1 Samweli 3 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 3:1-21

Bwana Amwita Samweli

13:1 1Sam 2:11; Za 74:9; Mao 2:9; Eze 7:26; Amo 8:11Kijana Samweli alihudumu mbele za Bwana chini ya Eli. Katika siku zile neno la Mungu lilikuwa adimu, hapakuwepo na maono mengi.

23:2 1Sam 4:15; Mwa 27:1Usiku mmoja Eli, ambaye macho yake yalikuwa yamefifia sana kiasi kwamba aliona kwa shida sana, alikuwa amelala mahali pake pa kawaida. 33:3 Kut 25:31-38; Law 24:1-4; 1Sam 1:9; Kum 10:1-5; 1Fal 6:19; 8:1Taa ya Mungu bado ilikuwa haijazimika, na Samweli alikuwa amelala Hekaluni3:3 Hekaluni maana yake ndani ya Maskani ya Bwana. mwa Bwana, ambapo Sanduku la Mungu lilikuwako. 43:4 Mwa 22:1; Kut 3:4Kisha Bwana akamwita Samweli.

Samweli akajibu, “Mimi hapa.” 5Naye akakimbia kwa Eli na kumwambia, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.”

Lakini Eli akasema, “Sikukuita; rudi ukalale.” Hivyo akaenda kulala.

6Bwana akaita tena, “Samweli!” Naye Samweli akaamka, kwenda kwa Eli na kusema, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.”

Eli akasema, “Mwanangu, sikukuita, rudi ukalale.”

73:7 1Sam 2:12; Hes 12:6; Mdo 19:2; Amo 3:7Wakati huu Samweli alikuwa bado hajamjua Bwana. Neno la Bwana lilikuwa bado halijafunuliwa kwake.

8Bwana akamwita Samweli mara ya tatu, naye Samweli akaamka kwenda kwa Eli na kusema, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.”

Ndipo Eli akatambua kuwa Bwana alikuwa akimwita kijana. 9Hivyo Eli akamwambia Samweli, “Nenda ukalale, na kama akikuita, sema, ‘Nena Bwana, kwa kuwa mtumishi wako anasikiliza.’ ” Hivyo Samweli akaenda na kulala mahali pake.

103:10 Kut 3:4; Za 85:8; Mdo 9:6Bwana akaja akasimama hapo, akiita kama mara zile nyingine, “Samweli! Samweli!”

Kisha Samweli akasema, “Nena Bwana, kwa kuwa mtumishi wako anasikiliza.”

113:11 2Fal 21:12; Ay 15:21; Yer 19:3Naye Bwana akamwambia Samweli: “Tazama, nipo karibu kufanya kitu katika Israeli ambacho kitafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia yawashe. 123:12 1Sam 2:27-36Wakati huo nitatimiza dhidi ya Eli kila kitu nilichonena dhidi ya jamaa yake, kuanzia mwanzo mpaka mwisho. 133:13 1Fal 1:6; 1Sam 2:12Kwa kuwa nilimwambia kwamba ningehukumu jamaa yake milele kwa sababu ya dhambi aliyoijua, wanawe kumkufuru Mungu, naye akashindwa kuwazuia. 143:14 1Sam 2:25; Law 15:30-31; Isa 22:14; Hes 12:6; Yer 7:16; Ebr 10:26-31Kwa hiyo, nikaapa kuhusu nyumba ya Eli, ‘Hatia ya nyumba ya Eli kamwe haitaweza kufidiwa kwa dhabihu au sadaka.’ ”

153:15 1Sam 3:2Samweli akalala mpaka asubuhi, kisha akafungua milango ya nyumba ya Bwana. Aliogopa kumwambia Eli yale maono, 16lakini Eli akamwita na kumwambia, “Samweli mwanangu.”

Samweli akamjibu, “Mimi hapa.”

173:17 1Fal 22:14; Yer 23:28; 38:14; 42:4; Rut 1:17; 1:17; Mt 26:63Eli akamuuliza, “Ni nini alichokuambia? Usinifiche. Bwana na ashughulike nawe, tena kwa ukali, kama utanificha chochote alichokuambia.” 183:18 Amu 10:15; 2:16; Mwa 18:25; 1Sam 16:10-12; Isa 39:8; 1Pet 5:6Kwa hiyo Samweli akamwambia kila kitu, bila kumficha chochote. Ndipo Eli akasema, “Yeye ni Bwana; na afanye lile lililo jema machoni pake!”

193:19 Mwa 21:22; Hes 14:43; Amu 13:24; 1Sam 9:6; Mwa 39:2Bwana alikuwa pamoja na Samweli alipokuwa akikua, na hakuacha hata moja ya maneno yake lianguke chini. 203:20 Amu 20:1; Kum 18:22; Eze 33:33; Amu 20:1Nao Israeli wote kuanzia Dani hadi Beer-Sheba wakatambua kuwa Samweli amethibitishwa kuwa nabii wa Bwana. 213:21 Mwa 12:7; Hes 12:6; Amo 3:7Bwana akaendelea kutokea huko Shilo, na huko kujidhihirisha kwa Samweli kwa njia ya neno lake.

Bibelen på hverdagsdansk

1. Samuelsbog 3:1-21

Herren taler til Samuel og gør ham til profet

1-2På den tid var et budskab fra Herren en sjældenhed, og et syn var noget ganske usædvanligt. Samuel var endnu ganske ung og gjorde tjeneste i helligdommen under opsyn af Eli, som nu var næsten helt blind. En aften skete der noget. Eli havde lagt sig til at sove på sin sædvanlige plads. 3Lamperne brændte for Guds ansigt inde i helligdommen, hvor Samuel havde lagt sig til hvile, og hvor pagtens ark også stod. 4Pludselig kaldte Herren: „Samuel! Samuel!” „Ja,” svarede Samuel 5og løb ind til Eli: „Du kaldte? Her er jeg!” Men Eli svarede: „Nej, jeg kaldte ikke på dig. Gå du bare ind og læg dig igen.” Det gjorde Samuel så. 6Men Herren kaldte igen: „Samuel! Samuel!” Atter sprang Samuel op og løb ind til Eli: „Du kaldte! Hvad er der?” „Nej,” svarede Eli, „jeg kaldte ikke. Gå nu ind og læg dig.” 7Samuel vidste ikke, at det var Herren, som kaldte, for han havde aldrig før oplevet, at Herren talte til ham. 8Så da Herren kaldte for tredje gang, sprang Samuel igen op, løb ind til Eli og sagde: „Du kaldte! Hvad kan jeg hjælpe dig med?” Da gik det op for Eli, at det var Herren, som havde kaldt på drengen; 9og han sagde til Samuel: „Gå ind og læg dig. Hvis nogen kalder på dig igen, skal du svare: ‚Ja, Herre, din tjener lytter.’ ” Så gik Samuel tilbage og lagde sig igen.

10Da kom Herren og kaldte på ham som før: „Samuel! Samuel!” Denne gang svarede Samuel: „Ja, Herre, din tjener lytter.”

11„Jeg vil lade noget ske i Israel, som vil chokere enhver, der hører om det,” sagde Herren. 12„Da vil alt det, jeg har forudsagt om Elis slægt, gå i opfyldelse. 13Sig til ham, at hans slægt er dømt for evigt, for selv om han vidste, at hans sønner ringeagtede mig, så gjorde han intet for at standse dem. 14Derfor har jeg svoret, at Elis og hans sønners synd aldrig vil blive tilgivet ved nogen form for offer.”

15Samuel blev liggende til det blev morgen. Så åbnede han døren til helligdommen og gik udenfor; for han var bange for at fortælle Eli, hvad Herren havde sagt. 16Imidlertid kaldte Eli på ham: „Samuel, min dreng!” „Ja,” svarede Samuel. 17„Hvad sagde Herren?” spurgte Eli. „Fortæl mig det hele. Må Gud straffe dig, hvis du skjuler noget for mig!” 18Så fortalte Samuel ham alt, hvad Herren havde sagt. „Hvem kan sætte sig op mod Herren?” sukkede Eli. „Han må gøre, hvad han finder bedst.”

19Herren velsignede Samuel allerede under hans opvækst og opfyldte alle de profetiske ord, han gav ham, 20så hele Israel fra Dan i nord til Be’ersheba i syd var klar over, at Samuel var en sand profet. 21Herren fortsatte med at åbenbare sig i Shilo, og Samuel gav Guds åbenbaring videre.