1 Wakorintho 6 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wakorintho 6:1-20

Kushtakiana Miongoni Mwa Waumini

16:1 Mt 18:7Kama mtu yeyote wa kwenu ana ugomvi na mwenzake, anathubutuje kuupeleka kwa wasiomcha Mungu ili kuamuliwa badala ya kuupeleka kwa watakatifu? 26:2 Mt 19:28; Lk 22:30; 1Kor 5:12Je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Nanyi kama mtauhukumu ulimwengu, je, hamwezi kuamua mambo madogo madogo? 36:3 1Kor 4:14; Mdo 1:15Hamjui kwamba tutawahukumu malaika? Je, si zaidi mambo ya maisha haya? 46:4 1Kor 5:12Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, chagueni kuwa waamuzi, watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kanisa. 56:5 1Kor 4:14; Mdo 1:15Nasema hivi ili mwone aibu. Je, inawezekana kuwa miongoni mwenu hakuna mtu mwenye hekima ya kutosha kuamua ugomvi kati ya waaminio? 66:6 Rum 7:1; 2Kor 6:14-15; 1Tim 5:8Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini!

76:7 Mt 5:39-40; 1The 5:15; 1Pet 3:9Huko kuwa na mashtaka miongoni mwenu ina maana kwamba tayari ni kushindwa kabisa. Kwa nini msikubali kutendewa mabaya? Kwa nini msikubali kunyangʼanywa? 86:8 1The 4:6; Kum 17:7; 19; 19; 21:21; 22:21, 24; 24:7Badala yake, ninyi wenyewe mwadanganya na kutenda mabaya, tena mwawatendea ndugu zenu.

96:9 Mt 25:34; Ay 13:9; 1Kor 15:33; Gal 6:7; Yak 1:16; Law 18:20; Kum 22:22; Law 18:22Je, hamjui kwamba wasio haki hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike: Waasherati, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wahanithi, wala walawiti, 106:10 1Tim 1:10; Ufu 21:8; 22:15wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyangʼanyi hawataurithi Ufalme wa Mungu. 116:11 Efe 2:2; Mdo 22:16; 1Kor 1:2; Rum 12:1Baadhi yenu mlikuwa kama hao. Lakini mlioshwa, mlitakaswa, mlihesabiwa haki kwa jina la Bwana Yesu Kristo na katika Roho wa Mungu wetu.

Dhambi Za Zinaa

126:12 1Kor 10:23“Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini si vitu vyote vyenye faida. “Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini sitatawaliwa na kitu chochote. 136:13 Kol 2:22; Rum 12:1“Chakula ni cha tumbo, na tumbo ni la chakula”: lakini Mungu ataviangamiza vyote viwili. Mwili haukuumbwa kwa ajili ya zinaa bali kwa ajili ya Bwana na Bwana kwa ajili ya mwili. 146:14 Mdo 2:24; Rum 6:5; Efe 1:19-20; 1The 4:16Naye Mungu aliyemfufua Bwana kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake. 156:15 Rum 12:5Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo mwenyewe? Je, nichukue viungo vya mwili wa Kristo na kuviunganisha na mwili wa kahaba? La hasha! 166:16 Mwa 2:24; Mt 19:5; Efe 5:31Hamjui kwamba aliyeungwa na kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa imenenwa, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.” 176:17 Yn 17:21-23; Rum 8:8-11; Gal 2:20Lakini mtu aliyeungwa na Bwana anakuwa roho moja naye.

186:18 1Kor 5:1; 2Kor 12:21; Gal 5:19; Efe 5:3; 1The 4:3-4; Ebr 13:4; Rum 6:12Ikimbieni zinaa. Dhambi zingine zote atendazo mtu ziko nje ya mwili wake, lakini yeye aziniye hutenda dhambi ndani ya mwili wake mwenyewe. 196:19 Yn 2:21; Rum 14:7-8Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe, 206:20 Za 74:2; Mt 20:28; Mdo 20:28; 1Kor 7:23; Ufu 5:9; 14:4; Flp 1:20kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

1 Corintios 6:1-20

Pleitos entre creyentes

1Si alguno de vosotros tiene un pleito con otro, ¿cómo se atreve a presentar demanda ante los inconversos, en vez de acudir a los creyentes? 2¿Acaso no sabéis que los creyentes juzgarán al mundo? Y, si vosotros habéis de juzgar al mundo, ¿cómo no vais a ser capaces de juzgar casos insignificantes? 3¿No sabéis que aun a los ángeles los juzgaremos? ¡Cuánto más los asuntos de esta vida! 4Por tanto, si tenéis pleitos sobre tales asuntos, ¿cómo es que nombráis como jueces a los que no cuentan para nada ante la iglesia?6:4 ¿cómo … iglesia? Alt. ¡nombren como jueces aun a los que no cuentan para nada ante la iglesia! 5Digo esto para que os dé vergüenza. ¿Acaso no hay entre vosotros nadie lo bastante sabio como para juzgar un pleito entre creyentes? 6Al contrario, un hermano demanda a otro, ¡y esto ante los incrédulos!

7En realidad, ya es una falta grave el solo hecho de que haya pleitos entre vosotros. ¿No sería mejor soportar la injusticia? ¿No sería mejor dejar que os defrauden? 8Lejos de eso, sois vosotros los que defraudáis y cometéis injusticias, ¡y conste que se trata de vuestros hermanos!

9¿No sabéis que los malvados no heredarán el reino de Dios? ¡No os dejéis engañar! Ni los fornicarios, ni los idólatras, ni los adúlteros, ni los sodomitas, ni los pervertidos sexuales, 10ni los ladrones, ni los avaros, ni los borrachos, ni los calumniadores, ni los estafadores heredarán el reino de Dios. 11Y eso erais algunos de vosotros. Pero ya habéis sido lavados, ya habéis sido santificados, ya habéis sido justificados en el nombre del Señor Jesucristo y por el Espíritu de nuestro Dios.

La inmoralidad sexual

12«Todo me está permitido», pero no todo es para mi bien. «Todo me está permitido», pero no dejaré que nada me domine. 13«Los alimentos son para el estómago y el estómago para los alimentos»; así es, y Dios los destruirá a ambos. Pero el cuerpo no es para la inmoralidad sexual, sino para el Señor, y el Señor para el cuerpo. 14Con su poder, Dios resucitó al Señor, y nos resucitará también a nosotros. 15¿No sabéis que vuestros cuerpos son miembros de Cristo mismo? ¿Tomaré acaso los miembros de Cristo para unirlos con una prostituta? ¡Jamás! 16¿No sabéis que el que se une a una prostituta se hace un solo cuerpo con ella? Pues la Escritura dice: «Los dos llegarán a ser un solo cuerpo».6:16 un solo cuerpo. Lit. una sola carne; Gn 2:24. 17Pero el que se une al Señor se hace uno con él en espíritu.

18Huyan de la inmoralidad sexual. Todos los demás pecados que una persona comete quedan fuera de su cuerpo; pero el que comete inmoralidades sexuales peca contra su propio cuerpo. 19¿Acaso no sabéis que vuestro cuerpo es templo del Espíritu Santo, quien está en vosotros y que habéis recibido de parte de Dios? No sois vosotros vuestros propios dueños; 20Fuisteis comprados por un precio. Por tanto, honrad con vuestro cuerpo a Dios.