1 Samweli 13 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 13:1-23

Samweli Amkemea Sauli

1Sauli alikuwa na miaka thelathini, alipokuwa mfalme, akatawala Israeli miaka arobaini na miwili.

213:2 Neh 11:31; Isa 10:28; Amu 19:14; 1Sam 10:26Sauli alichagua watu 3,000 kutoka Israeli; miongoni mwa hao watu 2,000 walikuwa pamoja naye huko Mikmashi na katika nchi ya vilima ya Betheli, nao watu 1,000 walikuwa pamoja na Yonathani huko Gibea ya Benyamini. Watu waliosalia aliwarudisha nyumbani mwao.

313:3 1Sam 10:5; Yos 18:24; Law 25:6; Amu 3:27Yonathani akashambulia ngome ya Wafilisti huko Geba, nao Wafilisti wakapata habari hizo. Kisha Sauli akaamuru tarumbeta ipigwe nchi yote na kusema, “Waebrania na wasikie!” 413:4 Mwa 34:30Hivyo Israeli wote wakasikia habari kwamba: “Sauli ameshambulia ngome ya Wafilisti, nao sasa Israeli wamekuwa harufu mbaya kwa Wafilisti.” Basi watu waliitwa kuungana na Sauli huko Gilgali.

513:5 1Sam 17:1; Yos 11:4; Ufu 20:8; Yos 7:2Wafilisti wakakusanyika ili kupigana na Israeli, wakiwa na magari ya vita 3,000, waendesha magari ya vita 6,000 na askari wa miguu wengi kama mchanga wa ufuoni mwa bahari. Walipanda na kupiga kambi huko Mikmashi, mashariki ya Beth-Aveni. 613:6 1Sam 14:11, 22; Amu 6:2; Eze 33:27Watu wa Israeli walipoona kuwa hali yao ni ya hatari na kuwa jeshi lao limesongwa sana, wakajificha katika mapango na katika vichaka, katikati ya miamba, kwenye mashimo na kwenye mahandaki. 713:7 Hes 32:33; Mwa 35:5; Kut 19:16Hata baadhi ya Waebrania wakavuka Yordani mpaka nchi ya Gadi na Gileadi.

Sauli akabaki huko Gilgali, navyo vikosi vyote vilivyokuwa pamoja naye vilikuwa vikitetemeka kwa hofu. 813:8 1Sam 10:8Akangoja kwa siku saba, muda uliowekwa na Samweli; lakini Samweli hakuja Gilgali, nao watu wa Sauli wakaanza kutawanyika. 913:9 Kum 12:5-14; 2Sam 24:25; 1Fal 3:4; 2Nya 26:16; Mit 15:8; 21:3, 27; Ebr 5:4Basi akasema, “Nileteeni hapa sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani.” Naye Sauli akatoa sadaka ya kuteketezwa. 1013:10 1Sam 15:13; 25:14; Rut 2:4Mara alipomaliza kutoa hiyo sadaka, Samweli akatokea, naye Sauli akaondoka kwenda kumlaki.

11Samweli akamuuliza, “Umefanya nini?”

Sauli akajibu, “Nilipoona kwamba watu wanatawanyika, na kwamba hukuja wakati uliopangwa na kwamba Wafilisti walikuwa wakikusanyika huko Mikmashi, 1213:12 Yos 10:43; Kum 4:29; Za 119:58; Yer 26:19nikawaza, ‘Sasa Wafilisti watateremka dhidi yangu huko Gilgali nami sijaomba kibali kwa Bwana.’ Hivyo nikalazimika kutoa sadaka ya kuteketezwa.”

1313:13 2Nya 16:9; Yos 22:16; 1Sam 15:23, 24; 2Sam 7:15; 1Nya 10:13; Za 72:5; 1Fal 18:18; Ay 34:18; Mit 19:3; Mt 14:3, 4; Law 17:1; Hes 18:7Samweli akasema, “Umetenda kwa upumbavu. Hukuyashika maagizo ya Bwana Mungu wako aliyokupa. Kama ungelitii, angeudumisha ufalme wako juu ya Israeli kwa wakati wote. 1413:14 1Sam 15:28; 18:8; 24:20; 1Nya 10:14; Mdo 7:46; 13:12; 2Sam 6:21; 1Sam 25:10; 2Sam 5:2; Za 18:43; Isa 16:5; 55:4; Yer 30:9; Eze 34:23-24; 37:24; Dan 9:25; Hos 3:5; Mik 5:2; 1Sam 15:26; 16; 1; 2Sam 12:6; 1Fal 13:21Lakini sasa ufalme wako hautadumu; Bwana amemtafuta mtu aupendezaye moyo wake, na amemchagua awe kiongozi wa watu wake, kwa sababu hukuyatii maagizo ya Bwana.”

1513:15 1Sam 14:2Kisha Samweli akaondoka Gilgali, akapanda Gibea ya Benyamini, naye Sauli akawahesabu watu aliokuwa nao. Jumla yao walikuwa watu 600.

Israeli Bila Silaha

1613:16 Yos 18:24Sauli, mwanawe Yonathani na watu waliokuwa pamoja nao walikuwa wakiishi huko Gibea ya Benyamini, wakati Wafilisti wakiwa wamepiga kambi huko Mikmashi. 1713:17 1Sam 14:15; Yos 18:23Makundi ya wavamiaji walikuja kutoka kambi ya Wafilisti katika vikosi vitatu. Kikosi kimoja kilielekea Ofra karibu na Shuali, 1813:18 Yos 10:10; Neh 11:34; Yos 18:13-14; 1Nya 6:68; 2Nya 8:5kikosi kingine kilielekea Beth-Horoni, nacho kikosi cha tatu kilielekea kwenye nchi ya mpakani ielekeayo Bonde la Seboimu linalotazamana na jangwa.

1913:19 Mwa 4:22; Hes 25:7; Yer 24:1; 2Fal 24:14Hapakuwa na mhunzi ambaye angeweza kupatikana katika nchi yote ya Israeli, kwa sababu Wafilisti walikuwa wamesema, “Waebrania wasije wakatengeneza panga au mikuki!” 20Hivyo Waisraeli wote huteremka kwa Wafilisti ili kunoa majembe ya plau, majembe ya mkono, mashoka na miundu. 21Bei ilikuwa fedha theluthi mbili za shekeli13:21 Theluthi mbili za shekeli za fedha ni sawa na gramu 8. kunoa majembe ya plau na majembe ya mkono, na theluthi moja ya shekeli13:21 Theluthi moja ya shekeli ya fedha ni sawa na gramu 4. kwa nyuma, mashoka na michokoo.

2213:22 1Nya 9:39; Hes 25:7; 1Sam 14:6; 17:47; Zek 4:6; Amu 5:8Kwa hiyo siku ya vita hakuna askari yeyote aliyekuwa kambini na Sauli na Yonathani ambaye alikuwa na upanga wala mkuki mkononi mwake; Sauli tu na mwanawe Yonathani ndio waliokuwa navyo.

Yonathani Awashambulia Wafilisti

2313:23 1Sam 14:4Basi kikosi cha Wafilisti kilikuwa kimetoka kuelekea njia iendayo Mikmashi.

La Bible du Semeur

1 Samuel 13:1-23

Israël se révolte contre les Philistins

1Saül était âgé de [trente] ans à son avènement et il régna [quarante-]deux ans sur Israël13.1 Les mots entre crochets manquent dans le texte hébreu traditionnel. Trente est rajouté d’après certains manuscrits de l’ancienne version grecque, et quarante d’après Ac 13.21. On pourrait aussi comprendre : quand il eut régné deux ans, 2 il sélectionna…. 2Il sélectionna trois mille soldats d’Israël, deux mille pour rester avec lui à Mikmas13.2 Située à 12 kilomètres au nord de Jérusalem, sur une chaîne de collines s’étendant au nord-ouest jusqu’à Béthel, ce qui explique la suite du verset. Guibéa se trouvait au sud-ouest. et dans la région montagneuse de Béthel, et mille qu’il plaça sous les ordres de son fils Jonathan à Guibéa de Benjamin. Les autres soldats furent renvoyés dans leurs foyers.

3Jonathan abattit la stèle dressée par les Philistins à Guéba13.3 L’ancienne version grecque a : Guibéa.. Alors se répandit rapidement parmi les Philistins la nouvelle que les Hébreux s’étaient révoltés. Saül fit annoncer la chose au son du cor dans tout le pays : Que les Hébreux le sachent !

4Tout Israël apprit que Saül avait abattu la stèle des Philistins, et qu’Israël s’était ainsi rendu odieux aux Philistins.

Tout le peuple se rassembla donc à Guilgal13.4 Lieu de rassemblement convenu avec Samuel (10.8). Voir Jos 9.6 et note 1 S 10.8. pour aller combattre avec Saül.

5Les Philistins mobilisèrent leurs troupes pour combattre Israël. Ils avaient trois mille chars13.5 D’après certains manuscrits de l’ancienne version grecque et la version syriaque. Le texte hébreu traditionnel a : trente mille chars. de guerre et six mille soldats sur char, ainsi qu’une multitude de fantassins, nombreux comme les grains de sable des mers. Ils allèrent prendre position à Mikmas à l’est de Beth-Aven. 6Les hommes d’Israël virent qu’ils étaient dans une situation extrêmement critique, car ils étaient serrés de près par l’ennemi. Ils se cachèrent dans les grottes, les buissons, les cavernes, les souterrains et les citernes. 7Certains Hébreux franchirent le Jourdain et se réfugièrent dans le territoire de Gad et de Galaad. Pendant ce temps, Saül était toujours à Guilgal, au milieu de son armée qui tremblait d’épouvante. 8Il attendit sept jours le rendez-vous fixé par Samuel13.8 Voir 10.8.. Celui-ci n’arrivant pas, les soldats commencèrent à abandonner Saül et à se disperser.

La faute de Saül

9Alors Saül dit : Amenez-moi les bêtes de l’holocauste et des sacrifices de communion.

Et il offrit lui-même l’holocauste. 10Au moment où il achevait de l’offrir, Samuel arriva. Saül alla à sa rencontre pour le saluer. 11Samuel lui demanda : Qu’as-tu fait ?

Saül répondit : Quand j’ai vu que mes soldats se dispersaient loin de moi, que tu n’arrivais pas au rendez-vous fixé et que les Philistins étaient concentrés à Mikmas, 12je me suis dit : « Les Philistins vont tomber sur moi à Guilgal avant que j’aie pu implorer l’Eternel. » Alors je me suis fait violence et j’ai offert l’holocauste.

13Samuel dit à Saül : Tu as agi comme un insensé. Tu n’as pas obéi au commandement que l’Eternel ton Dieu t’avait donné. Si tu l’avais fait, l’Eternel aurait affermi ton autorité royale sur Israël et il aurait fait en sorte que tes descendants y gardent pour toujours la royauté. 14Mais puisque tu as désobéi aux ordres de l’Eternel, ta royauté ne subsistera pas. L’Eternel a décidé de se chercher un homme qui corresponde à ses désirs et de l’établir chef de son peuple13.14 Voir Ac 13.22..

15Puis Samuel le quitta et monta de Guilgal à Guibéa de Benjamin. Saül dénombra la troupe qui se trouvait avec lui : il lui restait environ six cents hommes13.15 L’ancienne version grecque et deux manuscrits de l’ancienne version latine ont : Samuel s’en alla de Guilgal. Le reste du peuple quitta Guilgal et suivit Saül pour aller rejoindre l’armée, à Guibéa de Benjamin..

Les armées prennent position

16Saül et son fils Jonathan avaient pris position à Guéba de Benjamin avec les gens qui leur restaient, tandis que les Philistins campaient à Mikmas. 17Une troupe de destructeurs sortit des camps des Philistins et se divisa en trois compagnies ; l’une d’elles prit la direction d’Ophra dans le pays de Shoual13.17 A l’est de Béthel, donc du côté de Mikmas., 18la deuxième se dirigea vers Beth-Horôn13.18 A l’ouest de Mikmas (voir Jos 16.3, 5). et la troisième monta sur les hauteurs par le chemin de la frontière qui domine la vallée de Tseboïm13.18 Au sud-est de Mikmas. du côté du désert.

19A cette époque, il n’y avait pas de forgeron dans tout le pays d’Israël, car les Philistins avaient voulu empêcher que les Hébreux fabriquent des épées et des lances. 20Tous les Israélites devaient donc se rendre chez les Philistins pour faire affûter leurs socs de charrue, leurs pioches, leurs haches, leurs bêches 21lorsque leurs bêches, leurs pioches, leurs tridents et leurs haches étaient émoussés, ainsi que pour redresser leurs aiguillons. 22C’est pourquoi, le jour de la bataille, les hommes qui étaient avec Saül et Jonathan n’avaient ni épée ni lance ; seuls Saül et son fils Jonathan en possédaient13.22 Les Israélites combattaient avec des arcs, des flèches et des frondes.. 23Un avant-poste philistin vint prendre position au défilé de Mikmas13.23 Un défilé étroit au nord de Guibéa où se trouvaient les rochers escarpés mentionnés en 14.4-5 qui formaient des observatoires naturels..