1 Samweli 22 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 22:1-23

Daudi Akiwa Adulamu Na Mispa

122:1 Mwa 38:1Daudi akaondoka Gathi na kukimbilia kwenye pango la Adulamu. Ndugu zake na watu wa nyumba ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko. 222:2 1Sam 23:13; 25:13; 2Sam 15:20; Amu 11:3Wale wote waliokuwa katika dhiki au waliokuwa na madeni au wale ambao hawakuridhika wakamkusanyikia Daudi, naye akawa kiongozi wao. Watu wapatao 400 walikuwa pamoja naye.

322:3 Mwa 47:11; Kut 20:12; Law 19:3; Kum 5:16; Mit 10:1; 23:24; Mt 19:19; Yn 19:25-27; Efe 6:2; 1Tim 5:4Kutoka huko Daudi akaenda Mispa huko Moabu na kumwambia mfalme wa Moabu, “Naomba uwaruhusu baba yangu na mama yangu waje kukaa nawe mpaka nijue nini Mungu atakachonifanyia.” 422:4 Mwa 19:37Hivyo akawaacha wazazi wake wakae na mfalme wa Moabu, nao wakakaa naye muda wote ambao Daudi alikuwa ngomeni.

522:5 2Sam 24:11; 1Nya 21:9; 29:29; 2Nya 29:25; 23:14Ndipo nabii Gadi akamwambia Daudi, “Usikae ngomeni. Nenda katika nchi ya Yuda.” Hivyo Daudi akaondoka na kwenda katika msitu wa Herethi.

Sauli Awaua Makuhani Wa Nobu

622:6 Amu 4:5; Mwa 21:23Basi Sauli akasikia kwamba Daudi na watu wake wameonekana. Sauli akiwa na mkuki mkononi, alikuwa ameketi chini ya mti wa mkwaju kwenye kilima huko Gibea, maafisa wake wote wakiwa wamesimama kumzunguka. 722:7 Kum 1:15; 1Sam 8:14Sauli akawaambia, “Sikilizeni enyi watu wa Benyamini! Je, mwana wa Yese atawapa ninyi nyote mashamba na mashamba ya mizabibu? Je, atawafanya ninyi nyote majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia? 822:8 1Sam 18:3; 20:16; 23:21Je, ndiyo sababu ninyi mkapanga hila mbaya dhidi yangu? Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameniambia ni lini mwanangu alifanya agano na mwana wa Yese. Hapana hata mmoja wenu anayejishughulisha nami wala anayeniambia kwamba mwanangu amechochea mtumishi wangu kunivizia, kama afanyavyo leo.”

922:9 1Sam 21:7; 14:3; 21:1; Za 52Lakini Doegi Mwedomu, ambaye alikuwa akisimama na maafisa wa Sauli, akasema, “Nilimwona mwana wa Yese akija kwa Ahimeleki mwana wa Ahitubu huko Nobu. 1022:10 Mwa 25:22; 1Sam 23:2; 21:6; 17:51; Hes 27:21; 27:21Ahimeleki akamuuliza Bwana kwa ajili yake; pia akampa vyakula na ule upanga wa Goliathi Mfilisti.”

11Kisha mfalme akatuma watu wamwite kuhani Ahimeleki mwana wa Ahitubu, na jamaa yote ya baba yake, waliokuwa makuhani huko Nobu, nao wote wakaja kwa mfalme. 12Sauli akasema, “Sikiliza sasa, mwana wa Ahitubu.”

Akajibu, “Naam, bwana wangu.”

13Sauli akamwambia, “Kwa nini umepanga shauri baya dhidi yangu, wewe na mwana wa Yese, ukampa vyakula na upanga, tena hukumuuliza Mungu kwa ajili yake, na kwa sababu hiyo ameasi dhidi yangu na kunivizia, kama afanyavyo leo?”

1422:14 1Sam 19:4; 19:5; 20:32; 24:11; Mit 31:9Ahimeleki akamjibu mfalme, “Ni nani miongoni mwa watumishi wako wote aliye mwaminifu kama Daudi, mkwewe mfalme, kiongozi wa walinzi wako na anayeheshimika sana katika watu wa nyumbani mwako? 15Je, siku hiyo ilikuwa ndiyo ya kwanza kumwomba Mungu kwa ajili yake? La hasha! Mfalme na usiwashutumu watumishi wako wala yeyote wa jamaa ya baba yake, kwa kuwa mtumishi wako hafahamu lolote kabisa kuhusu jambo hili lote.”

1622:16 1Sam 2:31Lakini mfalme akasema, “Ahimeleki, hakika utakufa, wewe na jamaa yote ya baba yako.”

1722:17 Kut 1:17; Mdo 4:19; 5:29Ndipo mfalme akawaamuru walinzi wake waliokuwa kando yake: “Geukeni na kuwaua makuhani wa Bwana, kwa sababu nao pia wamejiunga na Daudi. Walijua kuwa alikuwa anakimbia, wala hawakuniambia.”

Lakini maafisa wa mfalme hawakuwa radhi kuinua mkono kuwaua makuhani wa Bwana.

1822:18 1Sam 4:17; 2:18; 2:31; Za 12:5; Mit 28:15; Kut 28:40Kisha mfalme akamwagiza Doegi, “Wewe geuka ukawaue makuhani.” Hivyo basi Doegi Mwedomu, akageuka na kuwaua. Siku ile aliwaua watu themanini na watano wavaao visibau vya kitani. 1922:19 1Sam 15:3; 21:1; Neh 11:32; Isa 10:32; Ay 20:19, 20; Za 10:1-18; Isa 26:13Pia akaupiga Nobu kwa upanga, mji wa makuhani, wakiwemo wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanyonyao, ngʼombe wake, punda na kondoo.

2022:20 1Sam 23:6; 30:7; 2Sam 15:24; 20:25; 1Fal 1:7; 2:22, 26-27; 2Fal 4:4; 1Nya 15:11; 27:34; 1Sam 14:3; 2:32Lakini Abiathari, mwana wa Ahimeleki, mwana wa Ahitubu, akatoroka, akakimbia na kujiunga na Daudi. 21Akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa Bwana. 2222:22 1Sam 21:7Kisha Daudi akamwambia Abiathari: “Siku ile, wakati Doegi Mwedomu alipokuwa pale, nilijua atahakikisha amemwambia Sauli. Mimi ninawajibika kwa vifo vya jamaa ya baba yako yote. 2322:23 1Sam 20:1Kaa pamoja nami; usiogope. Mtu anayeutafuta uhai wako anautafuta uhai wangu pia. Ukiwa pamoja nami utakuwa salama.”

Thai New Contemporary Bible

1ซามูเอล 22:1-23

ดาวิดที่อดุลลัมและมิสปาห์

1ดาวิดจึงออกจากเมืองกัทแล้วหนีไปยังถ้ำอดุลลัม เมื่อพวกพี่ชายและคนในครัวเรือนของบิดาได้ข่าวก็มาพบเขาที่นั่น 2ทุกคนที่มีปัญหาทุกข์ร้อนต่างๆ มีหนี้สิน หรือมีเรื่องไม่พอใจก็มาเข้าเป็นพวกกับดาวิด และเขากลายเป็นหัวหน้าของคนเหล่านี้ มีคนมาอยู่กับดาวิดประมาณสี่ร้อยคน

3จากที่นั่นดาวิดไปยังมิสปาห์ในโมอับและทูลกษัตริย์แห่งโมอับว่า “ขอให้บิดามารดาของข้าพระบาทมาพึ่งพระบารมี จนกว่าจะทราบว่าพระเจ้าจะทรงกระทำประการใดเพื่อข้าพระบาทต่อไป” 4ดังนั้นดาวิดจึงให้บิดามารดามาอาศัยอยู่กับกษัตริย์โมอับตลอดเวลาที่เขาอยู่ในที่มั่น

5แต่ผู้เผยพระวจนะกาดมาบอกดาวิดว่า “อย่าพักอาศัยในที่มั่นนี้ จงกลับไปยังดินแดนยูดาห์” ดาวิดจึงไปยังป่าเฮเรท

ซาอูลประหารเหล่าปุโรหิตของเมืองโนบ

6ฝ่ายซาอูลทรงได้ข่าวว่ามีผู้พบดาวิดกับพรรคพวก ซาอูลประทับอยู่ใต้ต้นสนหมอกบนเนินเขาที่กิเบอาห์ ทรงถือหอกอยู่ รายรอบด้วยเหล่าทหาร 7ซาอูลตรัสกับพวกเขาว่า “ฟังนะ ชนเบนยามินทั้งหลาย! ลูกเจสซีหรือจะให้ที่ดินและสวนองุ่นแก่เจ้า? เขาจะให้เจ้าเป็นแม่ทัพนายกองหรือ? 8นี่หรือเป็นเหตุให้พวกเจ้าสมคบกันเป็นศัตรูกับเรา? ไม่มีใครมาบอกเราเมื่อลูกชายของเราไปทำพันธสัญญากับลูกเจสซี ไม่มีใครในพวกเจ้าที่ห่วงใยเรา และบอกเราว่าลูกชายเราเองยุยงคนรับใช้ของเราให้มาดักเล่นงานเราอย่างทุกวันนี้”

9แต่โดเอกชาวเอโดมซึ่งยืนอยู่กับข้าราชบริพารของซาอูลทูลว่า “ข้าพระบาทเห็นบุตรเจสซีมาพบอาหิเมเลคบุตรอาหิทูบที่เมืองโนบ 10อาหิเมเลคทูลถามองค์พระผู้เป็นเจ้าให้กับเขา พร้อมทั้งให้เสบียงและดาบของโกลิอัทชาวฟีลิสเตียด้วย”

11ซาอูลจึงตรัสสั่งให้ตามตัวปุโรหิตอาหิเมเลคบุตรอาหิทูบและทั้งครอบครัวของบิดาของเขาซึ่งเป็นปุโรหิตที่เมืองโนบมาเข้าเฝ้า 12ซาอูลตรัสกับอาหิเมเลคว่า “ฟังเรานะบุตรอาหิทูบ”

อาหิเมเลคทูลว่า “พระเจ้าข้า”

13ซาอูลตรัสว่า “ทำไมเจ้ากับบุตรเจสซีจึงสมคบกันต่อต้านเรา? ทำไมเจ้าถึงให้อาหารให้ดาบและทูลถามพระเจ้าให้เขา เขาจึงได้กบฏและมาซุ่มดักโจมตีเราอย่างทุกวันนี้?”

14อาหิเมเลคทูลตอบกษัตริย์ว่า “มีใครบ้างหรือในบรรดาข้าราชบริพารที่ซื่อสัตย์ต่อฝ่าพระบาทเหมือนดาวิดราชบุตรเขย ผู้บังคับกองทหารรักษาพระองค์และเป็นที่เคารพนับถืออย่างสูงในราชวงศ์? 15นี่เป็นครั้งแรกหรือที่ข้าพระบาททูลถามพระเจ้าให้กับเขา? ไม่ใช่เช่นนั้นแน่! ขอฝ่าพระบาทอย่าได้ทรงกล่าวโทษข้าพระบาทกับครอบครัวของบิดาเช่นนี้เลย เพราะข้าพระบาทไม่รู้อะไรเลยเกี่ยวกับเรื่องทั้งหมดนี้”

16แต่กษัตริย์ตรัสว่า “อาหิเมเลค เจ้าและทั้งครอบครัวของบิดาเจ้าจะต้องตาย”

17แล้วกษัตริย์ทรงบัญชาองครักษ์ที่อยู่ข้างๆ พระองค์ว่า “จงฆ่าปุโรหิตขององค์พระผู้เป็นเจ้าเพราะพวกเขาเข้าข้างดาวิด พวกเขารู้ว่าดาวิดหนีเราไป แต่ไม่ยอมบอกเรา”

แต่เหล่าข้าราชบริพารไม่กล้าทำอันตรายปุโรหิตขององค์พระผู้เป็นเจ้า

18กษัตริย์จึงตรัสสั่งโดเอกว่า “เจ้าจงลงมือจัดการพวกปุโรหิต” โดเอกก็หันไปฆ่าปุโรหิต ในวันนั้นเขาฆ่าไป 85 คนที่สวมเอโฟดลินิน 19จากนั้นโดเอกก็ไปฆ่าคนทั่วเมืองโนบซึ่งเป็นเมืองของปุโรหิต ไม่ว่าผู้ชาย ผู้หญิง เด็ก ทารก รวมทั้งวัว ลา และแกะ

20แต่อาบียาธาร์บุตรคนหนึ่งของอาหิเมเลคบุตรอาหิทูบรอดไปได้ เขาหนีไปร่วมกับดาวิด 21อาบียาธาร์เล่าให้ดาวิดฟังว่า ซาอูลฆ่าปุโรหิตขององค์พระผู้เป็นเจ้า 22ดาวิดจึงกล่าวกับอาบียาธาร์ว่า “ในวันนั้นเมื่อเราเห็นโดเอกคนเอโดมที่นั่น เราก็รู้ว่าเขาจะไปฟ้องซาอูลแน่ เราต้องรับผิดชอบที่ทำให้ครอบครัวของท่านต้องตายกันหมด 23อยู่ที่นี่กับเราเถิด อย่ากลัวเลย ผู้ที่ต้องการชีวิตของท่านก็ต้องการชีวิตของเราด้วย ท่านจะปลอดภัยเมื่ออยู่กับเรา”