1 Timotheo 2 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Timotheo 2:1-15

Maagizo Kuhusu Kuabudu

12:1 Efe 6:18; Flp 4:6Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: 22:2 Ezr 6:10; Rum 13:1kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu. 32:3 Mdo 20:1; 1Tim 5:4; Lk 1:42Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu, 42:4 Eze 18:23-32; 1Tim 4:10; 2Tim 2:25anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli. 52:5 Rum 10:12; Gal 3:20Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu, 62:6 1Kor 1:6; 1Tim 6:15aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao. 72:7 2Tim 1:11; Mdo 9:15; Efe 3:7-8Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe mhubiri na mtume (nasema kweli katika Kristo wala sisemi uongo), mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli.

82:8 Za 24:4; Lk 24:50Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana.

92:9 1Pet 3:3Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa, 102:10 1Tim 5:10; Mit 31:13bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

112:11 1Kor 14:34; 1Pet 3:3, 4Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote. 122:12 Efe 5:22; 1Kor 14:34; Mwa 3:16Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya. 132:13 Mwa 2:7, 22; 1Kor 11:8Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. 142:14 Mwa 3:1-6, 13; 2Kor 11:3Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji. 152:15 1Tim 1:14Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi.

Knijga O Kristu

1 Timoteju 2:1-15

Upute za bogoštovlje

1Prije svega, molite se za sve ljude; prizivajte Božju milost za njih i zahvaljujte Bogu. 2Molite se i za kraljeve i za sve koji su na vlasti, da možemo živjeti u miru i spokojno, u svoj pobožnosti i svetosti. 3To je dobro i ugodno našemu Bogu Spasitelju 4jer on želi da se svi ljudi spase i da spoznaju ovu istinu: 5jedan je Bog i jedan je posrednik između Boga i ljudi, Čovjek Isus Krist, 6koji je svoj život položio kao otkupninu za sve čovječanstvo. To je poruka koju je Bog dao svijetu u pravo vrijeme. 7A ja sam—istinu govorim, ne lažem—postavljen propovjednikom i apostolom, da poučavam pogane u vjeri i istini.

8Želim da se muškarci, gdje god se okupljate, mole podižući čiste ruke prema Bogu, bez srdžbe i raspravljanja. 9A žene neka se oblače pristojno. Neka se rese skromnošću i razborom, a ne upadljivim frizurama, zlatom, biserjem ili skupocjenom odjećom. 10Žena koja se smatra vjernicom trebala bi se resiti dobrim djelima.

11Neka žene slušaju pouku i uče tiho i pokorno. 12Ne dopuštam da žena poučava niti da gospodari nad mužem. Neka šuti i sluša. 13Jer Bog je najprije stvorio Adama, pa tek onda Evu. 14I Sotona nije prevario Adama, nego Evu; ona je prva zgriješila. 15Ali Bog će ženama sačuvati život za vrijeme porođaja2:15 Ili: žena će se spasiti rađanjem djece budu li ustrajale u vjeri, ljubavi, svetosti i razboritosti.