1 Samweli 15 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 15:1-35

Bwana Anamkataa Sauli Asiwe Mfalme

115:1 1Sam 9:16Samweli akamwambia Sauli, “Mimi ndiye ambaye Bwana alinituma nikutie mafuta uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa sikiliza ujumbe kutoka kwa Bwana. 215:2 Mwa 14:7; 1Sam 14:48; 2Sam 1; 8; Kut 17:8-14; Kum 25:17Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu Waamaleki kwa kile walichowatendea Israeli walipowavizia wakati walipanda kutoka Misri. 315:3 Mwa 14:23; Yos 6:17; 1Sam 22:17; 22:19; 27:9; 28:8; Es 3:13; 9:5; Law 27:28; Kut 20:5; Isa 14:21; Mwa 3:17; Yos 7:24Basi sasa nenda ukawashambulie Waamaleki na kuwaangamiza kabisa pamoja na kila kitu kilicho mali yao. Usiwahurumie; waue wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ngʼombe na kondoo, ngamia na punda.’ ”

415:4 Yos 15:24Ndipo Sauli akawaita watu na kuwapanga huko Telaimu, askari wa miguu 200,000 pamoja na watu 10,000 kutoka Yuda. 5Sauli akaenda katika mji wa Amaleki na kuwavizia bondeni. 615:6 Mwa 15:19; Hes 24:22; Amu 1:16; 1Sam 30:29; Mwa 18:25; 19:12; Mdo 2:40; Ufu 18:4; Kut 18:10; Hes 10:29Kisha akawaambia Wakeni, “Ondokeni, waacheni Waamaleki ili nisije nikawaangamiza ninyi pamoja nao, kwa kuwa ninyi mliwatendea mema Waisraeli wote wakati walipanda kutoka Misri.” Basi Wakeni wakaondoka, wakawaacha Waamaleki.

715:7 1Sam 14:48; Mwa 16:7; 25:17-18; Kut 15:22Ndipo Sauli akawashambulia Waamaleki toka Havila mpaka Shuri, hadi mashariki ya Misri. 815:8 Kut 17:8-16; Hes 24:7; Yos 8:23; 1Fal 20:34; Es 3:1; 1Sam 30:1Akamchukua Agagi, mfalme wa Waamaleki akiwa hai, nao watu wake wote akawaangamiza kabisa kwa upanga. 915:9 Mit 15:27; 1Tim 6:10Lakini Sauli na hilo jeshi wakamhifadhi hai Agagi na kondoo na ngʼombe walio wazuri, mafahali na wana-kondoo walionona kila kitu kilichokuwa kizuri. Hivi vitu hawakuwa radhi kuviangamiza kabisa, bali kila kitu kilichodharauliwa na kilicho dhaifu wakakiangamiza kabisa.

10Kisha neno la Bwana likamjia Samweli kusema: 1115:11 Mwa 6:6; Kut 32:14; Yos 22:16; Ay 21:14; 34:27; Za 28:5; Isa 5:12; 53:6; Yer 48:10; Eze 18:24; 1Sam 8:6; Yos 22:16; 1Fal 9:6; Za 36:3; Sef 1:6; Mt 24:13“Ninasikitika kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha kunifuata mimi na hakutimiza maagizo yangu.” Samweli akafadhaika, naye akamlilia Bwana usiku ule wote.

1215:12 Yos 15:55; Hes 32:42Asubuhi na mapema Samweli akaamka kwenda kukutana na Sauli, lakini akaambiwa, “Sauli amekwenda Karmeli. Huko amesimamisha mnara kwa heshima yake mwenyewe naye ameendelea na kuteremkia Gilgali.”

1315:13 Mwa 14:19; Amu 17:2; Rut 3:2; Lk 8:11Samweli alipomfikia, Sauli akamwambia, “Bwana akubariki! Nimetimiza yale Bwana aliniagiza.”

14Lakini Samweli akasema, “Nini basi huu mlio wa kondoo masikioni mwangu? Huu mlio wa ngʼombe ninaousikia ni kitu gani?”

1515:15 Mwa 3:12; Mit 28:13Sauli akajibu, “Askari wamewaleta kutoka kwa Waamaleki, waliwaacha wale kondoo na ngʼombe wazuri ili kuwatoa dhabihu kwa Bwana, Mungu wako, lakini tuliwaangamiza kabisa wengine wote.”

16Samweli akamwambia Sauli, “Ngoja! Nami nitakuambia lile Bwana aliloniambia usiku huu.”

Sauli akajibu, “Niambie.”

1715:17 Kut 3:11; 1Sam 9:21Samweli akamwambia, “Ingawa zamani ulijiona mdogo machoni pako mwenyewe, Je, hukuwa kiongozi wa kabila za Israeli? Bwana alikutia mafuta kuwa mfalme juu ya Israeli. 18Naye akakutuma kwa kazi maalum, akisema, ‘Nenda ukaangamize kabisa wale watu waovu, wale Waamaleki, upigane nao vita mpaka utakapowaangamiza kabisa.’ 1915:19 Mwa 14:23; 1Sam 14:32Kwa nini hukumtii Bwana? Kwa nini ulivamia nyara na kufanya uovu machoni pa Bwana?”

2015:20 1Sam 28:18Sauli akasema, “Lakini nilimtii Bwana. Nilikamilisha ile kazi ambayo Bwana alinituma. Niliwaangamiza Waamaleki kabisa na kumleta Agagi mfalme wao. 21Askari walichukua kondoo na ngʼombe kutoka kwenye nyara, zile ambazo ni nzuri sana zimewekwa wakfu kwa Mungu, ili zitolewe dhabihu kwa Bwana Mungu wako huko Gilgali.”

2215:22 Za 40:6-8; 51:16; Mit 21:3; Isa 1:11-15; Yer 7:22; Hos 6:6; Amo 5:25; Mik 6:6-8; Mk 12:33; Mt 12:7; Ebr 10:6; Kut 19:5; Mhu 5:1; Yer 7:23; Hos 6:6; Mt 5:24; 9:13Lakini Samweli akajibu:

“Je, Bwana anafurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu

kama vile kuitii sauti ya Bwana?

Kutii ni bora zaidi kuliko dhabihu,

nako kusikia ni bora

kuliko mafuta ya kondoo dume.

2315:23 Kum 18:10; 1Sam 13:13Kwa maana kuasi ni kama dhambi ya uaguzi,

nao ukaidi ni kama uovu wa kuabudu sanamu.

Kwa sababu umelikataa neno la Bwana,

naye amekukataa wewe

kuendelea kuwa mfalme.”

2415:24 Kut 9:27; Hes 22:24; Za 51:4; 1Sam 13:13; Mit 29:25; Isa 51:12-13; Yer 42:11; 2Sam 12:13; Mt 27:4; Ay 31:34; Mit 29:25; Ufu 21:8Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Nimetenda dhambi. Nimevunja amri ya Bwana na maagizo yako. Niliwaogopa watu na kwa hiyo nikafanya walivyotaka. 2515:25 Kut 10:17Sasa ninakusihi usamehe dhambi yangu, nawe urudi pamoja nami, ili nipate kumwabudu Bwana.”

2615:26 Hes 15:31; 1Sam 13:14; 1Fal 14:10Lakini Samweli akamwambia, “Sitarudi pamoja nawe. Umelikataa neno la Bwana, naye Bwana amekukataa wewe, usiendelee kuwa mfalme juu ya Israeli!”

2715:27 1Sam 28:14; 1Fal 11:11; 14:8; 2Fal 17:21Samweli alipogeuka ili aondoke, Sauli akangʼangʼania pindo la joho lake, nalo likararuka. 2815:28 1Sam 28:17; 13:14; 2Sam 6:21; 7:15; 1Fal 11:31Samweli akamwambia, “Bwana ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye ameutia kwa mmoja wa majirani zako, aliye bora kuliko wewe. 2915:29 Tit 1:2; Hes 23:19; Ebr 7:21; 1Nya 29:11; Eze 24:14Yeye aliye Utukufu wa Israeli hasemi uongo wala hana kigeugeu; kwa kuwa yeye si mwanadamu, hata abadili nia yake.”

3015:30 Hes 22:34; Isa 29:13; Yn 12:43; 12:41-43; Rum 2:28-29Sauli akajibu, “Nimetenda dhambi. Lakini tafadhali niheshimu mbele ya wazee wa watu wangu na mbele ya Israeli; rudi pamoja nami, ili nipate kumwabudu Bwana Mungu wako.” 31Hivyo Samweli akarudi pamoja na Sauli, naye Sauli akamwabudu Bwana.

32Ndipo Samweli akasema, “Niletee Agagi mfalme wa Waamaleki.”

Agagi akaja kwake kwa ujasiri, akifikiri, “Hakika uchungu wa mauti umepita.”

3315:33 Es 9:7-10; Yer 18:21; Mwa 9:6; Kut 17:11; Amu 1:7; Yak 2:13; 1Fal 18:40Lakini Samweli akasema,

“Kama upanga wako ulivyofanya wanawake

kufiwa na watoto wao,

ndivyo mama yako atakavyokuwa

hana mtoto miongoni mwa wanawake.”

Naye Samweli akamuua Agagi mbele za Bwana huko Gilgali.

3415:34 1Sam 7:17; Amu 19:14; 1Sam 10:5; 11:4Kisha Samweli akaenda Rama, lakini Sauli akapanda nyumbani kwake huko Gibea ya Sauli. 3515:35 1Sam 19:24; 16:1; Mwa 6:6Hadi siku Samweli alipofariki hakwenda kumwona Sauli tena, ingawa Samweli alimwombolezea. Naye Bwana alihuzunika kwamba alimfanya Sauli kuwa mfalme juu ya Israeli.

Священное Писание

1 Царств 15:1-35

Шаул должен истребить амаликитян

1Шемуил сказал Шаулу:

– Я тот, кого Вечный послал помазать тебя царём над народом Исраила. Выслушай же теперь слова Вечного. 2Так говорит Вечный, Повелитель Сил: «Я накажу амаликитян за то, что они сделали Исраилу, преградив путь исраильтянам, идущим из Египта. 3Ступай, напади на амаликитян и полностью уничтожь всё, что им принадлежит. Не щади их, предай смерти мужчин и женщин, детей и грудных младенцев, волов и овец, верблюдов и ослов».

4Шаул призвал народ и собрал их в Телаиме – двести тысяч пеших воинов и десять тысяч воинов из рода Иуды. 5Шаул подошёл к городу Амалика и устроил засаду в долине. 6Он сказал кенеям:

– Уходите, оставьте амаликитян, чтобы я не истребил вас вместе с ними, ведь вы оказали милость всем исраильтянам, когда они вышли из Египта15:6 См. Исх. 18:10-19..

И кенеи ушли от амаликитян. 7Шаул разбил амаликитян на всём пути от Хавилы до самого Сура, что в восточном Египте. 8Он взял Агага, царя амаликитян, живым, а весь его народ полностью истребил мечом. 9Но Шаул и его войско пощадили Агага. Они также оставили лучших овец и волов, жирных телят и ягнят – всё, что было ценно, они не хотели всё это уничтожать. Но всё слабое и плохое они уничтожили полностью.

Вечный отвергает Шаула

10Тогда к Шемуилу было слово Вечного:

11– Я жалею, что сделал Шаула царём, потому что он отвернулся от Меня и не выполнил Моих наставлений.

Шемуил разгневался на Шаула и всю ночь взывал к Вечному. 12Рано утром Шемуил встал, чтобы встретиться с Шаулом, но ему сказали:

– Шаул ушёл в город Кармил. Там он поставил себе памятник, а затем спустился в Гилгал.

13Когда Шемуил нагнал его, Шаул сказал:

– Да благословит тебя Вечный! Я выполнил наставления Вечного.

14Но Шемуил сказал:

– А почему же я тогда слышу блеяние овец и мычание волов?

15Шаул ответил:

– Воины привели их от амаликитян. Они пощадили лучших овец и волов, чтобы принести их в жертву Вечному, твоему Богу, но всё остальное мы полностью уничтожили.

16– Хватит, ни слова больше! – сказал Шаулу Шемуил. – Я скажу тебе то, что прошлой ночью сказал мне Вечный.

– Говори, – ответил Шаул.

17Шемуил сказал:

– Не стал ли ты главой родов Исраила, хотя сам когда-то невысоко себя ставил? Вечный помазал тебя царём над Исраилом. 18Вечный послал тебя с поручением, говоря: «Пойди и полностью истреби этот нечестивый народ – амаликитян. Веди с ними войну, пока не уничтожишь их». 19Почему ты не послушался Вечного? Почему ты бросился на добычу и совершил зло в глазах Вечного?

20– Но я же послушался Вечного, – сказал Шаул. – Я отправился исполнять поручение, которое дал мне Вечный. Я полностью истребил амаликитян и привёл их царя Агага. 21Воины взяли из добычи овец и волов, лучшее из подлежащего уничтожению, чтобы принести их в жертву Вечному, твоему Богу, в Гилгале.

22Но Шемуил ответил:

– Разве всесожжения и жертвы столь же приятны Вечному,

сколь послушание голосу Вечного?

Послушание лучше жертвы,

и повиновение лучше жира баранов.

23Ведь неповиновение подобно греху ворожбы,

и гордость – греху идолослужения.

Так как ты отверг слово Вечного,

то и Он отверг тебя как царя.

24Тогда Шаул сказал Шемуилу:

– Я согрешил. Я нарушил повеление Вечного и твои наставления. Я боялся народа и поэтому уступил им. 25Но теперь я молю тебя, прости мой грех и вернись со мной, чтобы мне поклониться Вечному.

26Но Шемуил сказал ему:

– Я не вернусь с тобой. Ты отверг слово Вечного, и Вечный отверг тебя как царя над Исраилом!

27Когда Шемуил повернулся, чтобы уйти, Шаул схватил его за край верхней одежды, и она порвалась. 28Шемуил сказал ему:

– Сегодня Вечный вырвал у тебя царство Исраила и отдал его другому – тому, кто лучше тебя. 29Верный Исраила не лжёт и не передумывает, ведь Он не человек, чтобы передумывать.

30Шаул ответил:

– Я согрешил. Но, пожалуйста, окажи мне уважение перед старейшинами моего народа и перед Исраилом, вернись со мной, тогда я смогу поклониться Вечному, твоему Богу.

31Шемуил вернулся с Шаулом, и Шаул поклонился Вечному. 32Тогда Шемуил сказал:

– Приведите ко мне Агага, царя амаликитян.

Агаг подошёл к нему уверенно, думая15:32 Или: «дрожа, но всё же думая».: «Конечно, горечь смерти прошла стороной». 33Но Шемуил сказал:

– Как меч твой лишал матерей их детей,

так твоя мать будет бездетной среди женщин.

И Шемуил рассёк Агага на части перед Вечным в Гилгале. 34Затем Шемуил ушёл в Раму, а Шаул поднялся к себе домой, в Гиву. 35До дня своей смерти Шемуил не виделся больше с Шаулом15:35 Шемуил сам никогда больше не искал встреч с Шаулом. Но он встречался с ним после (см. 19:24)., хотя и скорбел о нём. А Вечный сожалел, что сделал Шаула царём над Исраилом.