1 Yohana 2 – NEN & SZ-PL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Yohana 2:1-29

Kristo Mwombezi Wetu

12:1 1The 2:11; Ebr 7:25; 1Tim 2:5Watoto wangu wapendwa, nawaandikia haya ili msitende dhambi. Lakini kama mtu yeyote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi kwa Baba: ndiye Yesu Kristo, Mwenye Haki. 22:2 1Yn 4:10; Rum 3:25; Mt 1:21; Yn 3:17Yeye ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote.

32:3 Yn 14:15; 1Yn 2:5; 3:24; 4:13; 5:2; 2:4Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake. 42:4 1Yn 1:6, 8; 2:3; Tit 1:16; 1Yn 3:6; 4:7, 8Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli. 52:5 Yn 14:15, 21, 23; 1Yn 4:12Lakini mtu yeyote anayelitii neno lake, upendo wa Mungu umekamilika ndani yake kweli kweli. Katika hili twajua kuwa tumo ndani yake. 62:6 Mt 11:29; 2Pet 2:21Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Yesu alivyoenenda.

Amri Mpya

72:7 1Kor 10:14; 1Yn 2:24; 3:11, 23; 4:2Wapendwa, siwaandikii ninyi amri mpya bali ile ya zamani, ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo. Amri hii ya zamani ni lile neno mlilosikia. 82:8 Yn 13:34; Ebr 10:25; Yn 1:9; Efe 5:8; 1The 5:5Lakini nawaandikia amri mpya, yaani, lile neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu, kwa sababu giza linapita na ile nuru ya kweli tayari inangʼaa.

92:9 1Yn 2:11; Law 19:17; 1Yn 3:10; 4:20, 21; 1:5Yeyote anayesema yumo nuruni lakini anamchukia ndugu yake bado yuko gizani. 102:10 1Yn 3:14; 2:11; Za 119:165; Rum 14:13, 15; Yn 11:9Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu chochote ndani yake cha kumkwaza. 112:11 Yn 11:9; 11:10; 12:35; 1Yn 1:6; Yn 12:35Lakini yeyote amchukiaye ndugu yake, yuko gizani na anaenenda gizani, wala hajui anakokwenda, kwa sababu giza limempofusha macho.

122:12 1Yn 2:9; 3:23Nawaandikia ninyi, watoto wadogo,

kwa sababu dhambi zenu

zimesamehewa kwa ajili ya Jina lake.

132:13 Mt 5:37; Yn 1:1; 16:33; 1Yn 2:14; 2:13Nawaandikia ninyi, akina baba,

kwa sababu mmemjua

yeye aliye tangu mwanzo.

Nawaandikia ninyi vijana

kwa sababu mmemshinda yule mwovu.

Nawaandikia ninyi watoto wadogo,

kwa sababu mmemjua Baba.

142:14 Efe 6:10; Yn 5:38; 1Yn 1:10Nawaandikia ninyi akina baba,

kwa sababu mmemjua

yeye aliye tangu mwanzo.

Nawaandikia ninyi vijana,

kwa sababu mna nguvu,

na neno la Mungu linakaa ndani yenu,

nanyi mmemshinda yule mwovu.

Msiupende Ulimwengu

152:15 Rum 12:2; Yak 4:4Msiupende ulimwengu wala mambo yaliyo ulimwenguni. Kama mtu yeyote akiupenda ulimwengu, upendo wa Baba haumo ndani yake. 162:16 Efe 2:8; Mit 27:20Kwa maana kila kitu kilichomo ulimwenguni, yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima, havitokani na Baba bali hutokana na ulimwengu. 172:17 Ebr 12:27; Mt 12:50; 1Kor 7:31; Yak 1:10; 4:14; 1Pet 1:24Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele.

Onyo Dhidi Ya Wapinga Kristo

182:18 1Yn 4:1; 2Yn 7Watoto wadogo, huu ni wakati wa mwisho! Kama mlivyosikia kwamba mpinga Kristo anakuja, hivyo basi wapinga Kristo wengi wamekwisha kuja. Kutokana na hili twajua kwamba huu ni wakati wa mwisho. 192:19 Mk 1:24; Yer 31:34Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu hasa. Kwa maana kama wangelikuwa wa kwetu, wangelikaa pamoja nasi, lakini kutoka kwao kulionyesha kwamba hakuna hata mmoja wao aliyekuwa wa kwetu.

202:20 1Yn 2:27; 2Kor 1:21; Mk 1:24; Yer 31:34; Mt 13:11; Yn 14:26Lakini ninyi mmetiwa mafuta na yeye Aliye Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli. 212:21 2Pet 1:12; Yud 5Siwaandikii kwa sababu hamuijui kweli, bali kwa sababu mnaijua, nanyi mnajua hakuna uongo utokao katika kweli. 222:22 1Yn 4:13; 2Yn 7Je, mwongo ni nani? Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye mpinga Kristo, yaani, yeye humkana Baba na Mwana. 232:23 Yn 14:7; 2Yn 9Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.

242:24 2Yn 9Hakikisheni kwamba lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu. Kama lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana na ndani ya Baba. 252:25 Mt 25:46; Yn 17:3; 1Yn 1:2; 5:11Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele.

262:26 1Yn 3:7; 2Yn 7Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha. 272:27 1Yn 2:20; Yer 31:33, 34; Ebr 8:10, 11; Yn 14:26; 16:13Nanyi, upako mlioupata kutoka kwake unakaa ndani yenu, wala ninyi hamna haja ya mtu yeyote kuwafundisha. Lakini kama vile upako wake unavyowafundisha kuhusu mambo yote nayo ni kweli wala si uongo, basi kama ulivyowafundisha kaeni ndani yake.

Watoto Wa Mungu

282:28 Kol 3:4; 1Yn 3:2; Efe 3:12; 1The 2:19Sasa basi, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake.

292:29 1Yn 3:7; Mdo 22:14; Yn 1:13Kama mkijua kuwa yeye ni mwenye haki, mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa naye.

Słowo Życia

1 Jana 2:1-29

1Moje dzieci, piszę wam o tym, abyście unikali grzechu. Gdyby jednak ktoś z was zgrzeszył, pamiętajcie, że mamy rzecznika—Jezusa Chrystusa—który jest prawy i reprezentuje nas przed Ojcem. 2On zapłacił już karę za nasze grzechy—i nie tylko nasze, ale także całego świata!

Dowód wiary

3Dowodem na to, że naprawdę Go poznaliśmy, jest przestrzeganie Jego przykazań. 4Kto mówi, że Go zna, ale nie czyni tego, co On nakazał, jest kłamcą i nie trzyma się prawdy. 5Ten zaś, kto jest posłuszny Jego słowom, rozwija w sobie Bożą miłość. Właśnie po tym poznajemy, że należymy do Pana. 6Kto bowiem uważa się za własność Chrystusa, powinien postępować tak jak On.

7Kochani, nie jest to żadne nowe przykazanie. Przypominam wam tylko to, co już dawno słyszeliście i dobrze znacie. 8W przykazaniu tym jest jednak coś nowego, bo ciemność już się rozprasza i zaczyna jaśnieć prawdziwe światło. Jest to prawda znana Chrystusowi, a teraz także wam.

9Jeśli ktoś mówi, że żyje w Bożym świetle, a nienawidzi innych ludzi, to ciągle jeszcze jest w ciemności. 10Ten zaś, kto kocha ich, żyje w świetle i nie doprowadza innych do upadku. 11Człowiek, który nienawidzi innych ludzi, jest pogrążony w duchowej ciemności i chodzi po omacku. Nie ma pojęcia, dokąd zmierza, bo niczego nie widzi.

12Dzieci, pragnę wam powiedzieć,

że—dzięki Chrystusowi

—Bóg przebaczył wam grzechy.

13Ojcowie, pragnę wam powiedzieć,

że poznaliście Tego,

który istnieje od początku.

Młodzi, pragnę wam powiedzieć,

że pokonaliście szatana.

14Dzieci, pragnę wam powiedzieć,

że poznaliście Ojca w niebie.

Ojcowie, pragnę wam powiedzieć,

że poznaliście Tego,

który istnieje od początku.

Młodzi, pragnę wam powiedzieć,

że jesteście mocni,

że macie w sercu słowo Boże

i że zwyciężyliście szatana.

Stosunek do świata

15Nie przywiązujcie się do tego zepsutego świata i nie pragnijcie tego, co on oferuje. Kto kocha ten świat, nie może szczerze kochać Boga. 16To bowiem, co kieruje ludźmi tego świata—pragnienia ciała, pragnienia oczu i duma z odniesionych sukcesów—nie pochodzi od Ojca, ale ze świata. 17Ten zaś przeminie, podobnie jak wszystkie ludzkie pragnienia. Ci zaś, którzy spełniają wolę Boga, będą żyć wiecznie.

Przeciwnik Chrystusa

18Dzieci, nadchodzą czasy ostateczne i wiecie, że niebawem nadejdzie przeciwnik Chrystusa. Nawet teraz pojawiło się już wielu przeciwników—po tym właśnie poznajemy, że nadchodzą czasy ostateczne. 19Ludzie ci wywodzą się spośród nas, tak naprawdę jednak nigdy nie byli jednymi z nas. Gdyby należeli do nas, nigdy by bowiem od nas nie odeszli. Swoim odejściem udowodnili więc, że nie byli jednymi z nas. 20Wy otrzymaliście jednak Ducha Świętego i znacie prawdę. 21Nie piszę więc do was jako do tych, którzy jej nie poznali. Znacie bowiem prawdę i potraficie odróżnić ją od kłamstwa. 22A ten, kto nie uznaje Jezusa za Mesjasza, jest właśnie kłamcą. Taki człowiek jest przeciwnikiem Chrystusa, odrzuca bowiem Boga Ojca oraz Jego Syna. 23Ten, kto nie uznaje Jezusa za Syna Bożego, odrzuca tym samym Ojca. Ten zaś, kto uznaje Go za Syna Bożego, poddaje się przez to Bogu Ojcu.

24Bądźcie wierni temu, czego się nauczyliście na początku, a będziecie trwali w jedności z Synem Bożym i z Bogiem Ojcem. 25Otrzymaliśmy bowiem od Boga obietnicę życia wiecznego.

26Napisałem wam o tym, aby ostrzec was przed ludźmi, którzy chcą was oszukać. 27Nie potrzebujecie słuchać ich nauk, Bóg obdarzył was bowiem Duchem Świętym, który naucza czystej prawdy, bez najmniejszej choćby domieszki kłamstwa. Trzymajcie się więc tego, czego was nauczył.

Dzieci Boże

28Dzieci, trzymajcie się Pana, aby w dniu Jego powrotu móc śmiało i bez wstydu stanąć przed Jego obliczem. 29Skoro wiecie, że On jest prawy, wiedzcie też, że każdy, kto jest prawy, stał się Jego dzieckiem.