1 Yohana 3 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Yohana 3:1-24

13:1 Yn 3:16; 15:21Tazameni ni pendo kuu namna gani alilotupa Baba, kwamba sisi tuitwe wana wa Mungu! Na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye. 23:2 Rum 8:29; 2Pet 1:4; Za 17:15Wapendwa, sasa tu wana wa Mungu, lakini bado haijadhihirika tutakavyokuwa, lakini twajua ya kwamba yeye atakapodhihirishwa, tutafanana naye, kwa maana tutamwona kama alivyo. 33:3 2Kor 7:1; 2Pet 3:13, 14Kila mmoja mwenye matumaini haya ndani yake hujitakasa, kama vile yeye alivyo mtakatifu.

43:4 1Yn 5:17; Mt 7:23; Rum 4:15Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi. 53:5 2Kor 5:21; 1Yn 1:2; Isa 53:5, 6, 11; 1Tim 1:15; Ebr 1:3; 9:26; 1Pet 2:24Lakini mwajua ya kuwa yeye alidhihirishwa ili aziondoe dhambi, wala ndani yake hamna dhambi. 63:6 1Yn 5:18; 3Yn 1; 1Yn 2:4Kila mtu akaaye ndani yake hatendi dhambi. Kila mtu atendaye dhambi hakumwona yeye wala hakumtambua.

73:7 1Yn 2:1; 2:26; 2:29Watoto wapendwa, mtu yeyote asiwadanganye. Kila mtu atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki. 83:8 Yn 1:13; Za 119:3; 1Pet 1:23Yeye atendaye dhambi ni wa ibilisi, kwa sababu ibilisi amekuwa akitenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili aziangamize kazi za ibilisi. 93:9 Yn 1:13; 1Yn 3:6; Za 119:3; 1Yn 5:18; 1Pet 1:23Yeyote aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wa Mungu wakaa ndani yake, wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa na Mungu. 103:10 1Yn 3:1, 2; Yn 1:12; 1Yn 3:8; 4:8; 2:9Kwa jinsi hii tunaweza kujua dhahiri watoto wa Mungu na pia watoto wa ibilisi. Yeyote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.

Mpendane Ninyi Kwa Ninyi

113:11 1Yn 1:5; Yn 15:12Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo: Kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi. 123:12 Mwa 4:8; Mt 5:37; Za 38:20; Mit 29:10Msiwe kama Kaini aliyekuwa wa yule mwovu akamuua ndugu yake. Basi kwa nini alimuua? Ni kwa sababu matendo yake Kaini yalikuwa mabaya na ya ndugu yake yalikuwa ya haki. 133:13 Yn 15:18, 19; 17:14Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama ulimwengu ukiwachukia. 143:14 Yn 5:24; 1Yn 2:9Sisi tunajua ya kwamba tumepita mautini kuingia uzimani, kwa sababu tunawapenda ndugu. Kila asiyempenda ndugu yake akaa mautini. 153:15 Mt 5:21, 22; Gal 5:20, 21; Yn 3:16Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake.

163:16 Yn 10:11; 15:13; Flp 2:17; 1The 2:8Kwa namna hii twaweza kulijua pendo la Mungu: Kwa sababu Yesu Kristo aliutoa uhai wake kwa ajili yetu. Nasi imetupasa kuutoa uhai kwa ajili ya hao ndugu. 173:17 Yak 2:15, 16; 1Yn 4:20Ikiwa mtu anavyo vitu vya ulimwengu huu na akamwona ndugu yake ni mhitaji lakini asimhurumie, upendo wa Mungu wakaaje ndani ya mtu huyo? 183:18 1Yn 2:1; Eze 33:1; Rum 12:9Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli. 193:19 Yn 18:37; 1Yn 1:8Basi hivi ndivyo tutakavyoweza kujua ya kuwa sisi tu wa kweli na hivyo twaithibitisha mioyo yetu mbele za Mungu 203:20 1Kor 4:4kila mara mioyo yetu inapotuhukumu. Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu, naye anajua kila kitu.

213:21 Efe 3:12; 1Kor 10:14; 1Yn 5:14Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu, 223:22 Mt 7:7; Ebr 13:21lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza. 233:23 Yn 6:23; 13:34Hii ndiyo amri yake: kwamba tuliamini Jina la Mwanawe, Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi kama yeye alivyotuamuru. 243:24 1Yn 4:15; 1The 4:8Wale wote wanaozishika amri zake hukaa ndani yake na yeye ndani yao. Hivi ndivyo tunavyojua kwamba anakaa ndani yetu. Nasi twajua hili kwa njia ya Roho yule aliyetupa.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

約翰一書 3:1-24

上帝的兒女

1你們看,父上帝何等愛我們,稱我們為祂的兒女!我們也實在是祂的兒女,世人之所以不認識我們,是因為他們不認識父上帝。 2親愛的弟兄姊妹,我們現在是上帝的兒女,將來如何還未顯明。但我們知道,當主顯現的時候,我們必會像祂,因為我們必見到祂的本體。 3凡心存這種盼望的人都會自潔,因為主是聖潔的。

4犯罪的人都違背上帝的律法,違背上帝的律法就是罪。 5你們知道,耶穌降世是為了除掉人的罪,祂自己並沒有罪。 6住在祂裡面的人不會一直犯罪;一直犯罪的人既沒見過祂也不認識祂。

7孩子們,不要受人迷惑,要知道行義的才是義人,正如主是公義的。 8一直犯罪的人是屬魔鬼的,因為魔鬼從起初便犯罪,但上帝兒子的顯現是為了摧毀魔鬼的工作。 9從上帝生的人不會繼續犯罪,因為他裡面有上帝的生命3·9 上帝的生命」希臘文是「上帝的種子」。。他不能犯罪,因為他是從上帝生的。 10這樣,就可以看出誰是上帝的兒女,誰是魔鬼的兒女。凡不按公義行事、不愛弟兄姊妹的,都不是上帝的兒女。

彼此相愛

11我們應當彼此相愛,這是你們起初聽見的信息。 12不要步該隱的後塵。他屬於那惡者,殺害了自己的弟弟。他為什麼要殺害自己的弟弟呢?因為他的行為邪惡,而他弟弟秉行公義。

13弟兄姊妹,世人若恨你們,不要驚奇。 14我們因愛弟兄姊妹,便知道自己已經出死入生了。不愛弟兄姊妹的,仍然陷在死亡中。 15恨弟兄姊妹的就是殺人的,你們知道殺人的沒有永生。 16主耶穌為我們捨命,我們由此便知道什麼是愛,我們也應當為弟兄姊妹捨命。 17如果一個豐衣足食的人看見貧窮的弟兄姊妹,卻毫無憐憫之心,怎能說他愛上帝呢? 18所以,孩子們啊,不要單在口頭上說愛人,總要以真誠的行動表現出來。

19-20這樣,我們必知道自己屬於真理,即使我們心中自責,也可以在上帝面前心安,因為上帝比我們的心大,祂知道一切。

21親愛的弟兄姊妹,我們若能凡事問心無愧,就可以在上帝面前坦然無懼。 22這樣,我們無論向上帝祈求什麼,都必得到,因為我們遵守祂的命令,做祂喜悅的事。 23其實上帝的命令是:我們要信祂兒子耶穌基督的名,遵照祂的命令彼此相愛。 24遵行上帝命令的人就住在上帝裡面,上帝也住在他裡面。我們藉著上帝賜給我們的聖靈知道:祂住在我們裡面。