2 Nyakati 15 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 15:1-19

Asa Afanya Matengenezo

115:1 Hes 24:4; Amu 3:10; 2Nya 24:20; 2Sam 23:2; 2Nya 20:14; 2Pet 1:21Roho wa Bwana akamjia Azaria mwana wa Odedi. 215:2 Yak 4:8; 2Nya 20:17; Kum 31:17; 1Nya 28:9; Ebr 12:25; 2Nya 33:12-13; Yer 29:13; Mt 7:7; 2Nya 12:1-3; Rum 11:1-2Akatoka ili kumlaki Asa na kumwambia, “Nisikilizeni, Asa na Yuda wote na Benyamini. Bwana yu pamoja nanyi mkiwa pamoja naye. Kama mkimtafuta, ataonekana kwenu, lakini kama mkimwacha yeye, naye atawaacha ninyi. 315:3 Law 10:11; Mao 2:9; Amo 8:11; Hos 3:4Kwa muda mrefu Israeli walikuwa hawana Mungu wa kweli, walikuwa hawana kuhani wa kuwafundisha na wala hawakuwa na sheria. 415:4 Kum 4:29Lakini katika taabu yao walimrudia Bwana, Mungu wa Israeli na kumtafuta, naye akaonekana kwao. 515:5 Amu 19:20; Zek 8:10; Amu 5:6Katika siku hizo hapakuwa na amani kwa yeyote aliyesafiri, kutoka wala kuingia, kwa kuwa wakazi wote wa nchi walikuwa katika machafuko makubwa. 615:6 Mt 24:7; Isa 19:2; Mk 13:8Taifa moja lilipigana na taifa lingine na mji mmoja ukapigana na mji mwingine, kwa sababu Mungu alikuwa anawahangaisha kwa taabu za kila aina. 715:7 1Sam 24:19; Mit 14:14; Rut 2:12; Za 58:11; Mt 5:12-46; Lk 6:35; Kol 3:24Lakini kwa habari yenu ninyi, kuweni hodari wala msikate tamaa, kwa kuwa mtapata thawabu kwa kazi yenu.”

815:8 2Nya 13:19; 8:12; 1Fal 8:64Asa aliposikia maneno haya na unabii wa Azaria mwana wa Odedi nabii, akajipa moyo. Akaziondoa sanamu zote zilizokuwa machukizo katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na kutoka miji aliyoiteka ya vilima vya Efraimu. Akakarabati madhabahu ya Bwana iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Hekalu la Bwana.

915:9 2Nya 11:16-17Kisha akakutanisha Yuda wote, Benyamini na watu kutoka Efraimu, watu wa Manase na Simeoni waliokuwa wanaishi miongoni mwao, kwa maana idadi kubwa walikuwa wamemjia kutoka Israeli walipoona kwamba Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye.

10Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa. 1115:11 2Nya 14:13-15Wakati huo wakamtolea Bwana dhabihu za ngʼombe 700, kondoo na mbuzi 7,000 kutoka zile nyara walizoteka. 1215:12 2Fal 11:17; 2Nya 23:16; Neh 10:29; 1Nya 16:11; 2Fal 23:3; 2Nya 34:31Wakafanya agano kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote. 1315:13 Kut 22:20; Kum 13:9-16Wale wote ambao hawangemtafuta Bwana, Mungu wa Israeli wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke. 14Wakamwapia Bwana kwa sauti kuu, kwa kupiga kelele, tarumbeta na kwa mabaragumu. 1515:15 Kum 4:29; 1Nya 22:9; 2Nya 14:7Yuda wote wakafurahia kile kiapo kwa sababu walikuwa wameapa kwa moyo wao wote. Wakamtafuta Mungu kwa bidii, naye akaonekana kwao. Kwa hiyo Bwana akawastarehesha pande zote.

1615:16 Kut 34:13; 2Nya 14:2-5; 1Fal 15:2, 10Mfalme Asa akamwondolea Maaka mama yake wadhifa wake kama mama malkia kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo, akaivunjavunja na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni. 1715:17 2Fal 12:3; 1Fal 3:2-4; Kum 12:7; 1Fal 15:14; 2Nya 14:3-5Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika Israeli, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote. 18Akaleta ndani ya Hekalu la Mungu fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.

19Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

New Russian Translation

2 Паралипоменон 15:1-19

Реформы Асы

(3 Цар. 15:13-16)

1Дух Божий сошел на Азарию, сына Одеда. 2Он вышел навстречу Асе и сказал ему:

– Послушайте меня, Аса и весь Иуда и Вениамин. Господь с вами, когда вы с Ним. Если вы будете искать Его, то Он откроется вам, но если оставите Его, Он оставит вас. 3Долгое время Израиль оставался без истинного Бога, без священника, который бы учил, и без Закона. 4Но в беде они обратились к Господу, Богу Израиля, стали искать Его, и Он открылся им. 5Никто в те дни не мог спокойно путешествовать, потому что во всех странах были смутные времена. 6Род уничтожал род, и город шел на город, потому что всевозможные беды от Бога повергали их в смятение15:6 См. книгу Судей, где описаны эти смутные времена.. 7А вы будьте тверды и не опускайте рук, потому что ваш труд будет вознагражден.

8Услышав эти слова, пророчество Азарии, сына пророка Одеда, Аса собрался с духом. Он убрал ненавистных идолов из всех земель Иуды и Вениамина и из городов, которые он взял в нагорьях Ефрема. Он восстановил жертвенник Господа, который находился перед притвором Господнего дома.

9Затем он собрал всех из родов Иуды и Вениамина вместе с переселенцами из земель Ефрема, Манассии и Симеона, которые поселились у них. К нему перешло множество народа из Израиля, когда они увидели, что с ним Господь, его Бог.

10Они собрались в Иерусалиме в третьем месяце пятнадцатого года правления Асы. 11В то время они принесли в жертву Господу семьсот голов крупного скота и семь тысяч голов мелкого скота из добычи, которую они взяли. 12Они вступили в завет, чтобы всем сердцем и всей душой искать Господа, Бога своих отцов. 13Все, кто не искал Господа, Бога Израиля, должны были быть преданы смерти, будь то мужчина или женщина. 14Они громким голосом поклялись Господу под восклицания, под звуки труб и рогов. 15Весь народ Иудеи радовался о клятве, потому что они дали ее от всего сердца. Они ревностно искали Бога, и Он открылся им. Господь даровал им мир со всех сторон.

16Еще царь Аса лишил мать своего отца, Мааху, положения царицы-матери, за то, что она сделала отвратительный столб Ашеры. Аса срубил столб, поломал его и сжег в долине Кедрон. 17Он не упразднил в Израиле святилищ на возвышенностях, но сердце его было все же полностью предано Господу во все дни его жизни. 18Он внес в Божий дом серебро, золото и различную утварь, которые посвятили он сам и его отец.

19До тридцать пятого года правления Асы не было войны.