2 Nyakati 17 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 17:1-19

Yehoshafati Mfalme Wa Yuda

1Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli. 217:2 2Nya 15:8; 11:11Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.

317:3 Rum 8:31; 1Fal 22:43Bwana Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali 417:4 1Fal 12:28; 2Nya 22:9bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli. 517:5 1Sam 10:27; 2Nya 18:1; 1Fal 10:25-27Kwa hiyo Bwana akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima. 617:6 1Fal 8:61; 2Nya 14:3; 15:17Moyo wake ukawa hodari katika njia za Bwana na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.

717:7 Neh 8:7; Mal 2:7; 2Nya 15:3Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda. 817:8 Hos 4:6Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu. 917:9 Kum 6:4-9; 28:61; Law 10:11; 2Nya 35:3; Neh 8:7; Mal 2:7Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya Bwana wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.

1017:10 Mwa 35:5; Kum 2:25; Kut 15:15; 2Nya 14:14Hofu ya Bwana ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati. 1117:11 2Nya 9:14; 26:8; 21:16; 2Sam 8:2Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.

12Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda 13na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu. 1417:14 2Sam 24:2Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo:

Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu:

Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;

15aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;

1617:16 Amu 5:9; 1Nya 29:9-17; 2Kor 8:12; Za 110:3aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiwa na askari 200,000.

17Kutoka Benyamini:

Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;

18aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.

1917:19 2Nya 25:5; 11:10Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.

Korean Living Bible

역대하 17:1-19

유다의 4대 왕 여호사밧

1아사왕이 죽은 다음 그의 아들 여호사밧이 왕위를 계승하였다. 그는 이스라 엘의 침공에 대비하여 국력을 배양하고

2유다의 모든 요새 성에 병력을 배치했으며 이 밖에 유다의 여러 다른 성과 또 그의 아버지 아사가 빼앗은 에브라임의 여러 성에도 주둔군을 두었다.

3여호사밧이 17:3 또는 ‘그 조상 다윗의’자기 아버지의 처음 행위를 본받아 우상을 섬기지 않았으므로 여호와께서 그와 함께하셨다.

4그는 자기 아버지의 하나님을 섬기고 그분의 명령에 순종하며 이스라엘의 왕들처럼 행하지 않았다.

5여호와께서 그를 통해 나라의 기틀을 튼튼하게 하셨으므로 모든 유다 사람들이 아낌없는 선물을 보내 왔다. 그래서 그는 부귀와 영광을 한 몸에 지니게 되었다.

6여호사밧은 여호와를 섬기는 일에 큰 긍지를 가지고 과감하게 17:6 또는 ‘산당’산 속에 있는 이방 제단들을 헐고 아세라 여신상을 없애 버렸다.

7여호사밧은 왕이 된 지 3년에 전국적으로 대대적인 종교 교육을 실시하였다. 그는 이 일을 위해서 유다의 모든 성에 고위층 관리들을 교사로 파견했는데 그들은 벤 – 하일, 오바댜, 스가랴, 느다넬, 미가야였다.

8그는 또 레위 사람 스마야, 느다냐, 스바댜, 아사헬, 스미라못, 여호나단, 아도니야, 도비야, 도바도니야, 그리고 제사장 엘리사마와 여호람도 그들과 함께 보냈다.

9이들은 여호와의 율법책을 가지고 유다의 모든 성을 순회하면서 백성들을 가르쳤다.

10여호와께서는 유다의 모든 인접 국가들에게 두려운 마음을 주셔서 그들이 감히 여호사밧에게 도전하지 못하도록 하셨다.

11그러자 일부 블레셋 사람들은 그에게 선물을 보내고 또 조공으로 은을 바쳤으며 아라비아 사람들은 숫양 7,700마리와 숫염소 7,700마리를 가져오기도 하였다.

12이리하여 여호사밧은 점점 강력해져서 유다 전역에 요새 성과 국고성을 건축하고

13성마다 많은 물자를 확보해 두었다. 그리고 수도 예루살렘에는 막강한 정예 부대를 배치했는데

14그 지휘관들을 집안별로 분류해 보면 다음과 같다: 먼저 유다 집안에서 부하 30만 명을 거느린 아드나,

15부하 28만 명을 거느린 여호하난,

16부하 20만 명을 거느린 지휘관으로 17:16 또는 ‘자기를 여호와께 즐거이 드린 자’철저한 신앙의 사람인 시그리의 아들 아마시야가 있었으며

17베냐민 집안에서는 활과 방패로 무장한 부하 20만 명을 거느린 용감한 지휘관 엘리아다와

18잘 무장된 기동대원 18만 명을 거느린 여호사밧이 있었다.

19이들은 모두 수도 예루살렘을 지키는 경비병들이며 이 밖에도 왕은 유다의 여러 요새 성에 병력을 배치하였다.