1 Samweli 8 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 8:1-22

Israeli Waomba Mfalme

18:1 Kum 16:18-19; Amu 10:4; 12:14Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli. 28:2 1Nya 6:28; Mwa 22; 19; 1Fal 19:3; Amo 5:4-5Mzaliwa wa kwanza alikuwa Yoeli, na la wa pili lilikuwa Abiya, nao wakatumika huko Beer-Sheba. 38:3 1Sam 2:12; Neh 9:29; Ay 34:27; Za 14:3; 58:3; Isa 53:6; Kut 23:8; 1Sam 12:3; Mit 17:23; Kut 23:2; Kum 16:19Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki.

48:4 Amu 11:11; 1Sam 11:3; 7:17Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama. 58:5 Kum 17:14-20; 1Sam 10:19; 12:12-13; 3:20; 12:2; Hos 13:11Wakamwambia, “Wewe umekuwa mzee, nao wanao hawaenendi katika njia zako, sasa tuteulie mfalme wa kutuongoza, kama ilivyo kwa mataifa mengine yote.”

68:6 Hos 13:10; 1Sam 12:17; 15:11; 16:1Lakini wao waliposema, “Tupe mfalme wa kutuongoza,” hili lilimchukiza Samweli, hivyo akamwomba Bwana. 78:7 1Sam 12:1; Hes 11:20; Kut 16:8; Mt 10:24-25; Lk 10:16; Yn 13:16; 1Sam 10:19Naye Bwana akamwambia: “Sikiliza yale yote watu wanakuambia. Si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao. 88:8 1Sam 12:10; 2Fal 21:22; Yer 2:17Kama vile walivyofanya tangu siku nilipowapandisha kutoka Misri mpaka siku hii ya leo; wakiniacha mimi na kutumikia miungu mingine, ndivyo wanavyokufanyia wewe. 98:9 Kum 17:14-20; 1Sam 8:11-18; 10:25Sasa wasikilize, lakini waonye kwa makini na uwafahamishe yale watakayotendewa na mfalme atakayewatawala.”

108:10 Kut 19:7Samweli akawaambia wale watu waliokuwa wakiomba wapewe mfalme maneno yote ya Bwana. 118:11 1Sam 10:25; 14:52; Mwa 41:46; Kum 17:16; 2Sam 15:1; 2Nya 1:14; 9:25; Wim 3:7; 1Nya 1:5Akasema, “Hivi ndivyo atakavyowatendea mfalme atakayewatawala. Atawachukua wana wenu na kuwafanya watumike kwa magari yake ya vita na farasi, nao watakimbia mbele ya magari yake. 128:12 Kum 1:15; 1Sam 22:7Baadhi yao atawaweka kuwa majemadari wa jeshi wa maelfu na majemadari wa jeshi wa hamsini, wengine kulima mashamba yake na kuvuna mavuno yake, pia na wengine kutengeneza silaha za vita na vifaa kwa ajili ya magari yake. 13Atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi na waokaji. 148:14 1Sam 28:6; Ay 27:9; 35:12-13; Za 18:41; 66:18; Mit 1:28; Isa 58:4; 59:2; Yer 14:12; Eze 8:18; Mik 3:4; 1Sam 10:25; 1Fal 12:4Atayachukua mashamba yenu yaliyo mazuri, mashamba ya mizabibu na mashamba yenu ya mizeituni na kuwapa watumishi wake. 158:15 Mwa 41:34; 1Sam 17:25Ataichukua sehemu ya kumi ya nafaka yenu na ya zabibu zenu na kuwapa maafisa wake na watumishi wake. 16Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike, na ngʼombe wenu walio wazuri sana na punda kwa matumizi yake mwenyewe. 17Atachukua sehemu ya kumi ya makundi yenu ya kondoo na mbuzi, na ninyi wenyewe mtakuwa watumwa wake. 188:18 1Sam 28:6; Ay 27:9; 35:12-13; Za 18:41; 66:18; Mit 1:28; Isa 58:4; 59:2; Yer 14:12; Eze 8:18; Mik 3:4; 1Sam 10:25; 1Fal 12:4Siku ile itakapowadia, mtalia kwa kutaka msaada kutokana na mfalme mliyemchagua, naye Bwana hatawajibu.”

198:19 Mit 1:24; Isa 50:2; 66:4; Yer 7:13; 8; 12; 13; 10; 44:16; Mdo 13:21Lakini watu wakakataa kumsikiliza Samweli wakasema, “Hapana! Tunataka mfalme wa kututawala. 20Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, tukiwa na mfalme wa kutuongoza na kwenda mbele yetu na kutupigania vita vyetu.”

218:21 Amu 11:11Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za Bwana. 228:22 Hos 13:11Bwana akamjibu, “Wasikilize na uwape mfalme.”

Kisha Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mmoja arudi mjini kwake.”

Bibelen på hverdagsdansk

1. Samuelsbog 8:1-22

Israels folk forlanger en konge

1Da Samuel blev gammel, satte han sine to sønner til at være dommere i Israel. 2Den ældste hed Joel, og den anden hed Abija. De havde deres dommersæde i Be’ersheba, 3men de var pengegriske og slet ikke som deres far. De tog imod bestikkelse og dømte uretfærdigt. 4Til sidst mødtes Israels ledere i Rama for at diskutere sagen med Samuel. 5„Hør her,” sagde de. „Du er blevet gammel, og dine sønner er ikke som dig. Giv os en konge, sådan som de andre folk har.” 6Samuel var oprørt over forslaget, og han gik til Herren for at spørge om råd. 7„Gør, som de siger,” svarede Herren. „Det er ikke dig, de forkaster, men mig, for de ønsker ikke længere mig som konge. 8Lige siden jeg førte dem ud af Egypten, har de forkastet mig og vendt sig til andre guder for at få hjælp, og nu behandler de dig på samme måde. 9Giv dem, hvad de beder om, men advar dem om, hvordan en konge vil behandle dem.”

10Da fortalte Samuel, hvad Herren havde sagt: 11„Siden I vil have en konge, skal I vide, hvordan konger behandler deres undersåtter. Kongen vil indkalde jeres sønner til sin hær. Nogle skal bemande hans stridsvogne, andre bliver ryttersoldater, og nogle må løbe foran hans kongelige vogne. 12Nogle af dem bliver anførere i hæren, mens andre bliver udskrevet til tvangsarbejde. Nogle bliver tvunget til at pløje og høste hans marker, andre til at lave våben og udstyr til de kongelige vogne. 13Kongen vil også tage jeres døtre og tvinge dem til at lave mad, bage brød og tilberede de salver, han smører sig ind i. 14Han vil tage jeres bedste marker og vingårde og olivenplantager og give dem til sine venner. 15Han vil tage en tiendedel af jeres høst og fordele den mellem folkene i sin inderkreds. 16Han vil gøre krav på jeres slaver og på jeres bedste okser og æsler til eget brug. 17Han vil forlange at få udleveret en tiendedel af jeres fåreflokke, og I kan ikke sætte jer op imod ham. 18Når I så engang beder om at bliver fri for den konge, I selv har forlangt at få, da er det for sent. Herren vil ikke høre jeres bøn.”

19Men folket nægtede at høre på Samuels advarsel. „Det er lige meget,” svarede de. „Vi vil have en konge. 20Vi vil ikke stå tilbage for vores nabolande. Vores konge skal regere landet og være vores anfører i krig.”

21Så fortalte Samuel Herren, hvad folket havde sagt, 22og Herren svarede: „Så gør, som de siger, og giv dem en konge.” Da gik Samuel med til ledernes forslag og sendte dem hjem.