1 Samweli 28 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 28:1-25

Sauli Na Mchawi Wa Endori

128:1 1Sam 29:1-2Siku zile Wafilisti wakakusanya majeshi yao ili kupigana vita dhidi ya Israeli. Akishi akamwambia Daudi, “Lazima ujue kuwa wewe pamoja na watu wako mtafuatana nami kwenda vitani.”

228:2 Rum 12:9Daudi akasema, “Ndipo wewe mwenyewe utakapojionea jambo ambalo mtumishi wako anaweza kufanya.”

Akishi akamjibu Daudi, “Vyema sana, mimi nitakufanya uwe mlinzi wangu daima.”

328:3 1Sam 25:1; 7:17; Kut 22:18; Isa 57:1, 2; Mdo 16:16, 19; Law 19:31; 20:27; Kum 18:10Wakati huo Samweli alikuwa amekufa, nao Israeli wote walikuwa wamemwombolezea na kumzika kwenye mji wake mwenyewe huko Rama. Sauli alikuwa amewafukuza waaguzi na wachawi.

428:4 Yos 19:18; 1Sam 31:1-3; 2Sam 1:6, 21; 21:12; Law 19:31; Kum 18:10-11; 2Fal 4:8Wafilisti wakakusanyika na kupiga kambi yao huko Shunemu, naye Sauli akawakusanya Waisraeli wote na kupiga kambi yao huko Gilboa. 528:5 Kut 19:16; Ay 15:21; 18:11; Za 48:5, 6; 73:19; Isa 57:20; Dan 5:6Sauli alipoona jeshi la Wafilisti, akaogopa; moyo wake ukajawa na hofu kuu. 628:6 1Sam 8:18; 14:37; Kum 13:3; Kut 28:30; Law 8:8; Eze 20:3; Amo 8:11; Mik 3:7; Hes 12:6; Mit 1:28; 1Nya 10:13-14Ndipo Sauli akauliza ushauri kwa Bwana, lakini Bwana hakumjibu kwa ndoto, wala kwa Urimu,28:6 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha. wala kwa njia ya manabii. 728:7 1Nya 10:13; Mdo 16:16; Yos 17:11; Za 83:10Basi Sauli akawaambia watumishi wake, “Nitafutieni mwanamke mwaguzi ili nimwendee, nipate kuuliza kwake.”

Watumishi wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja huko Endori.”

828:8 1Fal 22:30; 2Nya 18:29; 35:22; 2Fal 1:3; Isa 8:19; 1Nya 10:13Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke. Akamwambia, “Nibashirie kwa uaguzi, unipandishie yule nitakayekutajia.”

928:9 Ay 18:10; Za 31:4; 69:22; Isa 8:14Huyo mwanamke akamwambia, “Wewe unajua lile alilofanya Mfalme Sauli. Amewakatilia mbali waaguzi, wapiga ramli wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea maisha yangu ili wapate kuniua?”

10Sauli akamwapia huyo mwanamke kwa Jina la Bwana, akasema, “Kwa hakika kama Bwana aishivyo, hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.”

11Ndipo yule mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie nani?”

Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.”

1228:12 Mwa 27:36; 1Fal 14:6; Isa 57:2; Ufu 14:13Yule mwanamke alipomwona Samweli, alipiga yowe kwa sauti kuu, naye akamuuliza Sauli, “Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.”

1328:13 Law 19:31; 2Nya 33:6Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini?”

Yule mwanamke akasema, “Naona mungu unapanda kutoka ardhini.”

1428:14 1Sam 15:27; 24:8; 2The 2:10, 11Sauli akamuuliza, “Ni mfano wa nini?”

Yule mwanamke akasema, “Ni mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.”

Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli akasujudu kifudifudi, uso wake hadi ardhini.

1528:15 Amu 16:20; Kum 13:3; 1Sam 18:12Samweli akamuuliza Sauli, “Kwa nini unanitaabisha kwa kunipandisha juu?”

Sauli akasema, “Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili unijulishe la kufanya.”

16Samweli akamuuliza, “Kwa nini uniulize mimi, maadamu Bwana amekuacha na kuwa adui yako? 1728:17 1Sam 15:28Bwana ametenda lile alilotangulia kusema kupitia kwangu. Bwana ameurarua ufalme kutoka mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani zako, yaani Daudi. 1828:18 1Sam 15:20; Kum 9:8; 1Sam 15:3; Mwa 14:7; 1Sam 14:48Kwa sababu wewe hukumtii Bwana, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali juu ya Waamaleki, Bwana amekutendea mambo haya leo. 1928:19 1Sam 31:2; 1Nya 8:33Zaidi ya hayo, Bwana atawatia Israeli pamoja na wewe mikononi mwa Wafilisti, na kesho wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. Bwana pia atalitia jeshi la Israeli mikononi mwa Wafilisti.”

2028:20 1Sam 25:37; Za 50:21Papo hapo Sauli akaanguka chini, akajinyoosha, akiwa amejawa na hofu kwa ajili ya maneno ya Samweli. Nguvu zake zikamwishia kwa maana alikuwa hajala chochote mchana ule wote na usiku.

2128:21 Amu 9:17; 12:3; Ay 13:14; 1Sam 19:5Yule mwanamke alipomwendea Sauli na kumwona amepatwa na hofu, akamwambia, “Tazama, mimi mtumishi wako mwanamke nimekutii. Nimeweka maisha yangu hatarini kwa kufanya kile ulichoniagiza nifanye. 22Sasa tafadhali isikilize sauti ya mtumishi wako, uniruhusu nikupatie chakula kidogo ule ili uwe na nguvu za kurejea ulikotoka.”

2328:23 1Fal 21:4; 2Fal 5:13; Mwa 4:6; Mit 25:20, 21Akakataa, akisema, “Mimi sitaki kula.”

Lakini watumishi wake wakaungana na yule mwanamke wakamsihi ale, naye akakubali. Basi akainuka hapo chini, akaketi juu ya kitanda.

2428:24 Mwa 18:7, 8; Lk 15:23-30Yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenona hapo nyumbani, akamchinja mara moja. Akachukua unga, akaukanda, akatengeneza mkate usio chachu. 25Ndipo akamwandalia meza Sauli pamoja na watu wake, nao wakala. Usiku ule ule wakainuka na kwenda zao.

Bibelen på hverdagsdansk

1. Samuelsbog 28:1-25

Filistrene forbereder sig til kamp mod Israel

1På den tid overvejede filistrene igen at gå til angreb på Israel. „I skal følge med os i kamp mod Israel,” sagde kong Akish til David og hans mænd. 2„Det er i orden!” svarede David. „Du vil få at se, hvad vi er værd.” „Det kan jeg lide!” udbrød Akish. „Jeg udnævner dig hermed til min personlige livvagt.”

Saul besøger en åndemaner

3Samuel var jo død, og hele Israel havde holdt sørgeklage over ham, dengang de begravede ham i hans hjemby Rama. I Samuels tid havde Saul følt sig nødsaget til at udrydde samtlige spåmænd og dødemanere i landet.

4Da filistrenes hær var nået frem til Shunem i Jizre’eldalen, lå Saul i lejr med hele Israels hær på Gilboahøjen med udsigt over dalen. 5Da Saul så filistrenes enorme hær, blev han skrækslagen og havde mest lyst til at flygte. 6Han prøvede at spørge Herren, om han skulle gå i krig eller ej, men Herren svarede ham ikke et ord, hverken gennem drømme eller ved det hellige lod, Urim, eller ved et budskab fra profeterne. 7Derfor gav Saul sine folk ordre til at finde en dødemaner, han kunne spørge til råds. Det lykkedes dem at finde en kvinde i En-Dor,28,7 En-Dor ligger ca. 10 km nord for Gilboahøjen, hvor Saul opholdte sig. der kunne kontakte de døde. 8Så forklædte Saul sig, tog to af sine mænd med, og i ly af mørket opsøgte han kvinden.

„Jeg må i kontakt med en af de døde,” bad Saul. „Kan du mane hans ånd frem?”

9„Er du ude på at få mig slået ihjel?” spurgte kvinden. „Ved du ikke, at Saul har udryddet landets spåmænd og dødemanere?” 10Men Saul svarede: „Så sandt Herren lever, sværger jeg på, at der ikke vil ske dig noget.”

11Så spurgte hun: „Hvem er det, du ønsker kontakt med?”

„Samuel,” svarede Saul.

12Kvinden så nu Samuel, der viste sig for hende, og hun skreg op med det samme: „Du har bedraget mig! Du er jo Saul!”

13„Vær ikke bange. Der skal ikke ske dig noget,” svarede kongen. „Men sig mig, hvem det er, du ser.”

„Jeg ser en ånd komme op af jorden.”

14„Hvordan ser den ud?”

„Det er en gammel mand indhyllet i en kappe.”

Da forstod Saul, at det var Samuel, og han bøjede sig ærbødigt for ham.

15„Hvorfor har du forstyrret mig og manet mig frem?” spurgte Samuel.

„Fordi jeg er i knibe,” svarede Saul. „Filistrene er klar til at angribe os, men Gud har forladt mig, og han svarer mig hverken gennem drømme eller ved profeterne. Derfor henvender jeg mig direkte til dig for at få at vide, hvad jeg skal gøre.”

16Men Samuel svarede: „Hvorfor spørger du mig, når Herren har forladt dig og er blevet din modstander? 17Det er jo hans eget ord, som jeg selv har profeteret for dig, der nu går i opfyldelse: Han vil rive kongedømmet fra dig og give det til din rival, David. 18Det er konsekvensen af, at du ikke adlød Herrens ord, dengang han brugte dig som sit redskab til at straffe amalekitterne. 19Og hvad værre er: i morgen skal hele Israels hær prisgives og hugges ned af filistrene, og du selv og dine sønner skal ende her hos mig.”

20Da kastede Saul sig fladt ned på jorden, lammet af frygt over Samuels ord. Han var desuden udmattet af sult, for han havde ikke spist i næsten et døgn. 21Da kvinden så, hvor fortvivlet han var, sagde hun: „Herre, jeg satte livet på spil ved at føje dig. 22Nu beder jeg dig om at føje mig og lade mig give dig noget at spise, så du kan komme til kræfter inden hjemturen.”

23Saul vægrede sig og sagde: „Jeg kan ikke spise noget.” Men da både kvinden og hans egne mænd ihærdigt prøvede at overtale ham, gav han efter, rejste sig fra gulvet og satte sig op på sengen. 24Kvinden skyndte sig nu at slagte sin fedekalv. Hun æltede også mel og bagte usyrnet brød. 25Så serverede hun maden for kongen og hans mænd, og de spiste, før de samme nat drog af sted derfra.