1 Timotheo 6 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Timotheo 6:1-21

Watumwa

16:1 1Pet 2:18; Tit 2:5-9Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu. 26:2 Efe 1:16; 1Tim 4:11Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao ni waaminio, ambao ni wapenzi wao. Fundisha mambo haya na uwahimize kuyafuata.

Mafundisho Ya Uongo Na Utajiri Wa Kweli

36:3 1Tim 1:3-10Ikiwa mtu yeyote atafundisha mafundisho mapotovu wala hakubaliani na mafundisho manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya utauwa, 46:4 2Tim 2:14huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya, 56:5 Tit 1:15na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.

66:6 Flp 4:11; Ebr 13:5; 1Tim 4:8Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa. 76:7 Ay 1:21; Za 49:17Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu. 86:8 Mit 30:8; Ebr 13:5Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo. 96:9 Mit 15:27; 1Tim 3:7Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi. 106:10 Yak 5:19; 1Tim 3:3Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.

Vitu Vizuri Vya Imani

116:11 2Tim 3:10-17Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole. 126:12 1Kor 9:25-26; 1Tim 1:18; Flp 3:12Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. 136:13 1Tim 1:11-17; Dan 2:47; Ufu 1:5Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Kristo Yesu ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri, 146:14 1The 3:13; 1Kor 1:7; 2Tim 1:10; 4:1, 8uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, 156:15 1Tim 1:11-17; Dan 2:47; Ufu 1:5ambaye Mungu atamleta kwa wakati wake mwenyewe: yeye ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana, 166:16 Yn 1:18yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen.

176:17 Lk 12:20-21; 1Tim 4:10; Mdo 14:17Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. 186:18 1Tim 5:10; Rum 12:8-13Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine. 196:19 Mt 6:20Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.

Maelekezo Ya Binafsi Na Maombi Ya Baraka

206:20 2Tim 1:12-14; 2:16-18Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu, 216:21 Kol 4:18ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani.

Neema iwe nanyi. Amen.

La Bible du Semeur

1 Timothée 6:1-21

Les esclaves et les maîtres

1Les croyants qui sont esclaves doivent considérer leurs maîtres comme ayant droit à tout leur respect. Ils éviteront ainsi que le nom de Dieu soit blasphémé et notre enseignement dénigré. 2Que ceux qui ont des maîtres croyants ne leur manquent pas de respect sous prétexte qu’ils sont des frères. Bien au contraire, qu’ils les servent d’autant mieux que ce sont des croyants bien-aimés qui bénéficient du bienfait de leur service.

Voilà ce que tu dois enseigner et recommander.

Le faux et le vrai enseignant des vérités divines

3Si quelqu’un enseigne autre chose, et s’écarte des saines paroles de notre Seigneur Jésus-Christ et de l’enseignement conforme à la piété, 4c’est un homme enflé d’orgueil, un ignorant qui a une passion maladive pour les spéculations et les controverses sur des mots. Qu’est-ce qui en résulte ? Des jalousies, des disputes, des dénigrements réciproques, des soupçons malveillants, 5et des discussions interminables entre gens à l’esprit faussé. Ils ne connaissent plus la vérité, et considèrent la foi en Dieu comme un moyen de s’enrichir.

6La véritable foi en Dieu est, en effet, une source de richesse quand on sait être content avec ce qu’on a. 7Nous n’avons rien apporté dans ce monde, et nous ne pouvons rien en emporter. 8Tant que nous avons nourriture et vêtement, nous nous en contenterons.

9Ceux qui veulent à tout prix s’enrichir s’exposent eux-mêmes à la tentation et tombent dans le piège de nombreux désirs insensés et pernicieux qui précipitent les hommes dans la ruine et la perdition. 10Car « l’amour de l’argent est racine de toutes sortes de maux6.10 L’apôtre cite un proverbe populaire, retrouvé dans la littérature de l’époque. ». Pour s’y être abandonnés, certains se sont égarés très loin de la foi, et se sont infligé beaucoup de tourments.

Combattre le bon combat de la foi

11Mais toi, homme de Dieu, fuis toutes ces choses. Recherche ardemment la droiture, la piété, la fidélité, l’amour, la persévérance, l’amabilité. 12Combats le bon combat de la foi, saisis la vie éternelle que Dieu t’a appelé à connaître et au sujet de laquelle tu as fait cette belle profession de foi en présence de nombreux témoins6.12 Sans doute au moment de son baptême. Dans l’Eglise ancienne, le baptême était accompagné d’une profession de foi du baptisé..

13Je t’adjure solennellement devant Dieu, source de toute vie, et devant Jésus-Christ qui a rendu témoignage devant Ponce Pilate par une belle profession de foi : 14observe ce commandement de façon pure et irréprochable6.14 Autre traduction : garde ce commandement pur et irréprochable. jusqu’à l’apparition de notre Seigneur Jésus-Christ, 15que suscitera au moment fixé celui qui est :

le Bienheureux,

l’unique Souverain,

le Roi des rois,

le Seigneur des seigneurs.

16Lui seul est immortel.

Sa demeure est bâtie

au sein de la lumière

inaccessible à tous.

Nul parmi les humains

ne l’a vu de ses yeux,

aucun ne peut le voir.

A lui soient à jamais

l’honneur et la puissance !

Amen.

Aux riches

17Recommande à ceux qui possèdent des richesses en ce monde de se garder de toute arrogance et de ne pas fonder leur espoir sur la richesse, car elle est instable. Qu’ils placent leur espérance en Dieu, qui nous dispense généreusement toutes ses richesses pour que nous en jouissions. 18Recommande-leur de faire le bien, d’être riches en œuvres bonnes, d’être généreux et de partager avec les autres. 19Ils s’assureront ainsi pour l’avenir un beau capital placé en lieu sûr afin d’obtenir la vraie vie.

Dernières recommandations et salutation

20O Timothée, garde intact ce qui t’a été confié. Evite les discours creux et les arguments de ce que l’on appelle à tort « la connaissance », car ils sont contraires à la foi. 21Pour s’y être attachés, plusieurs se sont égarés très loin de la foi. Que la grâce soit avec vous !