1 Wafalme 16 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wafalme 16:1-34

116:1 1Fal 16:7; 2Nya 19:2Ndipo neno la Bwana likamjia Yehu mwana wa Hanani dhidi ya Baasha, kusema: 216:2 1Fal 14:7-9“Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kiongozi wa watu wangu Israeli, lakini ukaenenda katika njia za Yeroboamu na kusababisha watu wangu Israeli kutenda dhambi na kunikasirisha kwa dhambi zao. 316:3 1Fal 16:11; 21:22Basi nitamwangamiza Baasha pamoja na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwanawe Nebati. 416:4 1Fal 14:11Mbwa watawala watu wa Baasha watakaofia mjini na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani.”

5Kwa matukio mengine ya utawala wa Baasha, aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli? 6Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.

716:7 1Fal 16:11Zaidi ya hayo, neno la Bwana likamjia Baasha pamoja na nyumba yake kupitia kwa nabii Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya maovu yote aliyokuwa ametenda machoni pa Bwana, akamkasirisha kwa mambo aliyotenda, na kuwa kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu aliiangamiza.

Ela Mfalme Wa Israeli

8Katika mwaka wa ishirini na sita wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala huko Tirsa kwa miaka miwili.

916:9 1Fal 20:12; Mit 31:4-5Zimri, mmoja wa maafisa wake, aliyekuwa na amri juu ya nusu ya magari yake ya vita, akafanya hila mbaya dhidi ya Ela. Wakati huo Ela alikuwa Tirsa, akilewa katika nyumba ya Arsa, mtu aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme huko Tirsa. 1016:10 2Fal 9:31Zimri akaingia, akampiga na kumuua katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda. Kisha Zimri akaingia mahali pake kuwa mfalme.

11Mara tu alipoanza kutawala na kuketi juu ya kiti cha ufalme, aliua jamaa yote ya Baasha. Hakumwacha mwanaume hata mmoja, akiwa ni ndugu au rafiki. 12Hivyo Zimri akaangamiza jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la Bwana lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii Yehu: 1316:13 Kum 32:21kwa sababu ya dhambi zote Baasha na mwanawe Ela walizokuwa wametenda na wakasababisha Israeli kuzitenda, basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.

14Kwa matukio mengine ya utawala wa Ela, na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

Zimri Mfalme Wa Israeli

1516:15 Yos 19:44Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala huko Tirsa siku saba. Jeshi lilikuwa limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Wafilisti. 16Wakati Waisraeli waliokuwa kambini waliposikia kuwa Zimri alikuwa amefanya hila mbaya dhidi ya mfalme na kumuua, wakamtangaza Omri, jemadari wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli siku iyo hiyo huko kambini. 17Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa. 18Wakati Zimri alipoona kuwa mji umechukuliwa, alikwenda ndani ya ngome ya jumba la kifalme na kulichoma moto jumba la kifalme na kujiteketeza ndani yake. Kwa hiyo akafa, 19kwa sababu ya dhambi alizofanya, akitenda maovu machoni pa Bwana na kuenenda katika njia za Yeroboamu na katika dhambi alizofanya na kusababisha Israeli kuzifanya.

20Kwa matukio mengine ya utawala wa Zimri, na uasi alioutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

Omri Mfalme Wa Israeli

21Ndipo watu wa Israeli wakagawanyika katika makundi mawili, nusu wakamuunga mkono Tibni mwana wa Ginathi ili awe mfalme na nusu nyingine wakamuunga mkono Omri. 22Lakini wafuasi wa Omri wakajionyesha wenye nguvu kuliko wale wa Tibni mwana wa Ginathi. Hivyo Tibni akafa na Omri akawa mfalme.

2316:23 Yos 12:24Katika mwaka wa thelathini na moja wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili, sita kati ya hiyo katika Tirsa. 2416:24 1Fal 13:32; Mt 10:5Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili16:24 Talanta mbili za fedha ni sawa na kilo 70. za fedha na akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki wa kwanza wa kilima hicho.

2516:25 Kum 4:25; Mik 6:16Lakini Omri akatenda maovu machoni pa Bwana na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia. 2616:26 Kum 32:21Akaenenda katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake, ambazo alisababisha Israeli kutenda, hivyo basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.

27Kwa matukio mengine ya utawala wa Omri, yale aliyofanya na vitu alivyovifanikisha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli? 2816:28 1Fal 13:32Omri akalala pamoja na baba zake na akazikwa huko Samaria. Ahabu mwanawe akatawala mahali pake.

Ahabu Afanywa Mfalme Wa Israeli

29Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka ishirini na miwili. 3016:30 1Fal 14:9Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni mwa Bwana kuliko yeyote aliyewatangulia. 3116:31 1Fal 11:2; 2Fal 9:34; Amu 3:6Kama vile haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti wa Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia Baali na kumwabudu. 3216:32 Amu 6:28; Yer 43:12Akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile alilolijenga huko Samaria. 3316:33 Amu 3:7; 2Fal 13:6Pia Ahabu akatengeneza nguzo ya Ashera na kufanya mengi ili kumkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli, kuliko walivyofanya wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.

3416:34 Yos 6:26Katika wakati wa Ahabu, Hieli, Mbetheli, akaijenga upya Yeriko. Aliweka misingi yake kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza Abiramu, na kuweka malango yake kwa gharama ya mwanawe mdogo Segubu, kulingana na neno la Bwana alilosema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.

Bibelen på hverdagsdansk

1. Kongebog 16:1-34

1Profeten Jehu, Hananis søn, kom til Basha med et ord fra Herren:

2„Jeg løftede dig op fra støvet og gjorde dig til konge over mit folk Israel. Men du følger i Jeroboams fodspor og lokker mit folk til synd, så de gør oprør mod mig. 3Jeg vil snart udrydde dig og din slægt fuldstændigt, akkurat som det skete med Jeroboams slægt. 4-7Dem fra din slægt, som bliver dræbt i byen, vil hundene æde, og dem, som bliver dræbt på landet, vil fuglene æde!” Herren udtalte denne dom over Basha og hans slægt, fordi Basha havde gjort ham vred ved at følge i Jeroboams fodspor og gøre oprør mod Herren, og fordi han havde udryddet Jeroboams slægt. Bashas øvrige bedrifter står nedskrevet i Israels kongers krønikebog. Da Basha døde, blev han begravet i Tirtza, og hans søn Ela overtog kongetronen.

Diverse onde konger i Israel

8Ela, Bashas søn, kom til magten i kong Asa af Judas 26. regeringsår, men han kom kun til at regere i to år.16,8 På normalt dansk: „et år”, fra Asas 26. til 27. regeringsår. 9Zimri, der stod i spidsen for halvdelen af vogntropperne, lavede en sammensværgelse imod ham. En dag, da kong Ela var på besøg hos sin hofmarskal, Artza, i residensbyen Tirtza, og var blevet godt beruset, 10trængte Zimri ind i huset og myrdede ham. Mordet fandt sted i kong Asa af Judas 27. regeringsår. Derefter udråbte Zimri sig selv til Israels nye konge. 11Han dræbte straks hele kongefamilien, det vil sige alle mandspersoner, som kunne true hans regime. Selv deres slægtninge og venner dræbte han, så der ikke var nogen til at tage blodhævn. 12Bashas slægt var nu udryddet, som Herren havde sagt gennem profeten Jehu, 13og det var fordi Basha og hans søn Ela havde forledt hele Israels folk til oprør mod Herren ved deres afgudsdyrkelse. 14Resten af Elas livshistorie og hans bedrifter er nedskrevet i Israels kongers krønikebog.

15-16Zimri beholdt dog kun kongemagten i syv dage. De israelitiske soldater var på det tidspunkt i færd med at belejre filisterbyen Gibbeton. Da de hørte, at Zimri havde gjort oprør imod kongen og dræbt ham, valgte de straks Omri, hærens øverstkommanderende, til konge. 17Omri opgav så belejringen af Gibbeton og med hele Israels hær belejrede han hovedstaden Tirtza, hvor Zimri befandt sig. 18Da Zimri indså, at han intet kunne stille op, gik han ind i kongepaladset og satte ild til det. Sådan omkom han, 19fordi han gjorde, hvad der var ondt i Herrens øjne og fortsatte i samme spor som Jeroboam, der havde indført afgudsdyrkelse i Israel. 20Resten af Zimris bedrifter og detaljer om hans oprør mod kongen er nedskrevet i Israels kongers krønikebog.

21Befolkningen delte sig nu i to lejre, den ene var loyal over for Omri, den anden udråbte Tibni, søn af Ginat, til konge. 22Men Omris hær var den stærkeste, så i løbet af få år blev Tibnis hær besejret. Efter at Tibni var død, blev Omri konge over hele Nordriget.

23Det var i kong Asa af Judas 31. regeringsår, at Omri officielt blev konge over hele Nordriget. Han regerede i alt i 12 år—de første seks år i Tirtza. 24Han købte en bakketop af en mand ved navn Shemer for 70 kilo sølv og byggede en by der, som blev hans nye hovedstad. Han kaldte byen Samaria16,24 På hebraisk: Shomron. Navne ændres altid lidt i tidens løb eller ved at blive lånt fra det ene sprog til det andet. LXX staver navnet Semeron, mens det i NT græsk er blevet til Samareia. til ære for Shemer.

25Men Omri var værre end nogen anden konge før ham. 26Han fortsatte i det spor, Jeroboam var slået ind på, da han fik Israels folk til at gøre oprør mod Herren, deres Gud, gennem deres tåbelige afgudsdyrkelse. 27Resten af Omris bedrifter er nedskrevet i Israels kongers krønikebog. 28Da Omri døde, blev han begravet i Samaria, og hans søn Ahab blev konge efter ham.

Ahab som konge i Israel

29Ahab blev konge i Israel i kong Asa af Judas 38. regeringsår. Han regerede i 22 år med Samaria som hovedstad. 30Han gjorde, hvad der var ondt i Herrens øjne i endnu højere grad end sine forgængere. 31Ikke alene fortsatte han i Jeroboams spor og dyrkede de afguder, han havde indført, men han giftede sig endog med Jezabel, sidonierkongen Et-Ba’als datter, og indførte derved ba’aldyrkelsen i Israel! 32Først byggede han et tempel og et alter for Ba’al i Samaria. 33Derpå lavede han andre afguder og et frugtbarhedssymbol for Asheragudinden. Derved provokerede han Herren, Israels Gud, med sit oprør, og det mere end nogen anden konge i Israel før ham.

34Det var på kong Ahabs tid, at en mand ved navn Hiel fra Betel formastede sig til at genopbygge Jeriko. Mens han lagde byens nye fundament, døde hans ældste søn Abiram, og da han gjorde byporten færdig, døde hans yngste søn Segub. Derved opfyldtes den forbandelse, som Josva i sin tid havde udtalt.16,34 Se Josva 6,26. Ifølge hebraisk fortællestil er det underforstået, at alle hans sønner døde under genopbygningen, ikke kun den ældste og yngste.