1 Wakorintho 6 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wakorintho 6:1-20

Kushtakiana Miongoni Mwa Waumini

16:1 Mt 18:7Kama mtu yeyote wa kwenu ana ugomvi na mwenzake, anathubutuje kuupeleka kwa wasiomcha Mungu ili kuamuliwa badala ya kuupeleka kwa watakatifu? 26:2 Mt 19:28; Lk 22:30; 1Kor 5:12Je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Nanyi kama mtauhukumu ulimwengu, je, hamwezi kuamua mambo madogo madogo? 36:3 1Kor 4:14; Mdo 1:15Hamjui kwamba tutawahukumu malaika? Je, si zaidi mambo ya maisha haya? 46:4 1Kor 5:12Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, chagueni kuwa waamuzi, watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kanisa. 56:5 1Kor 4:14; Mdo 1:15Nasema hivi ili mwone aibu. Je, inawezekana kuwa miongoni mwenu hakuna mtu mwenye hekima ya kutosha kuamua ugomvi kati ya waaminio? 66:6 Rum 7:1; 2Kor 6:14-15; 1Tim 5:8Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini!

76:7 Mt 5:39-40; 1The 5:15; 1Pet 3:9Huko kuwa na mashtaka miongoni mwenu ina maana kwamba tayari ni kushindwa kabisa. Kwa nini msikubali kutendewa mabaya? Kwa nini msikubali kunyangʼanywa? 86:8 1The 4:6; Kum 17:7; 19; 19; 21:21; 22:21, 24; 24:7Badala yake, ninyi wenyewe mwadanganya na kutenda mabaya, tena mwawatendea ndugu zenu.

96:9 Mt 25:34; Ay 13:9; 1Kor 15:33; Gal 6:7; Yak 1:16; Law 18:20; Kum 22:22; Law 18:22Je, hamjui kwamba wasio haki hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike: Waasherati, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wahanithi, wala walawiti, 106:10 1Tim 1:10; Ufu 21:8; 22:15wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyangʼanyi hawataurithi Ufalme wa Mungu. 116:11 Efe 2:2; Mdo 22:16; 1Kor 1:2; Rum 12:1Baadhi yenu mlikuwa kama hao. Lakini mlioshwa, mlitakaswa, mlihesabiwa haki kwa jina la Bwana Yesu Kristo na katika Roho wa Mungu wetu.

Dhambi Za Zinaa

126:12 1Kor 10:23“Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini si vitu vyote vyenye faida. “Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini sitatawaliwa na kitu chochote. 136:13 Kol 2:22; Rum 12:1“Chakula ni cha tumbo, na tumbo ni la chakula”: lakini Mungu ataviangamiza vyote viwili. Mwili haukuumbwa kwa ajili ya zinaa bali kwa ajili ya Bwana na Bwana kwa ajili ya mwili. 146:14 Mdo 2:24; Rum 6:5; Efe 1:19-20; 1The 4:16Naye Mungu aliyemfufua Bwana kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake. 156:15 Rum 12:5Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo mwenyewe? Je, nichukue viungo vya mwili wa Kristo na kuviunganisha na mwili wa kahaba? La hasha! 166:16 Mwa 2:24; Mt 19:5; Efe 5:31Hamjui kwamba aliyeungwa na kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa imenenwa, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.” 176:17 Yn 17:21-23; Rum 8:8-11; Gal 2:20Lakini mtu aliyeungwa na Bwana anakuwa roho moja naye.

186:18 1Kor 5:1; 2Kor 12:21; Gal 5:19; Efe 5:3; 1The 4:3-4; Ebr 13:4; Rum 6:12Ikimbieni zinaa. Dhambi zingine zote atendazo mtu ziko nje ya mwili wake, lakini yeye aziniye hutenda dhambi ndani ya mwili wake mwenyewe. 196:19 Yn 2:21; Rum 14:7-8Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe, 206:20 Za 74:2; Mt 20:28; Mdo 20:28; 1Kor 7:23; Ufu 5:9; 14:4; Flp 1:20kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

Knijga O Kristu

1 Korinćanima 6:1-20

Treba izbjegavati sudske parnice između kršćana

1Kako se neki od vas usuđuju s drugim kršćanima parničiti na svjetovnome sudu tražeći pravdu od nepravednih umjesto od svetih? 2Zar ne znate da ćemo mi sveti jednoga dana suditi svijet? Pa ako ćete suditi svijetu, ne možete li sami presuđivati i o tim sitnicama? 3Ne znate li da ćemo suditi anđelima? Morali biste stoga biti u stanju riješiti svagdašnje razmirice ovdje na zemlji. 4A vi za svoje svagdašnje sporove uzimate suce izvana! Zašto ne uzmete za suca nekoga od najmanje cijenjenih u Crkvi?. 5Kažem to da biste se postidjeli. Nema li u cijeloj Crkvi nikoga tko bi bio dovoljno mudar da presudi među braćom? 6Umjesto toga jedan kršćanin6:6 U grčkome: brat. tuži drugoga—i to pred nevjernicima!

7Nedostatak vam je već to što se uopće parničite. Zašto radije ne pretrpite nepravdu? Zašto radije ne pregorite štetu? 8Umjesto toga vi i sami nanosite nepravdu i varate—čak i vlastitu braću u Kristu!

Treba se kloniti bluda

9Ne znate li da oni koji čine zlo neće baštiniti Božje kraljevstvo? Nemojte se zavaravati! Ni bludnici, ni idolopoklonici, ni preljubnici, ni homoseksualci, 10ni lopovi, ni lakomci, ni pijanci, ni psovači, ni varalice neće baštiniti Božjeg kraljevstva. 11I neki od vas bili su takvi, ali sada ste oprani od grijeha i posvećeni. Opravdani ste pred Bogom zbog onoga što su Gospodin Isus Krist i Duh našega Boga učinili za vas.

O bludu

12Kaže se: “Sve mi je dopušteno…”—ali sve mi ne služi na korist. “Sve mi je dopušteno…”—ali ničemu neću robovati. 13Kažete: “Hrana je za trbuh, a trbuh za hranu.” Tako je, ali Bog će jednog dana i jedno i drugo uništiti. Naša tijela nisu stvorena za blud, nego za Gospodina, i Gospodin za tijela. 14Bog će uskrisiti naša tijela od mrtvih svojom veličanstvenom silom, baš kao što je i našega Gospodina podignuo od mrtvih. 15Ne shvaćate li da su vaša tijela Kristovi udovi? Zar ćete dakle svoje tijelo, koje pripada Kristu, sjediniti s bludničinim? Nipošto! 16Zar ne znate da muškarac koji se druži s bludnicom postaje s njom jedno tijelo? Jer u Svetome pismu piše: “Njih će dvoje biti jedno tijelo.”6:16 Postanak 2:24.

17A tko se združi s Gospodinom, postaje s njime jedan duh. 18Bježite od bluda! Svaki drugi grijeh čovjek čini izvan tijela, a bludnik griješi protiv vlastitog tijela. 19Ne shvaćate li da je vaše tijelo hram Svetoga Duha kojega vam je Bog dao i da on prebiva u vama? Vi ne pripadate sebi 20jer je Bog za vas platio otkupninu. Zato svojim tijelom trebate proslavljati Boga.