1 Timotheo 2 – NEN & SNC

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Timotheo 2:1-15

Maagizo Kuhusu Kuabudu

12:1 Efe 6:18; Flp 4:6Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: 22:2 Ezr 6:10; Rum 13:1kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu. 32:3 Mdo 20:1; 1Tim 5:4; Lk 1:42Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu, 42:4 Eze 18:23-32; 1Tim 4:10; 2Tim 2:25anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli. 52:5 Rum 10:12; Gal 3:20Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu, 62:6 1Kor 1:6; 1Tim 6:15aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao. 72:7 2Tim 1:11; Mdo 9:15; Efe 3:7-8Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe mhubiri na mtume (nasema kweli katika Kristo wala sisemi uongo), mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli.

82:8 Za 24:4; Lk 24:50Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana.

92:9 1Pet 3:3Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa, 102:10 1Tim 5:10; Mit 31:13bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

112:11 1Kor 14:34; 1Pet 3:3, 4Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote. 122:12 Efe 5:22; 1Kor 14:34; Mwa 3:16Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya. 132:13 Mwa 2:7, 22; 1Kor 11:8Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. 142:14 Mwa 3:1-6, 13; 2Kor 11:3Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji. 152:15 1Tim 1:14Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi.

Slovo na cestu

1. Timotejovi 2:1-15

Pokyny pro bohoslužbu

1Předně pamatuj na to, abyste v modlitbách prosili za své bližní a děkovali za vše, co Bůh pro ně učinil. 2-4Myslete tak zvlášť na vládnoucí osoby a na všechny, kteří rozhodují o závažných věcech, abychom žili v míru a klidu, abychom mohli bez překážek a důsledně vyznávat svou víru.

5Je totiž jenom jeden Bůh pro všechny lidi

a jednom jeden, který Boha a lidi navzájem spojuje,

člověk Ježíš Kristus.

6Ten dal svůj život za celé lidstvo.

Tuto zprávu Bůh ve vhodný čas oznámil světu.

7Já jsem byl vybrán, abych ji jako Boží posel věrně a pravdivě zvěstoval jiným národům.

8Chci tedy, aby se při bohoslužbě muži modlili k Bohu v čistotě srdce, bez hněvu a hádek. 9-10Také křesťanské ženy ať se oblékají slušně a zdobí se prostě a střízlivě; pozornost ať budí svou laskavostí a ne účesem, drahými šaty nebo šperky. 11Poučení ať přijímají tiše a pokorně.

12Ve shromážděních ať nemají rozhodující slovo ženy. Proč? 13Protože Bůh stvořil nejprve Adama, pak Evu. 14A nebyl to Adam, kdo první podlehl hříchu, ale žena, kterou je snadnější oklamat. 15Je jí však svěřena úloha matky. Musí ovšem setrvat ve víře, lásce, svatosti a kázni.