего раба.

23И Иоав отправился в Гешур и вернул Авессалома в Иерусалим. 24Но царь сказал:

– Пусть он идёт к себе домой. Он не должен видеть моего лица.

И Авессалом пошёл к себе домой, не увидев царского лица.

Примирение Довуда с Авессаломом

25Во всём Исроиле не было мужчины столь красивого, как Авессалом, которым бы так восхищались. От макушки до пят в нём не было никакого изъяна. 26Всякий раз, когда он стриг волосы на голове (он стриг волосы раз в год, когда они становились для него слишком тяжелы), он взвешивал их, и весили они около двух с половиной килограммов14:26 Букв.: «двести шекелей по царской весовой мере».. 27У Авессалома родились три сына и дочь. Дочь звали Фамарью, она была красавицей.

28Авессалом жил в Иерусалиме два года, не видя царского лица. 29И вот послал Авессалом людей за Иоавом, чтобы послать его к царю, но Иоав отказался прийти к нему. Тогда он послал людей во второй раз, но тот и на этот раз отказался прийти. 30Тогда он сказал своим слугам:

– Видите поле Иоава возле моего, у него там растёт ячмень. Идите и подожгите его.

И слуги Авессалома подожгли поле. 31Тогда Иоав встал и пришёл в дом Авессалома и сказал ему:

– Почему твои слуги подожгли моё поле?

32Авессалом сказал Иоаву:

– Я посылал к тебе сказать: «Приди, чтобы мне послать тебя спросить у царя: зачем я пришёл из Гешура? Мне было бы лучше, если бы я всё ещё оставался там!» Итак, я хочу видеть лицо царя, а если я в чём-нибудь виноват, пусть он предаст меня смерти.

33Иоав пошёл к царю и передал ему эти слова. Царь призвал Авессалома, и тот пришёл и поклонился царю лицом до земли. А царь поцеловал Авессалома.