1 Wafalme 10 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wafalme 10:1-29

Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni

(2 Nyakati 9:1-12)

110:1 2Nya 20:9; Dan 9:20Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Solomoni na uhusiano wake na jina la Bwana, akaja kumjaribu kwa maswali magumu. 210:2 Ezr 9:2; Kut 34:13; Neh 13:27; Kum 30:8-10Alifika Yerusalemu akiwa na msafara mkubwa sana: pamoja na ngamia waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu na vito vya thamani; alikuja kwa Solomoni na kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa nayo moyoni mwake. 310:3 2Fal 11:17; 2Nya 34:31; Kut 34:16; Kum 7:2-3; Ezr 9:4; Za 119:53, 120; Isa 66:2Solomoni akamjibu maswali yake yote, hakukuwa na jambo lolote lililokuwa gumu kwa mfalme asiweze kumwelezea. 410:4 1Nya 28:10; Isa 35:3-4Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga, 510:5 Neh 5:12; 13:25chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika hekalu la Bwana, alipatwa na mshangao.

610:6 Kum 9:18; Yn 3:7; Za 102:4Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu mafanikio na hekima yako ni kweli. 7Lakini sikuamini mambo haya hadi nilipokuja na kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam, sikuambiwa hata nusu yake; katika hekima na mali umezidi sana ile taarifa niliyoisikia. 810:8 Law 27:28; Yos 6:19Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako! 910:9 1Sam 12:18; Ezr 1:5Ahimidiwe Bwana Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wake Bwana wa milele ajili ya Israeli, amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na uadilifu.”

10Naye akampa mfalme talanta 12010:10 Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5. za dhahabu, kiasi kikubwa sana cha vikolezi na vito vya thamani. Haikuwahi kamwe kuletwa tena vikolezi vingi hivyo kuletwa kama vile malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.

1110:11 Kum 24:1; Mit 28:13; Mal 2:10-16; Yer 3:13; Isa 1:16-17; Rum 12:2(Meli za Hiramu zilileta dhahabu kutoka Ofiri; tena kutoka huko zilileta shehena kubwa ya miti ya msandali na vito vya thamani. 1210:12 Yos 6:5Mfalme akatumia miti ya msandali kuwa nguzo ya Hekalu la Bwana na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa au kuonekana humo tangu siku ile.)

13Mfalme Solomoni akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na kukiomba, kando na vile mfalme alivyokuwa amempa kwa ukarimu wake wa kifalme. Kisha malkia akaondoka na kurudi katika nchi yake, yeye na watumishi wake.

Fahari Ya Solomoni

(2 Nyakati 9:13-28)

1410:14 Kum 16:18; Hes 25:4; 2Nya 30:8; 2Fal 23:26; 2Nya 28:11-13; 29:10; 30:8; Za 78:38; Isa 12:1Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,10:14 Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25. 1510:15 Neh 11:16mbali na mapato kutoka kwa wafanyabiashara na wachuuzi, na kutoka kwa wafalme wote wa Kiarabu na watawala wa nchi.

16Mfalme Solomoni akatengeneza ngao kubwa 200 kwa dhahabu iliyofuliwa; kila ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli 60010:16 Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5. 17Akatengeneza pia ngao ndogo 300 za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na uzito wa mane tatu10:17 Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7. za dhahabu. Mfalme akaziweka katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni.

1810:18 Ezr 5:2; 2:2; Amu 3:6; Zek 6:1Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na kukifunika kwa dhahabu safi. 1910:19 2Fal 10:15; Law 5:15; 6:4-6; 1Nya 29:24; 2Nya 30:8; Gal 2:9; Mit 22:26Kiti hicho kilikuwa na ngazi sita na egemeo la nyuma lilikuwa la mviringo kwa juu. Pande zote za kiti kulikuwa na mahali pa kuegemeza mikono, na simba wawili wakisimama kando ya hiyo mikono. 2010:20 1Nya 24:14Simba kumi na wawili walisimama kwenye ngazi sita, mmoja katika kila upande wa kila ngazi. Hakuna kitu kama hicho kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme mwingine wowote. 2110:21 1Nya 24:8Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo siku za Solomoni. 2210:22 1Nya 9:12Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara10:22 Au: za Tarshishi (ona pia 1Fal 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9). baharini zilizokuwa zikiandamana na meli za Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.

2310:23 Neh 8:7; 9:4Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia. 2410:24 Neh 3:1; 12:10Dunia yote ikatafuta kukutana na Solomoni ili kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake. 2510:25 Ezr 3:2; 8:3; Neh 7:13Mwaka baada ya mwaka, kila mmoja ambaye alikuja alileta zawadi: vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha na vikolezi, farasi na nyumbu.

2610:26 Kum 17:16Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu. 2710:27 Ay 27:16; 1Nya 27:28Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani. 28Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue.10:28 Yaani Kilikia ilioko Syria. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue. 2910:29 Hes 13:29Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha10:29 Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7. na farasi kwa shekeli 150.10:29 Shekeli 150 za fedha ni sawa na kilo 1.7. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.10:29 Waaramu hapa ina maana ya Washamu.

Bibelen på hverdagsdansk

1. Kongebog 10:1-29

Dronningen af Saba besøger kong Salomon

1Da dronningen af Saba10,1 Dette land menes at have ligget i den østlige del af det område, som i dag hedder Yemen. hørte om den visdom, Herren havde givet Salomon, fik hun lyst til at udfordre ham med nogle svære spørgsmål. 2Hun ankom til Jerusalem med et stort følge og en lang karavane af kameler belæsset med aromatiske stoffer, ædelsten og store mængder guld. Under sit besøg hos kong Salomon stillede hun ham alle de spørgsmål, hun kunne komme i tanke om. 3Salomon besvarede alle hendes spørgsmål—ikke et eneste var for vanskeligt for ham. 4Da dronningen således personligt oplevede hans visdom og med egne øjne så det prægtige palads, 5den fornemme mad, de mange hoffolk, som spiste med ved bordet, tjenerne, der serverede, deres prægtige klæder, hans mundskænke og de mange brændofre, han ofrede i Herrens hus, blev hun meget betaget og udbrød:

6„Jeg er dybt imponeret! De rapporter, jeg modtog i mit eget land om din store visdom og dine bedrifter, var altså sande. 7Jeg troede ellers ikke på dem, men nu har jeg med mine egne øjne set meget, meget mere, end hvad jeg dengang hørte om. Din visdom og rigdom overgår langt de vildeste rygter! 8Hvor er dine folk og tjenere heldige, at de kan lytte til din visdom hver eneste dag. 9Lovet være Herren, din Gud, som fandt behag i dig og satte dig på Israels trone. Det er på grund af din Guds evige kærlighed til Israel, at han gjorde dig til konge over dem, for du regerer med retfærdighed.”

10Derpå forærede hun kongen 4 tons guld, store mængder aromatiske stoffer og mange ædelsten. De kostbarheder, kong Salomon fik foræret, var uden sidestykke.

11I den forbindelse skal det nævnes, at kong Hirams skibe ud over at bringe guld fra Ofir hjem til kong Salomon også bragte store mængder kostbart træ og ædelsten. 12Det kostbare træ brugte Salomon til at lave rækværk i tempelkomplekset og i sit palads, samt til lyrer og harper. Aldrig har man set magen til en så fornem levering af kostbart træ.

13Salomon gav til gengæld dronningen af Saba alt, hvad hun bad om og kunne ønske sig, foruden de gaver, han selv forærede hende. Derpå rejste hun sammen med sit følge tilbage til sit land.

Salomons rigdom

14Hvert år udvandt kong Salomon ca. 23 tons10,14 På hebraisk: „666 talenter”, hvor en talent svarer til ca. 34 kg. Måske hentyder tallet 666 profetisk til faren ved at blive for optaget af jordisk rigdom. guld fra sine guldminer. 15Dertil kom indtægter fra handelsafgifter, told og skat fra de arabiske vasalkonger og landets egne guvernører. 16-17Salomon fik lavet 200 store, guldbelagte skjolde, hvor der gik knap 7 kilo10,16-17 Eller ca. 3 kilo. Den hebraiske tekst er uklar. guld til hvert skjold, og 300 mindre skjolde, hvortil der gik halvandet kilo guld. Alle disse skjolde satte han op som udsmykning i „Libanonskovhallen”.

18Han fik også lavet en overdådig elfenbenstrone, belagt med rent guld. 19Seks brede trin førte op til selve tronstolen, som havde en rundet ryg foroven og armlæn på begge sider. Ved hver side stod en forgyldt løve. 20For enderne af hvert trin stod der også en løve, så der var 12 løver i alt på tronens trappe. Intet sted i verden fandtes en trone som Salomons.

21Alle kong Salomons drikkebægre var af rent guld, og spisestellet i „Libanonskovhallen” var også af rent guld. Intet af det var af sølv, for sølv blev ikke regnet for noget på den tid. 22Salomon havde selv nogle store Tarshish-skibe10,22 Det vides ikke med sikkerhed, hvor Tarshish lå, sandsynligvis i Spanien. I alle tilfælde er et Tarshish-skib et stort, oceangående skib, der blev brugt til de længste handelsruter. ligesom kong Hiram. Hvert tredje år vendte disse skibe hjem med store ladninger af guld, sølv, elfenben, aber og påfugle.

23Kong Salomon var således visere og rigere end nogen anden konge på jorden. 24Stormænd fra alverdens lande søgte audiens hos ham for at få del i hans gudgivne visdom, 25og de bragte ham år efter år fornemme gaver i form af guld- og sølvting, kostbart klæde, våben, aromatiske stoffer, heste og muldyr.

26Salomon anskaffede sig masser af stridsvogne og heste. Han havde 1400 stridsvogne og 12.000 heste, som han stationerede i de dertil indrettede vognbyer og i selve Jerusalem. 27Salomons rigdom betød, at sølv blev lige så almindeligt i Jerusalem som stenene i byens gader, og det kostbare cedertræ blev lige så almindeligt som morbærfigentræ fra de vestlige bakkeskråninger. 28Salomons heste blev importeret fra Egypten og Kilikien, hvor hans opkøbere konstant var på udkig. 29En egyptisk stridsvogn leveret i Jerusalem kostede syv kilo sølv, og en hest kostede godt halvandet kilo sølv. En del af disse heste og vogne blev solgt videre til de hittitiske og aramæiske konger.