1 Samweli 11 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 11:1-15

Sauli Aukomboa Mji Wa Yabeshi

111:1 Mwa 19:38; 1Sam 12:12; 31:11; 2Sam 10:2; 17:27; 2:4-5; 21:12; Kut 23:32; Yer 37:1; Eze 17:13; 1Nya 19:1; Amu 21:8Nahashi yule Mwamoni, akakwea kuuzunguka kwa jeshi mji wa Yabeshi-Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia, “Fanya mkataba na sisi, na tutakuwa chini yako.”

211:2 Mwa 34:15; Hes 16:14; 1Sam 17:26; 2Sam 17:26Lakini Nahashi yule Mwamoni akajibu, “Nitafanya mkataba na ninyi tu kwa sharti kwamba nitangʼoa jicho la kulia la kila mmoja wenu, na hivyo kuleta aibu juu ya Israeli yote.”

311:3 1Sam 8:4; Amu 2:16Viongozi wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe siku saba ili tuweze kutuma wajumbe katika Israeli yote, kama hakuna hata mmoja anayekuja kutuokoa, tutajisalimisha kwako.”

411:4 1Sam 10:5; 15:34; Mwa 27:38; Hes 25:6; Amu 2:4; 21:2; 2Sam 21:6; Rum 12:15Wajumbe walipofika Gibea ya Sauli na kutoa taarifa juu ya masharti haya kwa watu, wote walilia kwa sauti kubwa. 5Wakati huo huo Sauli alikuwa anarudi kutoka mashambani, akiwa nyuma ya maksai wake, naye akauliza, “Watu wana nini? Mbona wanalia?” Ndipo wakamweleza jinsi watu wa Yabeshi walivyokuwa wamesema.

611:6 Amu 3:10; 6:34; 13:25; 1Sam 10:10; 16:13Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira. 711:7 1Sam 6:14; Amu 19:29; 21:5; 20:1; Mwa 35:5; 1Nya 14:14; 17:10; Mit 14:26Akachukua jozi ya maksai na kuwakata vipande vipande, naye kuvituma hivyo vipande kupitia wajumbe katika Israeli yote, wakitangaza, “Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa maksai wa kila mmoja ambaye hatamfuata Sauli na Samweli.” Kisha hofu ya Bwana ikawaangukia watu, nao wakatoka kama mtu mmoja. 811:8 Amu 20:2; 1:4; 2Sam 24:9Sauli alipowakusanya huko Bezeki, watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa Yuda 30,000.

9Wakawaambia wale wajumbe waliokuwa wamekuja, “Waambieni watu wa Yabeshi-Gileadi, ‘Kesho kabla jua halijawa kali, mtaokolewa.’ ” Wajumbe walipokwenda na kutoa taarifa hii kwa watu wa Yabeshi, wakafurahi. 10Wakawaambia Waamoni, “Kesho tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza kututendea chochote mnachoona chema kwenu.”

1111:11 Amu 7:16; Mwa 19:38Kesho yake Sauli alitenganisha watu wake katika vikosi vitatu; wakati wa zamu ya mwisho ya usiku wakaingia katika kambi ya Waamoni na kuwachinja mpaka mchana. Wale walionusurika wakasambaa, kiasi kwamba hawakusalia watu wawili pamoja.

Sauli Athibitishwa Kuwa Mfalme

1211:12 Kum 13:13; Lk 19:27Kisha watu wakamwambia Samweli, “Ni nani yule aliyeuliza, ‘Je, Sauli atatawala juu yetu?’ Tuletee hawa watu, nasi tutawaua.”

1311:13 2Sam 19:22; 1Sam 19:5; 1Nya 11:14; Kut 14:13; Za 44:4-8; Ebr 2:3Lakini Sauli akasema, “Hakuna hata mmoja atakayeuawa leo, kwa kuwa siku hii Bwana ameokoa Israeli.”

1411:14 Yos 10:43; 1Sam 10:8; 10:25Ndipo Samweli akawaambia watu, “Njooni, twendeni Gilgali na huko tuthibitishe ufalme.” 1511:15 Yos 5:9; 2Sam 19:15; 1Sam 12:1Kwa hiyo watu wote wakaenda Gilgali na kumthibitisha Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana. Huko wakatoa dhabihu za sadaka za amani mbele za Bwana, naye Sauli na Waisraeli wote wakafanya karamu kubwa.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

1 Царств 11:1-15

Шаул спасает город Иавеш

1Аммонитянин Нахаш пришёл и осадил Иавеш Галаадский. Все жители Иавеша сказали ему:

– Заключи с нами союз, и мы будем подчиняться тебе.

2Но аммонитянин Нахаш ответил:

– Я заключу с вами союз только на том условии, что выколю каждому из вас правый глаз и так покрою бесчестием весь Исраил.

3Старейшины Иавеша сказали ему:

– Дай нам семь дней, чтобы мы могли послать вестников по всему Исраилу. Если никто не придёт, чтобы спасти нас, мы сдадимся тебе.

4Когда вестники пришли в Гиву к Шаулу и рассказали народу о том, что произошло, весь народ громко заплакал. 5Как раз в это время Шаул возвращался с полей, идя за своими волами, он спросил:

– Что за беда у народа? Почему он плачет?

Тогда ему пересказали то, что рассказали жители Иавеша.

6Когда Шаул услышал их слова, Дух Аллаха сошёл на него, и Шаул разгневался. 7Он взял пару волов, рассёк их на куски и разослал с вестниками по всему Исраилу, объявляя:

– Вот что будет с волами всякого, кто не пойдёт за Шаулом и Шемуилом.

Страх перед Вечным охватил народ, и они выступили все как один. 8Когда Шаул построил их в Везеке, мужчин Исраила было триста тысяч, а мужчин Иудеи – тридцать тысяч.

9Исраильтяне сказали вестникам:

– Передайте жителям Иавеша Галаадского: «Завтра к тому часу, когда станет припекать солнце, вы будете спасены».

Когда вестники передали это жителям Иавеша, те ободрились. 10Они сказали аммонитянам:

– Завтра мы сдадимся вам, и вы сможете сделать всё, что вам угодно.

11На следующий день Шаул разделил своих людей на три отряда. Рано утром они ворвались в лагерь аммонитян и до полудня перебили их. Уцелевшие бежали поодиночке.

Утверждение царской власти Шаула

12После этого народ сказал Шемуилу:

– Кто это говорил: «Неужели Шаул будет править нами?» Приведи к нам этих людей, мы убьём их.

13Но Шаул ответил:

– Сегодня никто не будет казнён, ведь в этот день Вечный спас Исраил.

14И Шемуил сказал народу:

– Пойдём в Гилгал и утвердим там царскую власть.

15Весь народ пошёл в Гилгал и утвердил Шаула царём в присутствии Вечного. Там они принесли перед Вечным жертвы примирения. И веселился там Шаул вместе со всеми исраильтянами.