2 Petro 1 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Petro 1:1-21

11:1 Rum 1:1; 1Pet 1:1; Rum 3:21-26; Tit 2:13Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo:

Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:

21:2 2Pet 3:18; Rum 1:7; Flp 3:8; 2Pet 2:20; 1:3, 8Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Wito Wa Mkristo Na Uteule

31:3 1Pet 1:5; Rum 8:28; 1The 2:12Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. 41:4 2Kor 7:1; Efe 4:24; Ebr 12:10; Yak 1:27Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.

51:5 Kol 2:3; 2Pet 3:18; 1Pet 3:7; Gal 5:6, 22; Yud 3Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa; 61:6 Mdo 24:25; Ebr 10:36; 2Pet 1:3katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;1:6 Maana yake kumcha Mungu. 71:7 Rum 12:10; 1The 3:12; Gal 6:18; 1The 5:15; 1Yn 4:21katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo. 81:8 Yn 15:2; Kol 1:10Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo. 91:9 1Yn 2:11; Mt 1:21Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.

101:10 Za 15:5; Rum 8:28; Za 15:5; 2Pet 3:17; Yud 24Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe, 111:11 Za 145:13; 2Tim 4:18; 2Pet 2:20; 3:18na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.

Unabii Wa Maandiko

121:12 1Yn 2:21; Flp 3:1; Yud 5; 2Yn 2Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo. 131:13 Isa 38:12; 2Kor 5:14; 2Pet 3:1; 2Kor 5:1, 4Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu, 141:14 2Tim 4:6; Yn 13:36; 21:18, 19kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu. 151:15 Lk 9:31; Hes 22:4-20; 31:16; Kum 23:4; Yud 11; Ufu 2:14Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.

161:16 Mk 13:26; Hes 22:21-30; 1Kor 1:17; 2:1, 4; 2Kor 2:17; 4:2Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake. 17Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.” 18Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.

191:19 Za 119:105; Ufu 22:16Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu. 201:20 Rum 12:6; 2Pet 3:3Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe. 211:21 2Tim 3:16; 2Sam 23:2; Mdo 1:16Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

彼得后书 1:1-21

1我是耶稣基督的奴仆和使徒西门·彼得,写信给借着我们的上帝和救主耶稣基督的义,与我们得到同样宝贵信心的人。

2愿你们因认识上帝和我们主耶稣而得到丰富的恩典和平安!

追求长进

3因为我们认识了用自己的荣耀和美德呼召我们的上帝,上帝以祂神圣的能力将生命与敬虔所需要的一切赐给了我们。 4借此,祂已将既宝贵又伟大的应许赏给了我们,使我们脱离世上私欲带来的败坏,能够有份于上帝的性情。

5正因如此,你们要加倍努力,不仅要有信心,还要有好的德行;不仅要有好的德行,还要有知识; 6不仅要有知识,还要有节制;不仅要有节制,还要有忍耐;不仅要有忍耐,还要有敬虔; 7不仅要有敬虔,还要有爱弟兄姊妹的心;不仅要有爱弟兄姊妹的心,还要有爱众人的心。 8如果充分具备了这些品德,你们对我们主耶稣基督的认识就不会停滞不前,毫无收获。 9缺乏上述品德的人不是瞎眼就是目光短浅,忘记他从前的罪已经得到洁净。

10所以,弟兄姊妹,你们要更加努力,以确定自己蒙了呼召和拣选。这样,你们就绝不会失足犯罪, 11进入我们的主和救主耶稣基督永恒国度的大门必为你们敞开。

12虽然你们已经知道这些事,并且在所领受的真道上也很坚固,但我还是要常常提醒你们。 13我觉得应当趁着我还在世的时候1:13 还在世的时候”希腊文是“还在这帐篷里的时候”,作者用帐篷代表自己的身体。提醒你们,激励你们, 14因我知道自己离世的日子已经不远了,正如我们的主耶稣基督指示我的。 15我要尽力使你们在我离世以后仍然常常记得这些事。

见证基督的荣耀

16我们从前告诉你们有关主耶稣基督的大能和祂降临的事,并非根据巧妙虚构的神话,而是我们亲眼见过祂的威荣。 17祂从父上帝那里得到了尊贵和荣耀,那时从极大的荣光中有声音对祂说:“这是我的爱子,我甚喜悦祂。” 18当时我们和祂一同在圣山上,亲耳听见了这来自天上的声音。

19这使我们更加确信先知的预言。你们要留意这些预言,把这些预言看作照耀在黑暗中的明灯,一直到天破晓、晨星在你们心中升起。 20你们首先该知道:圣经上的一切预言都不可随人的私意解释, 21因为预言绝非出于人的意思,都是人受了圣灵的感动,讲出上帝的信息。