1 Wakorintho 5 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wakorintho 5:1-13

Mwasherati Atengwe

15:1 Law 18:8; Kum 22:30; 27:20Yamkini habari imeenea ya kuwa miongoni mwenu kuna uzinzi ambao haujatokea hata miongoni mwa watu wasiomjua Mungu: Kwamba mtu anaishi na mke wa baba yake. 25:2 2Kor 7:7-11Nanyi mwajivuna! Je, haiwapasi kuhuzunika na kumtenga na ushirika wenu mtu huyo aliyefanya mambo hayo? 35:3 Kol 2:5; 1The 2:17Hata kama siko pamoja nanyi katika mwili, niko nanyi katika roho. Nami nimekwisha kumhukumu mtu huyo aliyetenda jambo hili, kama vile ningekuwepo. 45:4 2The 3:6Mnapokutana katika Jina la Bwana wetu Yesu nami nikiwepo pamoja nanyi katika roho na uweza wa Bwana Yesu ukiwepo, 55:5 1Tim 1:20; Mt 4:10; 1Kor 1:8mkabidhini mtu huyu kwa Shetani, ili mwili wake uharibiwe, ili roho yake iokolewe katika siku ya Bwana.

65:6 Yak 4:16; Mt 16:6-12; Gal 5:6Majivuno yenu si mazuri. Je, hamjui ya kwamba chachu kidogo huchachusha donge zima la unga? 75:7 Kut 12:3-21; Mk 14:12; 1Pet 1:19Ondoeni chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu, kama vile mlivyo. Kwa maana Kristo, Mwana-Kondoo wetu wa Pasaka amekwisha tolewa kuwa dhabihu. 85:8 Law 18:8; Kum 22:30; 27:20Kwa hiyo, tusiiadhimishe sikukuu hii, kwa chachu ya zamani, chachu ya nia mbaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, ndio weupe wa moyo na kweli.

95:9 Kut 12:45; Kum 16:3Niliwaandikia katika waraka wangu kuwa msishirikiane na wazinzi. 105:10 Efe 5:11; 2The 3:6-14Sina maana kwamba msishirikiane na wazinzi wa ulimwengu huu, au wenye tamaa mbaya, wanyangʼanyi au waabudu sanamu. Kwa kufanya hivyo ingewalazimu mtoke ulimwenguni humu. 115:11 1Kor 10:27Lakini sasa nawaandikia kwamba msishirikiane na mtu yeyote anayejiita ndugu, hali akiwa ni mzinzi, au mwenye tamaa mbaya, mwabudu sanamu au msingiziaji, mlevi au mdhalimu. Mtu kama huyo hata msile naye.

125:12 Rum 7:1; 1Kor 10:7-14; Rum 16:17Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio nje ya kanisa? Je, si mnapaswa kuwahukumu hao walio ndani? 135:13 Mk 4:11; 1Kor 6:14; Kum 13:5; 17:7; 19:19; 22:21; 24; 24:7; Amu 20:13Mungu atawahukumu hao walio nje. “Ninyi mwondoeni huyo mtu mwovu miongoni mwenu.”

New International Version

1 Corinthians 5:1-13

Dealing With a Case of Incest

1It is actually reported that there is sexual immorality among you, and of a kind that even pagans do not tolerate: A man is sleeping with his father’s wife. 2And you are proud! Shouldn’t you rather have gone into mourning and have put out of your fellowship the man who has been doing this? 3For my part, even though I am not physically present, I am with you in spirit. As one who is present with you in this way, I have already passed judgment in the name of our Lord Jesus on the one who has been doing this. 4So when you are assembled and I am with you in spirit, and the power of our Lord Jesus is present, 5hand this man over to Satan for the destruction of the flesh,5:5 In contexts like this, the Greek word for flesh (sarx) refers to the sinful state of human beings, often presented as a power in opposition to the Spirit.5:5 Or of his body so that his spirit may be saved on the day of the Lord.

6Your boasting is not good. Don’t you know that a little yeast leavens the whole batch of dough? 7Get rid of the old yeast, so that you may be a new unleavened batch—as you really are. For Christ, our Passover lamb, has been sacrificed. 8Therefore let us keep the Festival, not with the old bread leavened with malice and wickedness, but with the unleavened bread of sincerity and truth.

9I wrote to you in my letter not to associate with sexually immoral people— 10not at all meaning the people of this world who are immoral, or the greedy and swindlers, or idolaters. In that case you would have to leave this world. 11But now I am writing to you that you must not associate with anyone who claims to be a brother or sister5:11 The Greek word for brother or sister (adelphos) refers here to a believer, whether man or woman, as part of God’s family; also in 8:11, 13. but is sexually immoral or greedy, an idolater or slanderer, a drunkard or swindler. Do not even eat with such people.

12What business is it of mine to judge those outside the church? Are you not to judge those inside? 13God will judge those outside. “Expel the wicked person from among you.”5:13 Deut. 13:5; 17:7; 19:19; 21:21; 22:21,24; 24:7