1 Petro 2 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Petro 2:1-25

Jiwe Lililo Hai Na Watu Waliochaguliwa

12:1 Efe 4:22; Yak 4:11Kwa hiyo, wekeni mbali nanyi uovu wote na udanganyifu wote, unafiki, wivu na masingizio ya kila namna. 22:2 1Kor 3:2; Ebr 5:12-13; Efe 4:15-16Kama watoto wachanga, waliozaliwa sasa, yatamanini maziwa ya kiroho yasiyochanganywa na kitu kingine chochote, ili kwa hayo mpate kukua katika wokovu, 32:3 Za 34:8; Ebr 6:5ikiwa kweli mmeonja ya kwamba Bwana ni mwema.

42:4 Za 118:22; Mt 21:42; Mdo 4:11Mnapokuja kwake, yeye aliye Jiwe lililo hai, lililokataliwa na wanadamu bali kwa Mungu ni teule na la thamani kwake, 52:5 Mit 9:1; Efe 2:20-22; 1Tim 3:15; Kut 19:6; Ufu 5:10; Ebr 13:15ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho, ili mpate kuwa ukuhani mtakatifu, mkitoa dhabihu za kiroho zinazokubaliwa na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo. 62:6 Efe 2:20; Rum 10:11Kwa maana imeandikwa katika Maandiko:

“Tazama, naweka katika Sayuni,

jiwe la pembeni teule lenye thamani,

na yeyote atakayemwamini

hataaibika kamwe.”

72:7 2Kor 2:16; Mdo 4:11Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hili ni la thamani. Lakini kwao wasioamini,

“Jiwe walilolikataa waashi

limekuwa jiwe kuu la pembeni,”

82:8 Isa 8:14; 1Kor 1:23; Rum 9:22tena,

“Jiwe lenye kuwafanya watu wajikwae,

na mwamba wa kuwaangusha.”

Wanajikwaa kwa sababu hawakulitii lile neno, kama walivyowekewa tangu zamani.

92:9 1Sam 12:22; Kut 19:6; Mdo 26:18Lakini ninyi ni taifa teule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu walio milki ya Mungu, mlioitwa ili kutangaza sifa zake yeye aliyewaita kutoka gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu. 102:10 Rum 9:25-26; Hos 1:9, 10; 2:23Mwanzo ninyi mlikuwa si taifa, lakini sasa ninyi ni taifa la Mungu. Mwanzo mlikuwa hamjapata rehema, lakini sasa mmepata rehema.

112:11 Rum 13:14; Yak 4:1Wapenzi, ninawasihi, mkiwa kama wageni na wapitaji hapa ulimwenguni, epukeni tamaa mbaya za mwili ambazo hupigana vita na roho zenu. 122:12 Tit 2:8, 14; Mt 5:16; 9:8Kuweni na mwenendo mzuri mbele ya watu wasiomjua Mungu, ili kama wanawasingizia kuwa watenda mabaya, wayaone matendo yenu mema nao wamtukuze Mungu siku atakapokuja kwetu.

Kuwatii Wenye Mamlaka

132:13 Tit 3:1; Rum 13:1; Mt 22:21Kwa ajili ya Bwana, tiini kila mamlaka iliyowekwa na wanadamu: Kwa mfalme kwani ndiye aliye na mamlaka ya juu zaidi, 142:14 Rum 13:3-4au kwa maafisa aliowaweka, kwa kuwa mfalme amewatuma ili kuwaadhibu wale wanaokosa, na kuwapongeza wale watendao mema. 152:15 1Pet 3:17; 4:19Kwa maana ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda mema mnyamazishe maneno ya kijinga ya watu wapumbavu. 162:16 Yn 8:32; Rum 6:22Ishini kama watu huru, lakini msitumie uhuru wenu kama kisingizio cha kutenda uovu, bali ishini kama watumishi wa Mungu. 172:17 Rum 12:10; Mit 24:21; 1Pet 2:18; Efe 6:5; Yak 3:17Mheshimuni kila mtu ipasavyo: Wapendeni jamaa ya ndugu waumini, mcheni Mungu, mpeni heshima mfalme.

182:18 1Kor 6:20; 7:23; Eze 20:18; 1Pet 4:3Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wema na wapole peke yao, bali pia wale walio wakali. 192:19 1Pet 3:14-17; Mt 5:10; Rum 13:5; 1Pet 3:14Kwa maana ni jambo la sifa kama mtu akivumilia anapoteswa kwa uonevu kwa ajili ya Mungu. 202:20 1Pet 3:14; 4:14, 15Kwani ni faida gani kwa mtu kustahimili anapopigwa kwa sababu ya makosa yake? Lakini kama mkiteswa kwa sababu ya kutenda mema, nanyi mkastahimili, hili ni jambo la kusifiwa mbele za Mungu.

Mfano Wa Mateso Ya Kristo

212:21 Flp 1:29; Mt 11:29Ninyi mliitwa kwa ajili ya haya, kwa sababu Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachia kielelezo, ili mzifuate nyayo zake.

222:22 Isa 53:7-9“Yeye hakutenda dhambi,

wala hila haikuonekana kinywani mwake.”

232:23 Lk 23:46Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa yeye ahukumuye kwa haki. 242:24 Isa 53:4-11; Rum 6:2; Za 103:3; Ebr 12:13Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, ili tufe kwa mambo ya dhambi, bali tupate kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi mmeponywa. 252:25 Isa 53:6; Yn 10:11Kwa maana mlikuwa mmepotea kama kondoo, lakini sasa mmerudi kwa Mchungaji na Mwangalizi wa roho zenu.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

彼得前書 2:1-25

渴慕靈奶

1因此,你們既然已經除去一切惡毒、欺詐、虛偽、嫉妒和毀謗, 2就要像初生的嬰兒一樣渴慕純淨的靈奶,好不斷成長,直到完全得救。 3因為你們嚐過主恩的滋味是何等甘美。

靈宮活石

4主是活石,雖然被人棄絕,卻被上帝揀選、視為寶貴。 5你們也如同活石,被用來建造屬靈的宮殿,好做聖潔的祭司,藉著耶穌基督獻上蒙上帝悅納的靈祭。 6因為聖經上說:

「看啊,我在錫安放了一塊蒙揀選的寶貴房角石,

信靠祂的人必不會蒙羞。」

7所以,對你們信的人而言,這石頭是寶貴的;但對那些不信的人來說,卻是:

「工匠丟棄的石頭,

已成了房角石。」

8也是:

「絆腳石和使人跌倒的磐石。」

他們跌倒是因為他們不順服真道,這種下場早已註定了。

9但你們是蒙揀選的族群,是君尊的祭司,是聖潔的國度,是上帝的子民,因此你們可以宣揚上帝的美德。祂曾呼召你們離開黑暗,進入祂奇妙的光明。 10從前你們不是上帝的子民,現在卻作了祂的子民;從前你們未蒙憐憫,現在卻蒙了憐憫。

上帝的僕人

11親愛的弟兄姊妹,你們是客旅,是寄居的,我勸你們要禁戒與靈魂為敵的邪情私慾。 12你們在異教徒當中要品行端正。這樣,儘管他們毀謗你們是作惡的人,但看見你們的好行為,也會在主來的日子把榮耀歸給上帝。

13為主的緣故,你們要服從人間的一切權柄,不管是居首位的君王, 14還是被君王派來賞善罰惡的官員。 15因為上帝的旨意是要你們行善,使那些愚昧無知的人啞口無言。 16你們是自由的人,不要以自由為藉口去犯罪作惡,要作上帝的奴僕。 17要尊重所有的人,愛主內的弟兄姊妹,敬畏上帝,尊敬君王。

受苦的榜樣

18你們做奴僕的,要存敬畏的心順服主人,不但順服那良善溫和的,也要順服那兇暴的。 19因為人若為了讓良心對得起上帝而忍受冤屈之苦,就會得到恩福。 20如果你們犯罪受責打,能夠忍受得住,有什麼功勞呢?但如果你們因行善而受苦,還能忍受,就是上帝所喜悅的。

21你們蒙召也是為此,因為基督也為你們受過苦,給你們留下榜樣,叫你們可以追隨祂的腳步。 22祂沒有犯罪,口中也沒有詭詐。 23祂被辱駡也不還口,被迫害也不揚言報復,只把自己交託給按公義施行審判的上帝。 24祂被釘在十字架上,親身擔當了我們的罪,使我們向著罪死了,可以過公義的生活。因祂所受的鞭傷,你們得到了醫治。 25從前你們好像是迷路的羊,現在卻歸向了你們靈魂的牧人和監護者。