1 Samweli 31 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 31:1-13

Sauli Ajiua

(1 Nyakati 10:1-12)

131:1 1Sam 28:4; 1Nya 10:1-12; 1Sam 29:1; 1Nya 8:33Basi Wafilisti wakapigana na Israeli. Waisraeli wakawakimbia, na wengi wakauawa katika Mlima Gilboa. 231:2 1Sam 28:19; 18:1; 14:49; 1Nya 8:33Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua. 331:3 1Sam 28:4; 2Sam 1:6Mapigano yakawa makali sana kumzunguka Sauli, nao wapiga upinde wakampata na kumjeruhi vibaya.

431:4 Amu 9:54; Mwa 34:14; 1Sam 14:6; 2Sam 1:6, 10Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Futa upanga wako unichome nao, la sivyo hawa watu wasiotahiriwa watakuja wanichome na kunidhalilisha.”

Lakini mbeba silaha wake akaogopa sana wala hakuweza kufanya hivyo. Kwa hiyo Sauli akachukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia. 5Mchukua silaha wake alipoona Sauli amekufa, naye pia akaangukia upanga wake akafa pamoja naye. 631:6 1Sam 26:10; 12:25; 1Nya 10:6; Rum 6:23Basi Sauli, wanawe watatu, mbeba silaha wake na watu wake wote wakafa pamoja siku ile ile.

7Waisraeli waliokuwa kandokando ya bonde na wale waliokuwa ngʼambo ya Yordani walipoona kuwa jeshi la Waisraeli limekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaacha miji yao na kukimbia. Nao Wafilisti wakaja na kukaa humo.

831:8 2Sam 1:20Kesho yake Wafilisti walipokuja kuwavua maiti silaha, walimkuta Sauli na wanawe watatu wameanguka katika Mlima Gilboa. 931:9 1Sam 1:20; 4:4; Amu 16:24Wakamkata Sauli kichwa na kumvua silaha zake, nao wakatuma wajumbe katika nchi yote ya Wafilisti kutangaza habari katika hekalu la sanamu zao na miongoni mwa watu wao. 1031:10 Amu 2:12-13; 1Sam 7:3; Yos 17:11; 2Sam 21:12; 1Sam 21:9; Amu 1:27Wakaweka silaha zake katika hekalu la Maashtorethi, na kukifunga kiwiliwili chake katika ukuta wa Beth-Shani.

1131:11 Amu 21:8; 1Sam 11:1Watu wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yale Wafilisti walichomfanyia Sauli, 1231:12 Za 76:5; Mwa 38:24; Amo 6:10; 2Nya 16:14; 1Sam 11:1-11; 2Sam 2:4-7; Yer 34:5; Amo 6:10mashujaa wao wote wakaenda usiku hadi Beth-Shani. Wakauchukua mwili wa Sauli na miili ya wanawe kutoka kwenye ukuta wa Beth-Shani na kurudi hadi Yabeshi, mahali ambapo waliiteketeza kwa moto. 1331:13 2Sam 21:12-14; Mwa 21:33; 2Sam 3:35; 12:19-23; 1:12; Mwa 50:10; 1Sam 22:6; Mwa 50:10; Ay 2:13Kisha wakachukua mifupa yao na kuizika chini ya mti wa mkwaju huko Yabeshi, nao wakafunga siku saba.

New Russian Translation

1 Царств 31:1-13

Гибель Саула и его сыновей

(1 Пар. 10:1-12)

1Филистимляне воевали с Израилем, и израильтяне бежали от них и падали сраженными на горе Гильбоа. 2Филистимляне нагнали Саула и его сыновей и убили его сыновей Ионафана, Авинадава и Малхи-Шуа. 3Вокруг Саула разгорелась жестокая битва. Лучники нашли его и тяжело ранили. 4Саул сказал своему оруженосцу:

– Обнажи меч и заколи меня, иначе эти необрезанные придут, заколят меня и станут глумиться надо мной.

Но его оруженосец не решился сделать это, потому что очень испугался. Тогда Саул взял свой собственный меч и бросился на него. 5Когда оруженосец увидел, что Саул мертв, он тоже бросился на свой меч и умер вместе с ним. 6Так погибли Саул, три его сына и оруженосец, и все его люди погибли в тот же день.

7Увидев, что израильское войско разбежалось, а Саул и его сыновья погибли, израильтяне, которые жили на другой стороне долины и за Иорданом, оставили свои города и тоже бежали. А филистимляне пришли и заняли их.

8На следующий день, когда филистимляне пришли грабить мертвых, они нашли Саула и трех его сыновей, павших на горе Гильбоа. 9Они отсекли ему голову, сняли с него оружие и послали вестников по всей филистимской земле, чтобы возвестить об этом в капище своих идолов и народу. 10Они положили его оружие в храме Астарты и повесили его тело на стене Бет-Шеана.

11Когда жители Иавеша Галаадского услышали о том, что филистимляне сделали с Саулом, 12то все их храбрые воины отправились в путь, шли всю ночь и взяли тела Саула и его сыновей со стены Бет-Шеана. Они пришли в Иавеш и сожгли их там. 13Потом они взяли их кости, похоронили под тамариском в Иавеше и постились семь дней.