1 Wakorintho 3 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wakorintho 3:1-23

Kuhusu Mgawanyiko Katika Kanisa

13:1 1Kor 2:15; Rum 7:14; 1Kor 2:14; 14:20Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo. 23:2 Ebr 5:12-14; 1Pet 2:2; Yn 16:12Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari. 33:3 Rum 13:13; 1Kor 1:11; Gal 5:20Ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini? Je, si mwaendelea kama watu wa kawaida? 43:4 1Kor 1:12Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida?

53:5 Mdo 18:24; 1Kor 4:1; 2Kor 6:4; Efe 3:7; Kol 1:23-25Kwani, Apolo ni nani? Naye Paulo ni nani? Ni watumishi tu ambao kupitia wao mliamini, kama vile Bwana alivyompa kila mtu huduma yake. 63:6 Mdo 18:4-11; 1Kor 4:15; 9:1; 15:1Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza. 73:7 2Kor 12:11; Gal 6:3Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue. 83:8 Za 18:20; 62:12; Mt 25:21; 1Kor 9:17Apandaye mbegu ana lengo sawa na yule atiaye maji na kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake. 93:9 Mk 16:20; 2Kor 6:1; 1The 2:2; Isa 61:3; Efe 2:20-22; 1Pet 5:5Kwa kuwa sisi tu watendakazi pamoja na Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu, jengo la Mungu.

103:10 Rum 12:3; 15:20; Efe 2:20Kwa neema Mungu aliyonipa, niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga. 113:11 Isa 28:16; Efe 2:20Kwa maana hakuna mtu yeyote awezaye kuweka msingi mwingine wowote isipokuwa ule uliokwisha kuwekwa, ambao ni Yesu Kristo. 12Kama mtu yeyote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha, vito vya thamani, miti, majani au nyasi, 133:13 1Kor 4:5; 1:8; 2The 1:7-10; 2Tim 1:12-18; 4:8; Hes 31:22-23; Yer 23:28-29; Mal 3:3; 2The 1:7kazi yake itaonekana ilivyo, kwa kuwa Siku ile itaidhihirisha. Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu. 143:14 1Kor 3:8; 4:5Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake. 153:15 Yud 23Kama kazi kitateketea, atapata hasara, ila yeye mwenyewe ataokolewa, lakini tu kama mtu aliyenusurika kwenye moto.

163:16 1Kor 6:9; 2Kor 6:16; Efe 2:21-22; Ebr 3:6; Rum 8:9Je, hamjui ya kwamba ninyi wenyewe ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? 17Kama mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndiyo hilo hekalu.

183:18 Isa 5:12; 1Kor 8:2; Gal 6:3; 1Kor 1:20Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. 193:19 Rum 1:22; 1Kor 1:20-27; Ay 5:13Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,” 203:20 Za 94:11tena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.” 213:21 1Kor 4:6; Rum 8:32Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Vitu vyote ni vyenu, 223:22 1Kor 1:12; Rum 8:38ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa3:22 Yaani Petro. au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu 233:23 1Kor 15:23; 2Kor 10:7; Gal 3:29na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

1 Corintios 3:1-23

Sobre las divisiones en la iglesia

1Yo, hermanos, no pude dirigirme a vosotros como a espirituales, sino como a inmaduros,3:1 inmaduros. Lit. carnales; también en v. 3. apenas niños en Cristo. 2Os di leche porque no podíais asimilar alimento sólido, ni podéis todavía, 3pues aún sois inmaduros. Mientras haya entre vosotros celos y contiendas, ¿no seréis inmaduros? ¿Acaso no os estáis comportando según criterios meramente humanos? 4Cuando uno afirma: «Yo sigo a Pablo», y otro: «Yo sigo a Apolos», ¿no es porque estáis actuando con criterios humanos?3:4 ¿no es … humanos? Lit. ¿no sois vosotros hombres?

5Después de todo, ¿qué es Apolos? ¿Y qué es Pablo? Nada más que servidores por medio de los cuales vosotros llegasteis a creer, según lo que el Señor le asignó a cada uno. 6Yo sembré, Apolos regó, pero Dios ha dado el crecimiento. 7Así que no cuenta ni el que siembra ni el que riega, sino solo Dios, quien es el que hace crecer. 8El que siembra y el que riega están al mismo nivel, aunque cada uno será recompensado según su propio trabajo. 9En efecto, nosotros somos colaboradores al servicio de Dios; y vosotros sois el campo de cultivo de Dios, sois el edificio de Dios.

10Según la gracia que Dios me ha dado, yo, como maestro constructor, eché los cimientos, y otro construye sobre ellos. Pero cada uno tenga cuidado de cómo construye, 11porque nadie puede poner un fundamento diferente del que ya está puesto, que es Jesucristo. 12Si alguien construye sobre este fundamento, ya sea con oro, plata y piedras preciosas, o con madera, heno y paja, 13su obra se mostrará tal cual es, pues el día del juicio la dejará al descubierto. El fuego la dará a conocer, y pondrá a prueba la calidad del trabajo de cada uno. 14Si lo que alguien ha construido permanece, recibirá su recompensa, 15pero, si su obra es consumida por las llamas, él sufrirá pérdida. Será salvo, pero como quien pasa por el fuego.

16¿No sabéis que sois templo de Dios y que el Espíritu de Dios habita en vosotros? 17Si alguno destruye el templo de Dios, él mismo será destruido por Dios; porque el templo de Dios es sagrado, y vosotros sois ese templo.

18Que nadie se engañe. Si alguno de vosotros se cree sabio según las normas de esta época, hágase ignorante para llegar así a ser sabio. 19Porque a los ojos de Dios la sabiduría de este mundo es locura. Como está escrito: «Él atrapa a los sabios en su propia astucia»;3:19 Job 5:13 20y también dice: «El Señor conoce los pensamientos de los sabios y sabe que son absurdos».3:20 Sal 94:11 21Por lo tanto, ¡que nadie base su orgullo en el hombre! Al fin y al cabo, todo es vuestro, 22ya sea Pablo, o Apolos, o Cefas, o el universo, o la vida, o la muerte, o lo presente o lo por venir; todo es vuestro, 23y vosotros sois de Cristo, y Cristo es de Dios.