2 Samweli 1 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 1:1-27

Daudi Afahamishwa Kifo Cha Sauli

11:1 1Sam 26:10; 1Nya 10:13; Yos 22:8; 1Sam 30:17; Mwa 14:7; Hes 13:29; 1Sam 11:11; 1Fal 20:29-30Baada ya kifo cha Sauli, Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwashinda Waamaleki, Daudi alikaa siku mbili huko Siklagi. 21:2 2Sam 4:10; Ay 2:12; Eze 27:30; 1Sam 20:41; Mwa 37:7; 37:29; 44:13; Hes 14:6; Yos 7:6; Ay 1:20; Mdo 14:14Siku ya tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na mavumbi kichwani mwake kutoka kwenye kambi ya Sauli. Alipomjia Daudi, akajitupa chini ili kumpa heshima.

3Daudi akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?”

Akamjibu, “Nimetoroka kutoka kambi ya Waisraeli.”

41:4 1Sam 4:16Daudi akamuuliza, “Ni nini kilichotokea? Niambie.”

Akasema, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wao walianguka na kufa. Naye Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”

5Ndipo Daudi akamwambia huyo kijana aliyemletea taarifa, “Je, umefahamuje kwamba Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa?”

61:6 1Sam 28:4; 31:2-4; 1Nya 10:1-3Yule kijana akasema, “Nilijipata huko Mlima Gilboa, naye Sauli alikuwa huko akiegemea mkuki wake, na magari ya vita na wapanda farasi wa upande wa adui wakawa wamemkaribia sana. 7Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’

81:8 1Sam 15:2; 27:8; 30:13, 17“Akaniuliza, ‘Wewe ni nani?’

“Nikamjibu, ‘Mimi ni Mwamaleki.’

91:9 Amu 9:54“Kisha akaniambia, ‘Nikaribie mimi na uniue! Niko katika maumivu makali ya kifo, lakini bado ningali hai.’

101:10 Amu 9:54; 2Fal 11:12“Kwa hiyo nikamkaribia nikamuua, kwa sababu nilijua kwamba baada ya kuanguka hangeweza kupona. Nami nikachukua lile taji lililokuwa kichwani mwake na utepe uliokuwa mkononi mwake nami nimevileta hapa kwa bwana wangu.”

111:11 Mwa 37:29; Hes 14:6; Yos 7:6; 2Sam 3:31; 13:31; Ezr 9:3; 2Nya 34:27; Yoe 2:13Ndipo Daudi pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye wakazishika nguo zao na kuzirarua. 12Wakaomboleza, wakalia pia na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli na Yonathani mwanawe, kwa ajili ya jeshi la Bwana na nyumba ya Israeli, kwa sababu wameanguka kwa upanga.

131:13 1Sam 14:48Daudi akamwambia yule kijana aliyemletea taarifa, “Wewe ni mwenyeji wa wapi?”

Akamjibu, “Mimi ni mwana wa mgeni, Mwamaleki.”

141:14 1Sam 12:3; 26:9; 24:6; Hes 12:8; Za 105:15Daudi akamuuliza, “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako ili kumwangamiza mpakwa mafuta wa Bwana?”

151:15 2Sam 4:10-12; Amu 8:20; 1Sam 22:17-18; 1Fal 2:25, 34, 46Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamuue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa. 161:16 Law 20:9; Mt 27; 24:25; Mdo 18:6; 1Sam 26:9; Lk 19:22Kwa maana Daudi alikuwa amemwambia, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako mwenyewe. Kinywa chako mwenyewe kimeshuhudia dhidi yako uliposema, ‘Nilimuua mpakwa mafuta wa Bwana.’ ”

Ombolezo La Daudi Kwa Ajili Ya Sauli Na Yonathani

171:17 Mwa 50:10; Eze 32:2; 2Nya 35:25Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu Sauli na Yonathani mwanawe, 181:18 Yos 10:13; 1Sam 31:3naye akaagiza kwamba watu wa Yuda wafundishwe ombolezo hili la upinde (ambalo limeandikwa katika Kitabu cha Yashari):

191:19 2Sam 23:8; Za 29:1; 45:3; 2Sam 3:38“Walio fahari yako, ee Israeli, wameuawa juu ya mahali pako palipoinuka.

Jinsi wenye nguvu walivyoanguka!

201:20 Mik 1:10; Yos 13:3; 1Sam 31:8; 18:6; Amu 16:23; Kut 15:20; Amu 11:34“Msilisimulie hili katika Gathi,

msilitangaze hili katika

barabara za Ashkeloni,

binti za Wafilisti wasije wakafurahia,

binti za hao wasiotahiriwa

wasije wakashangilia.

211:21 Mwa 27:28; Isa 18:4; Kum 11:17; 1Fal 8:35; 17:1; 18:1; 2Nya 6:26; Ay 36:27; 38:28; Za 65:10; 147:8; Isa 5:6; Yer 5:24; 14:4; 12:4; Eze 31:5; Isa 21:5“Enyi milima ya Gilboa,

msipate umande wala mvua,

wala mashamba yazaayo sadaka ya nafaka.

Kwa maana huko ndiko ngao ya mwenye nguvu iliponajisiwa,

ngao ya Sauli haitapakwa tena mafuta.

221:22 Isa 34:3, 7; 49:26; Kum 32:42; 1Sam 18:4Kutokana na damu ya waliouawa,

kutokana na miili ya wenye nguvu,

ule upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma.

Upanga wa Sauli haukurudi bure.

231:23 Kum 28:49; Amu 14:18; Yer 4:13“Sauli na Yonathani,

maishani walipendwa na kuneemeka,

na katika kifo hawakutengana.

Walikuwa wepesi kuliko tai,

walikuwa na nguvu kuliko simba.

241:24 Amu 5:30“Enyi binti za Israeli,

lieni kwa ajili ya Sauli,

ambaye aliwavika nguo

nyekundu na maridadi,

ambaye aliremba mavazi yenu

kwa mapambo ya dhahabu.

25“Tazama jinsi mashujaa

walivyoanguka vitani!

Yonathani ameuawa

mahali pako palipoinuka.

261:26 Yer 22:18; 34:5; 1Sam 20:42; 18:1; 19:2; 20:17Nahuzunika kwa ajili yako,

Yonathani ndugu yangu,

kwangu ulikuwa mpendwa sana.

Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu,

wa ajabu zaidi kuliko ule wa wanawake.

271:27 1Sam 2:4“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka!

Silaha za vita zimeangamia!”

Swedish Contemporary Bible

2 Samuelsboken 1:1-27

David blir kung över Juda och Israel

(1:1—5:5)

David blir kung över Juda

David sörjer Saul och Jonatan

1När Saul var död och David hade återvänt hem till Siklag efter segern över amalekiterna, stannade David där i två dagar. 2Den tredje dagen kom en man från Sauls läger med kläderna sönderrivna och jord på huvudet.1:2 Sönderrivna kläder och jord på huvudet var tecken på sorg. Han föll ner inför David i vördnad.

3”Varifrån kommer du?” frågade David. ”Jag har flytt från israeliternas läger”, svarade mannen. 4”Vad har hänt?” frågade David. ”Berätta!”

Mannen svarade: ”Hela vår armé flydde. Många stupade och Saul och hans son Jonatan är döda.” 5”Hur vet du att Saul och Jonatan är döda?” frågade David den unge mannen.

6”Jag råkade vara på berget Gilboa”, svarade mannen. ”Där såg jag Saul vila sig mot sitt spjut medan fiendens vagnar närmade sig honom. 7När han såg mig, sa han till mig komma fram till honom. Jag gick och sa: ’Här är jag!’

8’Vem är du?’ frågade han mig. ’En amalekit’, svarade jag. 9’Kom och befria mig från mina plågor’, sa han, ’för döden håller mig i sitt grepp och jag har inte långt kvar.’

10Då dödade jag honom, eftersom jag visste att han inte skulle överleva. Sedan tog jag hans krona och hans armband för att överlämna dem till dig, herre.”

11David och hans män slet då sönder sina kläder. 12De fastade, grät och sörjde hela dagen över Saul och hans son Jonatan och över Herrens armé och Israels folk, eftersom så många hade dött den dagen.

13Sedan frågade David den unge mannen som hade kommit med nyheterna: ”Varifrån är du?” Han svarade: ”Jag är son till en främling, en amalekit.” 14”Hur vågade du lyfta din hand och döda Herrens smorde?” frågade David.

15Han kallade på en av sina soldater och sa: ”Hugg ner honom!” Soldaten gjorde som David befallt och amalekiten föll ner död.

16”Du bär själv skulden till din egen död”, sa David till honom, ”för du vittnade själv mot dig att du dödat Herrens smorde.”

Davids sång till Saul och Jonatan

17David sjöng en klagosång över Saul och hans son Jonatan 18och befallde att folket i Juda skulle lära sig sången. Den upptecknades i ”Den redliges bok”.

19”O Israel, din prydnad ligger slagen på höjderna.

Dina mäktiga har fallit.

20Berätta det inte för någon i Gat,

låt det inte bli känt på Ashkelons gator,

så att inte filistéernas döttrar ska glädja sig,

de oomskurnas döttrar dansa av fröjd.

21Ni Gilboa berg, må ni aldrig mer se dagg eller regn,

ej heller fält för offergåvor.

Där ligger de mäktigas sköld fläckad,

Sauls sköld, inte längre insmord med olja.

22Jonatans båge och Sauls svärd

återvände aldrig otillfredsställda från slagfälten

och från den blodiga kampen med mäktiga fiender.

23Saul och Jonatan, så älskade och vördade i livet,

var tillsammans även i döden.

De var snabbare än örnar,

starkare än lejon.

24Israels döttrar, gråt över Saul,

som klädde er så vackert i purpurrött

och prydde era kläder med smycken av guld.

25Mäktiga hjältar har fallit i striden.

Jonatan ligger slagen på höjderna.

26Jag sörjer dig, Jonatan, min bror!

Du var mig så kär.

Din kärlek var mer för mig än kvinnors kärlek.

27De mäktiga har fallit,

och vapnen är krossade.”