1 Samweli 21 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 21:1-15

Daudi Huko Nobu

121:1 1Sam 22:9; Neh 11:32; Isa 10:32; 1Sam 16:1Daudi akaenda Nobu, kwa Ahimeleki kuhani. Ahimeleki akatetemeka alipokutana naye, akamuuliza, “Kwa nini uko peke yako? Kwa nini hukufuatana na mtu yeyote?”

221:2 Mwa 27:20-24; 1Sam 19:11; 22:22; 1Fal 13:18; Za 119:29; 141:3; Mit 29:25; Gal 2:12, 13; Kol 3:9Daudi akamjibu Ahimeleki kuhani, akisema, “Mfalme ameniagiza shughuli fulani na kuniambia, ‘Mtu yeyote asijue chochote kuhusu kazi yako wala maagizo yako!’ Kuhusu watu wangu, nimewaambia tukutane mahali fulani. 3Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au chochote unachoweza kupata.”

421:4 Law 24:8-9; Mt 12:4; Kut 19:15; Law 15:18; 24:5; Zek 7:3Lakini kuhani akamjibu Daudi, “Sina mkate wowote wa kawaida kwa sasa. Hata hivyo, ipo hapa mikate iliyowekwa wakfu, iwapo watu wamejitenga na wanawake.”

521:5 Kum 23:9-11; Yos 3:5; 2Sam 11:11; 1Tim 4:4; 1The 4:4; Law 8:26Daudi akajibu, “Hakika tumejitenga na wanawake kwa siku hizi chache kama kawaida ya ninapotoka kwenda kwenye shughuli. Navyo vyombo vya wale vijana huwa ni vitakatifu hata kwenye safari ya kawaida, si zaidi sana leo vyombo vyao vitakuwa ni vitakatifu?” 621:6 Kut 25:30; 1Sam 22:10; Mt 12:3-4; Mk 2:25-28; Lk 6:1-5; Law 24:8Hivyo kuhani akampa ile mikate iliyowekwa wakfu, kwa kuwa hapakuwepo mikate mingine isipokuwa hiyo ya Wonyesho iliyokuwa imeondolewa hapo mbele za Bwana na kubadilishwa na mingine yenye moto siku ile ilipoondolewa.

721:7 1Sam 22:9; 14:47; Za 52Basi siku hiyo palikuwepo na mmoja wa watumishi wa Sauli, aliyezuiliwa mbele za Bwana; alikuwa Doegi Mwedomu, kiongozi wa wachunga wanyama wa Sauli.

8Daudi akamuuliza Ahimeleki, “Je, unao mkuki au upanga hapa? Sikuleta upanga wala silaha nyingine yoyote, kwa sababu shughuli ya mfalme ilikuwa ya haraka.”

921:9 1Sam 17:51; 17:2, 4Kuhani akajibu, “Upanga wa Goliathi Mfilisti, ambaye ulimuua katika Bonde la Ela, upo hapa, umefungiwa katika kitambaa nyuma ya kisibau. Kama unauhitaji, uchukue, hakuna upanga mwingine hapa ila huo tu.”

Daudi akasema, “Hakuna upanga mwingine kama huo. Nipatie huo.”

Daudi Huko Gathi

1021:10 1Sam 25:13; 27:2-3; 18:7Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi. 1121:11 1Sam 18:7; 29:5; Za 50Lakini watumishi wa Akishi wakamwambia, “Je, huyu si ndiye Daudi mfalme wa nchi? Je, huyu si ndiye yule ambaye wanaimba katika ngoma zao wakisema:

“ ‘Sauli amewaua elfu zake,

naye Daudi makumi elfu yake’?”

12Daudi akayaweka maneno haya moyoni naye akamwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. 1321:13 Za 34Basi akajifanya mwendawazimu mbele yao; naye alipokuwa mikononi mwao, alitenda kama kichaa, akikwaruza kwa kutia alama juu ya milango ya lango na kuachia udelele kutiririka kwenye ndevu zake.

14Akishi akawaambia watumishi wake, “Tazameni mtu huyu! Ana wazimu! Kwa nini mnamleta kwangu? 15Je, mimi nimepungukiwa na wenda wazimu kiasi kwamba mmeniletea mtu huyo hapa aendelee kufanya hivi mbele yangu? Je, ilikuwa ni lazima mtu huyo aje nyumbani kwangu?”

Bibelen på hverdagsdansk

1. Samuelsbog 21:1-16

1Så skiltes de. David forsvandt over markerne, og Jonatan gik hjem.

David på flugt fra Saul

2David kom til byen Nob, hvor han opsøgte præsten Ahimelek. Ahimelek blev fyldt med bange anelser, da han så David komme alene.

„Hvorfor kommer du uden dine mænd?” spurgte han.

3„Kongen har sendt mig ud i et hemmeligt ærinde,” løj David, „og han gav mig klare instrukser om ikke at røbe mit ærinde for nogen. Jeg har sat mine mænd stævne på et aftalt sted. 4Men sig mig, har du noget jeg kan spise? Giv mig fem brød, eller hvad du nu har.”

5„Almindeligt brød har jeg ikke noget af,” svarede præsten. „Men der er de hellige brød fra Herrens telt. Dem kan du og dine mænd vel godt få, hvis I ikke er urene efter seksuel kontakt med kvinder.”21,5 Jf. 3.Mos. 15,16-18.

6„Du kan være ganske rolig,” svarede David. „Vi har ikke været i nærheden af kvinder siden i forgårs, da vi startede turen. Når mine mænd holder sig rene under de almindelige krigstogter, hvor meget mere da ikke under en vigtig mission, som den vi er på i dag.”

7Da der ikke var anden mad til rådighed, gav præsten ham de gamle, hellige brød, som var fjernet fra bordet i Herrens bolig. De bliver jo udskiftet med friske brød hver uge.21,7 Jf. 3.Mos. 24,5-9.

8Tilfældigvis opholdt Sauls overhyrde, edomitten Doeg, sig netop på det tidspunkt ved Herrens bolig, så han hørte samtalen.

9David spurgte Ahimelek: „Har du ikke et spyd eller et sværd, jeg kan låne? Jeg nåede ikke at få mine våben med, fordi kongens ærinde havde sådan en hast.”

10„Jeg har filisteren Goliats sværd, ham du slog ihjel i Elahdalen,” svarede Ahimelek. „Det må du få, hvis du vil have det. Det ligger omme bag den hellige efod rullet ind i en kappe. Der er ikke andre våben her.”

„Der findes ikke et bedre sværd,” udbrød David. „Giv mig det!”

11Samme dag fortsatte David flugten fra Saul og kom til filisterkongen Akish i Gat. 12„Jamen, er det ikke Israels kommende konge, vi giver husly?” spurgte Akish’ mænd hinanden. „Var det ikke til hans ære, at kvinderne dansede og sang: ‚Saul har besejret sine tusinder, men David har besejret sine titusinder!’?”

13Da David hørte, hvordan man snakkede om ham, blev han bange for, hvad kong Akish ville gøre ved ham. 14Derfor begyndte han at spille sindssyg. Han kradsede på byporten og lod sit spyt flyde ned i skægget. 15Da han blev fanget og ført til kong Akish, sagde Akish til sine mænd: „Hvorfor kommer I herhen med ham? I kan da se, at manden er gal. 16Synes I ikke, vi har gale folk nok her? Jeg vil ikke have sådan en i mit hus!”