1 Wafalme 2 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wafalme 2:1-46

Maagizo Ya Daudi Kwa Solomoni

12:1 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa mwanawe Solomoni agizo.

22:2 1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10Akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa mwanaume, 32:3 Ezr 10:25; Neh 3:25shika lile Bwana Mungu wako analokuagiza: Enenda katika njia zake, ushike maagizo na amri zake, sheria zake na kanuni zake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, ili upate kustawi katika yote ufanyayo na popote uendako, 4ili kwamba Bwana aweze kunitimizia ahadi yake: ‘Kama wazao wako wakiangalia sana wanavyoishi, na kama wakienenda kwa uaminifu mbele zangu kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote, kamwe hutakosa kuwa na mtu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’

52:5 Neh 6:18“Sasa wewe mwenyewe unafahamu lile Yoabu mwana wa Seruya alilonitendea, lile alilofanya kwa majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri mwana wa Neri, na Amasa mwana wa Yetheri. Aliwaua, akimwaga damu yao wakati wa amani kama vile ni kwenye vita, tena akaipaka damu ile kwenye mkanda uliokuwa kiunoni mwake na viatu alivyovaa miguuni mwake. 6Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani.

7“Lakini uwaonyeshe wema wana wa Barzilai wa Gileadi na uwaruhusu wawe miongoni mwa wale walao mezani pako. Walisimama nami nilipomkimbia ndugu yako Absalomu.

8“Ukumbuke, unaye Shimei mwana wa Gera, Mbenyamini kutoka Bahurimu, ambaye alinilaani kwa laana kali siku niliyokwenda Mahanaimu. Aliposhuka kunilaki huko Yordani, nilimwapia kwa Bwana: ‘Sitakuua kwa upanga!’ 9Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.”

10Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi. 11Daudi alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu. 12Kwa hiyo Solomoni akaketi katika kiti cha ufalme cha baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika sana.

Kiti Cha Ufalme Cha Solomoni Chaimarishwa

132:13 Ezr 8:13; 7:18Basi Adoniya, mwana wa Hagithi, akaenda kwa Bathsheba, mama yake Solomoni. Bathsheba akamuuliza, “Je, umekuja kwa amani?”

Akajibu, “Ndiyo, kwa amani.” 14Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.”

Akajibu, “Waweza kulisema.”

15Akasema, “Kama unavyojua, ufalme ulikuwa wangu. Israeli wote waliniangalia mimi kama mfalme wao. Lakini mambo yalibadilika, ufalme umekwenda kwa ndugu yangu, kwa maana umemjia kutoka kwa Bwana. 16Sasa ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.”

Bathsheba akasema, “Waweza kuliomba.”

17Kwa hiyo akaendelea kusema, “Tafadhali mwombe Mfalme Solomoni, anipatie Abishagi, Mshunami, awe mke wangu; hatakukatalia wewe.”

18Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”

19Bathsheba alipokwenda kwa Mfalme Solomoni kuzungumza naye kwa ajili ya Adoniya, mfalme alisimama kumlaki mama yake, akamwinamia na kuketi kwenye kiti chake cha ufalme. Akaamuru kiti cha ufalme kuletwa kwa ajili ya mama yake mfalme, naye akaketi mkono wake wa kuume.

202:20 Yos 9:17Bathsheba akamwambia mfalme, “Ninalo ombi moja dogo la kukuomba; usinikatalie.”

Mfalme akajibu, “Omba, mama yangu; sitakukatalia.”

212:21 Mik 5:2; 1Nya 2:51; Rut 1:19; Mt 2:6; 2Sam 21:2; Mwa 35:19Akasema, “Mruhusu Abishagi, Mshunami, aolewe na ndugu yako Adoniya.”

22Mfalme Solomoni akamjibu mama yake, “Kwa nini uombe Abishagi, Mshunami, kwa ajili ya Adoniya? Ungeweza pia kuomba ufalme kwa ajili yake, kwani yeye ni ndugu yangu mkubwa: naam, kwa ajili yake, na kwa kuhani Abiathari na Yoabu mwana wa Seruya!”

23Mfalme Solomoni akaapa kwa Bwana, akasema: “Mungu na aniulie mbali, tena bila huruma, ikiwa Adoniya hatalipa kwa uhai wake kwa ajili ya ombi hili! 24Basi sasa, hakika kama Bwana aishivyo, yeye ambaye ameniimarisha salama kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu, naye amenipa ufalme wa kudumu kama alivyoahidi, Adoniya atauawa leo!” 25Hivyo Mfalme Solomoni akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akampiga Adoniya akafa.

262:26 Yos 21:18; 1Sam 22:20; 2Sam 15:14Mfalme akamwambia kuhani Abiathari, “Nenda huko Anathothi katika mashamba yako. Wewe unastahili kufa, lakini sitakuua sasa, kwa sababu ulilichukua Sanduku la Bwana Mwenyezi mbele ya Daudi baba yangu na ulishiriki taabu zote za baba yangu.” 27Hivyo Solomoni akamwondoa Abiathari kwenye ukuhani wa Bwana, akilitimiza neno la Bwana alilokuwa amenena huko Shilo kuhusu nyumba ya Eli.

282:28 Mwa 12:8Habari zilipomfikia Yoabu, ambaye alikuwa amefanya shauri baya na Adoniya, lakini sio na Absalomu, alikimbilia kwenye hema la Bwana na kushika pembe za madhabahu. 29Mfalme Solomoni akaambiwa kuwa Yoabu amekimbilia kwenye hema la Bwana naye alikuwa kando ya madhabahu. Basi Solomoni akamwagiza Benaya mwana wa Yehoyada: “Nenda ukamuue!”

30Ndipo Benaya akaingia kwenye hema la Bwana na kumwambia Yoabu, “Mfalme anasema, ‘Toka nje!’ ”

Lakini akajibu, “La! Nitafia hapa hapa.”

Benaya akamwarifu mfalme, “Hivi ndivyo Yoabu alivyonijibu.”

312:31 Ezr 2:7Kisha mfalme akamwamuru Benaya, “Fanya kama asemavyo. Muue na kumzika, ili uniondolee mimi na nyumba ya baba yangu dhambi ya damu isiyokuwa na hatia ile Yoabu aliyoimwaga. 32Bwana atamlipiza kwa ajili ya damu aliyoimwaga, kwa sababu pasipo Daudi baba yangu kujua, aliwashambulia watu wawili na kuwaua kwa upanga. Wote wawili, Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda, walikuwa watu wazuri na wanyofu kuliko yeye. 33Hatia ya damu yao na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na wazao wake milele. Lakini kwa Daudi na uzao wake, nyumba yake na kiti chake cha ufalme, iwepo amani ya Bwana milele.”

342:34 Kum 34:3; 2Nya 28:15; 1Fal 16:34Basi Benaya mwana wa Yehoyada akakwea, akampiga na kumuua Yoabu, naye akazikwa katika nchi yake mwenyewe katika jangwa. 35Mfalme akamweka Benaya mwana wa Yehoyada juu ya jeshi kwenye nafasi ya Yoabu na kumweka kuhani Sadoki badala ya Abiathari.

362:36 1Nya 9:10; 24:7Kisha mfalme akatuma ujumbe kwa Shimei na kumwambia, “Ujijengee nyumba huko Yerusalemu uishi huko, lakini usiende mahali pengine popote. 372:37 1Nya 24:14; Ezr 10:20Siku utakayoondoka kuvuka Bonde la Kidroni, uwe na hakika utakufa; damu yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”

382:38 1Nya 9:12; Ezr 10:22Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.

392:39 1Nya 24:8Lakini baada ya miaka mitatu, watumwa wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi, naye Shimei akaambiwa, “Watumwa wako wako Gathi.” 402:40 Hes 3:9; Ezr 3:9Kwa ajili ya hili, Shimei akatandika punda wake, akaenda kwa Akishi huko Gathi kuwatafuta watumwa wake. Basi Shimei akaondoka na kuwarudisha watumwa wake kutoka Gathi.

412:41 1Nya 15:16Solomoni alipoambiwa kuwa Shimei ametoka Yerusalemu na kwenda Gathi na amekwisha kurudi, 422:42 1Sam 3:15; 1Nya 9:17mfalme akamwita Shimei na kumwambia, “Je, sikukuapiza kwa Bwana na kukuonya kuwa, ‘Siku utakayoondoka kwenda mahali pengine popote, uwe na hakika utakufa?’ Wakati ule uliniambia, ‘Ulilolisema ni jema. Nitatii!’ 432:43 1Nya 9:2Kwa nini basi hukutunza kiapo chako kwa Bwana na kutii amri niliyokupa?”

44Pia mfalme akamwambia Shimei, “Unajua katika moyo wako makosa uliyomtendea baba yangu Daudi. Sasa Bwana atakulipiza kwa ajili ya mabaya yako uliyotenda. 45Lakini Mfalme Solomoni atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha Daudi kitakuwa imara mbele za Bwana milele.”

46Kisha mfalme akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka nje, akampiga Shimei na kumuua.

Sasa ufalme ukawa umeimarika kikamilifu mikononi mwa Solomoni.

New Russian Translation

3 Царств 2:1-46

Последние наставления Давида Соломону

1Когда приблизился смертный час Давида, он дал своему сыну Соломону наставление.

2– Я ухожу путем всей земли, – сказал он. – Будь тверд, будь мужествен 3и исполняй то, чего требует Господь, твой Бог. Следуй Его путями и исполняй Его установления и повеления, Его законы и предписания, как написано в Законе Моисея, чтобы тебе преуспеть во всем, что бы ты ни делал и куда бы ни шел, 4и чтобы Господь исполнил Свое слово, которое Он сказал обо мне: «Если твои потомки будут следовать путями Господа и будут ходить предо Мной в истине от всего сердца и от всей души, то ты никогда не лишишься преемника на престоле Израиля».

5Далее, ты сам знаешь о том, что сделал мне Иоав, сын Саруи, что сделал он с двумя военачальниками Израиля – Авнером, сыном Нира, и Амасой, сыном Иефера. Он убил их, мстя во время мира за кровь, что была пролита на войне, и запятнал кровью войны пояс на бедрах и сандалии на ногах. 6Действуй по своей мудрости, но не дай его седой голове сойти в мир мертвых2:6 Евр.: «шеол». Шеол – место, где пребывают души умерших. То же в ст. 9. с миром.

7Сыновьям Верзеллия из Галаада яви милость, и пусть они будут в числе тех, кто ест за твоим столом. Они пришли ко мне, когда я бежал от твоего брата Авессалома2:7 См. 2 Цар. 17:27-29; 19:31-39..

8Еще у тебя есть Шимей, сын Геры, вениамитянин из Бахурима. Он осыпал меня страшными проклятиями в день, когда я шел в Маханаим. Когда он вышел встречать меня к Иордану, я поклялся ему Господом: «Я не предам тебя мечу». 9Но теперь не считай его невиновным. Ты мудрый человек, ты поймешь, что с ним сделать. Сведи его седую голову в мир мертвых в крови2:8-9 См. 2 Цар. 16:5-13; 19:15-23..

Смерть Давида

(1 Пар. 29:26-28)

10Давид упокоился со своими предками и был похоронен в Городе Давида. 11Он правил Израилем сорок лет – семь лет в Хевроне и тридцать три года в Иерусалиме. 12На престоле своего отца Давида сел Соломон, и царство его упрочилось.

Казнь Адонии

13Адония, сын Аггифы, пришел к матери Соломона Вирсавии. Вирсавия спросила его:

– С миром ли ты пришел?

– С миром, – ответил он.

14Затем он спросил:

– Могу ли я с тобой поговорить?

– Говори, – ответила она.

15– Ты знаешь, – сказал он, – что царство было моим, и на меня смотрел весь Израиль как на будущего царя. Но все изменилось, и царство перешло к моему брату – ведь оно было суждено ему от Господа. 16И вот, я прошу тебя об одном. Не откажи мне.

– Говори, – сказала она.

17Он сказал:

– Прошу тебя, поговори с царем Соломоном – тебе он не откажет, – чтобы он отдал мне в жены шунамитянку Авишаг.

18– Хорошо, – ответила Вирсавия. – Я поговорю о тебе с царем.

19Когда Вирсавия пришла к царю Соломону поговорить с ним об Адонии, царь встал, чтобы встретить ее, поклонился ей и сел на свой престол. Он велел принести престол для царской матери, и она села по правую руку от него.

20– У меня к тебе маленькая просьба, – сказала она. – Не откажи мне.

Царь ответил:

– Проси, моя мать; я не откажу тебе.

21И она сказала:

– Пусть шунамитянку Авишаг отдадут в жены твоему брату Адонии.

22Царь Соломон ответил матери:

– Зачем ты просишь для Адонии шунамитянку Авишаг? Проси уж для него и царство – он ведь мой старший брат, – да, проси для него, для священника Авиатара и для Иоава, сына Саруи!

23И царь Соломон поклялся Господом:

– Пусть Бог сурово накажет меня, если Адония не заплатит за эту просьбу жизнью! 24Верно, как и то, что жив Господь, Который утвердил меня и посадил меня на престоле моего отца Давида и укрепил мой дом, как и обещал, Адония сегодня же будет предан смерти!

25Царь Соломон отдал приказ Бенаю, сыну Иодая, и тот сразил Адонию, и он умер.

Наказание Авиатара и смерть Иоава

26А священнику Авиатару царь сказал:

– Ступай в Анатот, к своим полям. Ты заслуживаешь казни, но сегодня я не предам тебя смерти, потому что ты носил ковчег Владыки Господа перед моим отцом Давидом и делил все тяготы жизни с моим отцом.

27И Соломон отстранил Авиатара от Господнего священства, исполняя этим слово, которое Господь сказал в Шило о доме Илия2:27 См. 1 Цар. 2:27-36.. 28Когда новости дошли до Иоава, а Иоав поддержал Адонию, хотя и не поддержал Авессалома, он вбежал в Господень шатер и схватился за рога жертвенника. 29Царю Соломону доложили, что Иоав убежал в Господень шатер и находится у жертвенника. Тогда Соломон приказал Бенаю, сыну Иодая:

– Иди, срази его!

30Беная вошел в Господень шатер и сказал Иоаву:

– Так говорит царь: «Выходи!»

Но тот ответил:

– Нет, я умру здесь.

Беная доложил царю:

– Вот так ответил мне Иоав.

31Тогда царь приказал Бенаю:

– Сделай, как он говорит. Срази его и похорони, и тем очисть меня и дом моего отца от вины за невинную кровь, что пролил Иоав. 32Господь воздаст ему за кровь, которую он пролил, потому что он без ведома моего отца Давида напал на двух человек и убил их мечом. Оба они – Авнер, сын Нира, военачальник Израиля, и Амаса, сын Иефера, военачальник Иуды, – были праведнее и лучше его. 33Пусть вина за их кровь падет на голову Иоава и его потомков навеки. Но на Давиде и его семени, его доме и престоле пусть вечно будет Господень мир.

34Беная, сын Иодая, пошел, сразил Иоава и убил его, и его похоронили на его участке в пустыне. 35Царь поставил Бенаю, сына Иодая, над войском вместо Иоава и заменил Авиатара священником Цадоком.

Смерть Шимея

36После этого царь послал за Шимеем и сказал ему:

– Построй себе дом в Иерусалиме и живи там, а больше никуда не ходи. 37Знай, в тот день, когда ты уйдешь и пересечешь долину Кедрон, ты умрешь, и сам будешь виновен в своей гибели.

38Шимей ответил царю:

– Хорошо ты говоришь. Твой слуга сделает так, как сказал господин мой царь.

И Шимей оставался в Иерусалиме долгое время. 39Но три года спустя двое из рабов Шимея убежали к царю Гата Ахишу, сыну Маахи, и Шимею донесли:

– Твои рабы в Гате.

40Тогда он оседлал осла и отправился к Ахишу в Гат искать рабов. Так Шимей ушел и привел рабов из Гата.

41Когда Соломону доложили, что Шимей уходил из Иерусалима в Гат и вернулся, 42царь призвал Шимея и сказал ему:

– Разве я не взял с тебя клятву Господом и не предупредил тебя: «Знай, в тот день, когда ты пойдешь, куда бы то ни было, ты умрешь?». Ты тогда сказал мне: «Хорошо ты говоришь. Я буду послушен». 43Почему же ты не сдержал клятву Господу и не послушался моего повеления?

44Еще царь сказал Шимею:

– В сердце своем ты хранишь память обо всем том зле, которое ты сделал моему отцу Давиду. Теперь Господь воздаст тебе за твое злодеяние. 45А царь Соломон будет благословен, и престол Давида останется непоколебимым перед Господом вовеки.

46Царь отдал приказ Бенаю, сыну Иодая, и тот вышел и сразил Шимея, и убил его.

Так царство надежно упрочилось во власти Соломона.