1 Timotheo 1 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Timotheo 1:1-20

11:1 Tit 1:3; Kol 1:27Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.

21:2 Mdo 16:1; 1Kor 4:17; 1The 2:11Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani:

Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.

Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo

31:3 Mdo 18:19; Gal 1:6, 7Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo 41:4 1Tim 4:7; 2Tim 4:4; 1Tim 6:4wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani. 51:5 2Tim 2:22; 1:5Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli. 61:6 1Tim 6:4, 20Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa, 71:7 Efe 4:11; Ay 38:2wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.

81:8 Rum 7:12Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa. 91:9 Gal 3:19; 5:23Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji, 101:10 1Tim 6:3; 2Tim 1:13kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli, 111:11 1The 2:4ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.

Neema Ya Mungu Kwa Paulo

121:12 Flp 4:13Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake. 131:13 Mdo 8:3; 26:9Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu. 141:14 Rum 5:20; 2Tim 1:13Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.

151:15 1Tim 4:9; 2Tim 2:11Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote. 161:16 1Tim 1:13; Rum 2:4; Yn 3:15; Mt 25:46Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. 171:17 Ufu 15:3; Kol 1:15; Rum 11:36Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen.

181:18 1Tim 4:14; 2Tim 4:7Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri, 191:19 1Tim 6:21; Mdo 23:1; 1Tim 6:21; 2Tim 2:18ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao. 201:20 2Tim 2:17; 4:14; 1Kor 5:5Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.

Knijga O Kristu

1 Timoteju 1:1-20

Pavlovi pozdravi

1Ovo je pismo od Pavla, apostola Isusa Krista, kojega je postavio naš Spasitelj Isus Krist, naša nada.

2Timoteju, mojemu pravom sinu u vjeri.

Neka ti Bog Otac i naš Gospodin Isus Krist podare milost, milosrđe i mir.

Upozorenje na lažne učitelje

3Kao što sam te zamolio kad sam odlazio u Makedoniju, ostani u Efezu da zapovjediš onima koji šire pogrešno učenje da to prestanu činiti. 4Neka ne trate vrijeme na beskonačna nagađanja o mitovima i rodoslovljima. To više pogoduje prepirkama nego služenju Bogu u vjeri. 5Zapovijedam to zato da svi budete puni ljubavi, što dolazi iz čista srca, čiste savjesti i neprijetvorne vjere.

6Ali neki su učitelji zastranili i skrenuli u prazno naklapanje. 7Htjeli bi biti učitelji Zakona, a ne razumiju ni ono što sami govore i što uporno tvrde. 8Znamo da je Zakon dobar kad se njime služi onako kako je to Bog odredio. 9Ali Bog ga nije dao zbog ljudi koji čine što je pravedno; on je za zločince i buntovnike, za bezbožnike i grešnike, koji nisu sveti, već svjetovni, za ubojice—čak i vlastitih roditelja, 10za bludnike, homoseksualce, otmičare, varalice, lašce i sve koji čine što se protivi zdravome učenju 11slavne Radosne vijesti blaženoga Boga, koji ju je meni povjerio.

Pavlova zahvalnost za Božje milosrđe

12Silno sam zahvalan našemu Gospodinu Kristu Isusu, koji mi je dao snagu, što me smatrao dostojnim povjerenja i što me je postavio da mu služim 13iako sam prije bio hulitelj Boga, progonitelj i nasilnik. Ali Bog mi se smilovao, jer sam to učinio u neznanju i nevjeri. 14Kako je milostiv bio naš Gospodin! Posve me ispunio vjerom i ljubavlju u Kristu Isusu.

15Ova je riječ vjerodostojna i zaslužuje da se prihvati: Krist Isus došao je na svijet spasiti grešnike—a od njih sam najgori ja. 16Bog mi se smilovao da budem primjer kako Krist Isus ima strpljenja i s najgorim grešnicima. Tako će i ostali shvatiti da i oni mogu povjerovati u njega i imati vječni život. 17Neka je slava i čast Bogu u vijeke vjekova. On je vječni, nevidljivi i besmrtni Kralj; jedini Bog. Amen.

Timotejeva odgovornost

18Timoteju, sine, stavljam ti na srce zapovijed da se držiš prijašnjih proročanstava koja se odnose na tebe i da se, ravnajući se prema njima, dobro boriš. 19Čuvaj svoju vjeru u Krista i čistu savjest. Neki su ju okaljali pa su doživjeli brodolom vjere. 20Među njima su Himenej i Aleksandar. Morao sam ih predati Sotoni da nauče ne huliti Boga.