2 Nyakati 16 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 16:1-14

Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa

(1 Wafalme 15:17-24)

116:1 Yer 41:9; 2Nya 15:9; 1Fal 15:17Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.

2Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la Bwana na kutoka jumba lake mwenyewe la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye alikuwa anatawala huko Dameski. 316:3 2Nya 20:35; 25:7Akasema, “Pawepo na mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”

4Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abel-Maimu na miji yote ya hazina ya Naftali. 5Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama na kuacha kazi yake. 6Ndipo Mfalme Asa akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na Mispa.

716:7 1Fal 16:1; 2Nya 19:2; 20:34; Za 146:3-6; Isa 31:1; Yer 17:5Ikawa wakati huo mwonaji Hanani akamjia Mfalme Asa wa Yuda na kumwambia: “Kwa sababu ulimtegemea mfalme wa Aramu nawe hukumtegemea Bwana Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limeponyoka mkononi mwako. 816:8 Mwa 10:6-9; 2Nya 13:16; 14:9; 12:3Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea Bwana yeye aliwatia mkononi mwako. 916:9 Ay 24:23; 1Sam 13:13; Za 33:13-15; Yer 5:21; 32:19; 1Kor 15:36; 2Nya 6:20; Ay 34:21; Yer 16:17; Zek 4:10; Ebr 4:13; 1Pet 3:12; 1Nya 21:8; Mt 5:22; 1Fal 15:32Kwa kuwa macho ya Bwana hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita.”

1016:10 2Nya 18:26; Yer 20:2; Mt 14:3Asa akamkasirikia mwonaji kwa sababu ya jambo hili. Alikuwa ameghadhibika sana hata akamweka gerezani. Wakati huo huo Asa akaanza kuwatesa na kuwaonea baadhi ya watu kwa ukatili.

11Matukio ya utawala wa Asa, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. 1216:12 Yer 17:5-6; Kum 28:22Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipatwa na ugonjwa kwenye miguu yake. Ingawa ugonjwa wake ulimzidia sana, hata katika kuugua kwake hakutafuta msaada kutoka kwa Bwana bali kwa matabibu tu. 13Katika mwaka wa arobaini na moja wa utawala wa Asa, alikufa na kulala na baba zake. 1416:14 Mwa 50:2; Yn 19:39-40; Mk 16:1; 2Nya 21:19; Yer 34:5Nao wakamzika katika kaburi lile alilokuwa amejichongea mwenyewe katika Mji wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa vikolezi na mchanganyiko wa manukato ya aina mbalimbali yaliyotengenezwa kwa utaalamu wa mtengeneza marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa heshima yake.

Persian Contemporary Bible

دوم تواريخ 16:1-14

سالهای آخر آسا

(اول پادشاهان 15‏:17‏-24)

1در سال سی و ششم سلطنت آسا، بعشا پادشاه اسرائيل به يهودا لشكر كشيد و شهر رامه را بنا كرد تا نگذارد كسی از خارج وارد اورشليم شود و نزد آسا، پادشاه يهودا رفت و آمد كند. 2آسا چون وضع را چنين ديد، هر چه طلا و نقره در خزانه‌های خانه خداوند و كاخ سلطنتی بود، گرفت و با اين پيام برای بنهدد پادشاه سوريه به دمشق فرستاد:

3«بيا مثل پدرانمان با هم متحد شويم. اين طلا و نقره‌ای را كه برايت می‌فرستم از من بپذير. پيمان دوستی خود را با بعشا، پادشاه اسرائيل قطع كن تا او از قلمرو من خارج شود.»

4بنهدد موافقت كرد و با سپاهيان خود به اسرائيل حمله برد و شهرهای عيون، دان، آبل مايم16‏:4 به «آبل بيت معکه» نيز معروف بود.‏ و تمام مراكز مهمات و آذوقه را در زمين نفتالی تسخير كرد. 5وقتی بعشای پادشاه اين را شنيد از بنای رامه دست كشيد و از سرزمين يهودا عقب‌نشينی كرد. 6آسا تمام مردم يهودا را به رامه آورد و آنها سنگها و چوبهايی را كه بعشا به کار برده بود، برداشتند و بردند و با آن، شهرهای جبع و مصفه را بنا كردند.

حنانی نبی

7در اين هنگام حنانی نبی نزد آسای پادشاه آمد و به او گفت: «تو به جای اينكه به خداوند، خدای خود تكيه كنی، به پادشاه سوريه متوسل شدی به همين سبب سوری‌ها از چنگ تو خلاصی يافتند. 8آيا به ياد نداری كه بر سر آن سپاه عظيم حبشه و ليبی، با آن همه عرابه‌ها و سوارانی كه داشتند، چه آمد؟ در آن زمان چشم اميد تو به خداوند بود و او هم آن سپاه عظيم را به دستت تسليم نمود. 9زيرا خداوند به تمام جهان چشم دوخته است تا كسانی را كه از دل و جان به او وفادارند، بيابد و به آنان قوت ببخشد. ولی چون تو احمقانه رفتار كردی؛ از اين به بعد هميشه گرفتار جنگ خواهی بود.»

10آسا از سخنان نبی چنان برآشفت كه او را به زندان انداخت. از آن پس رفتار آسا با مردم ظالمانه شد.

11شرح كامل رويدادهای دوران سلطنت آسا در كتاب «تاريخ پادشاهان يهودا و اسرائيل» نوشته شده است. 12در سال سی و نهم سلطنت آسا، مرضی در پاهايش ايجاد شد. گرچه مرضش شدت گرفت، ولی او حتی در بيماری خود نيز از خداوند ياری نخواست بلكه فقط به پزشكان اميد بست. 13او در سال چهل و يكم سلطنتش درگذشت. 14جنازهٔ او را روی تخت روانی گذاشتند و با انواع عطريات معطر ساختند و بعد در مقبره‌ای كه برای خود در اورشليم ساخته بود، دفن نمودند و آتش بزرگی به احترام او روشن كردند.