1 Nyakati 9 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 9:1-44

19:1 1Nya 5:25Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli.

Watu Katika Yerusalemu

Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu. 29:2 Yos 9:27; Ezr 2:70; 8:20; Neh 7:5; Law 26:33; 2Nya 33:11; 36:5Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.9:2 Yaani Wanethini.

39:3 Neh 11:1Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:

Jamaa Za Yuda

49:4 Mwa 38:29; 46:12; Hes 26:20Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.

5Wazao wa Washiloni waliorudi ni:

Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.

6Kwa wana wa Zera:

Yeueli.

Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.

Jamaa Za Benyamini

7Kwa Benyamini walikuwa:

Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;

8Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.

9Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.

Jamaa Za Makuhani

109:10 Neh 11:10; 12:19Wa jamaa za makuhani walikuwa:

Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;

11Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.

129:12 Neh 10:3; Yer 38:1Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.

13Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.

Jamaa Za Walawi

149:14 1Nya 6:19; Neh 11:15-19Jamaa za Walawi walikuwa:

Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari. 159:15 2Nya 20:14; Neh 11:22Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu. 169:16 Neh 12:28; 1Nya 2:54; Neh 7:26Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.

Jamaa Za Mabawabu

179:17 Ezr 2:42; Neh 7:4; 1Nya 23:5; 26:1; Za 84:10Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa:

Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu. 189:18 Eze 43:1; 46:1; 2Fal 11:19; Eze 44:23Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi. 199:19 Yer 35:4; Hes 26:9-11Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana. 209:20 Hes 25:7-13; Kut 6:25; Hes 3:32; 31:6; Yos 22:30-31; Za 106:30Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:

219:21 1Nya 26:2, 14Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.

229:22 1Nya 26:1; 2Nya 31:15, 18; 1Sam 9:9Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli. 23Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema. 249:24 1Nya 26:13-19Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini. 259:25 2Fal 11:5; 2Nya 23:8Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba. 269:26 1Nya 26:22Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu. 279:27 Hes 3:38; 1Nya 23:30-32; 1Sam 22:22Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.

28Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa. 299:29 Hes 3:23; 1Nya 23:29Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo. 309:30 Kut 30:25; 37:29; Yer 6:20; Eze 27:19-22; Mk 14:3Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo. 319:31 Law 24:5-8; 2Nya 13:11; Law 6:21Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka. 329:32 Kut 40:23; Ebr 9:2, 24; Yn 6:32, 33Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.

339:33 1Nya 25:1-31; 2Nya 5:12; Za 134:1; 1Nya 6:31; 13:8; 15:16Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.

34Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

Ukoo Wa Sauli

(1 Nyakati 8:29-38)

359:35 1Nya 8:29Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka, 36mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 37Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi. 38Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

399:39 1Nya 8:33; 1Sam 9:1; 13:22; 2Sam 2:8Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.9:39 Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mtu wa Aibu (2Sam 2:8).

409:40 2Sam 4:4Yonathani akamzaa Merib-Baali,9:40 Pia anajulikana kwa jina la Mefiboshethi.

naye Merib-Baali akamzaa Mika.

419:41 2Sam 9:12; 1Nya 8:35Wana wa Mika walikuwa:

Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.

42Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa. 43Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

44Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao:

Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.

New International Reader’s Version

1 Chronicles 9:1-44

1The whole community of Israel was listed in their family histories. They were written down in the records of the kings of Israel and Judah. The people of Judah were taken away from their own land. They were taken as prisoners to Babylon. That’s because they weren’t faithful to the Lord.

The People Who Lived in Jerusalem

2The first people who came back from Babylon were some Israelites, priests, Levites and temple servants. They made their homes again in their own towns on their own property.

3Some of them lived in Jerusalem. They included people from Judah, Benjamin, Ephraim and Manasseh.

4They included Uthai. He was the son of Ammihud. Ammihud was the son of Omri. Omri was the son of Imri. Imri was the son of Bani. Bani belonged to the family line of Perez. Perez was the son of Judah.

5The family line of Shelah included

his oldest son Asaiah. It also included the sons of Asaiah.

6The family line of Zerah included

Jeuel.

The total number of the people of Judah was 690.

7The family line of Benjamin included

Sallu. He was the son of Meshullam. Meshullam was the son of Hodaviah. Hodaviah was the son of Hassenuah.

8Ibneiah was the son of Jeroham.

Elah was the son of Uzzi. Uzzi was the son of Mikri.

Meshullam was the son of Shephatiah. Shephatiah was the son of Reuel. Reuel was the son of Ibnijah.

9The total number of the people of Benjamin was 956. They were listed in their family history. All these men were the leaders of their families.

10The family line of the priests included

Jedaiah, Jehoiarib and Jakin.

11It also included Azariah. He was the son of Hilkiah. Hilkiah was the son of Meshullam. Meshullam was the son of Zadok. Zadok was the son of Meraioth. Meraioth was the son of Ahitub. Azariah was the official who was in charge of the house of God.

12Adaiah was the son of Jeroham. Jeroham was the son of Pashhur. Pashhur was the son of Malkijah.

Maasai was the son of Adiel. Adiel was the son of Jahzerah. Jahzerah was the son of Meshullam. Meshullam was the son of Meshillemith. Meshillemith was the son of Immer.

13The total number of priests was 1,760. They were the leaders of their families. They were able men. It was their duty to serve in the house of God.

14The family line of the Levites included

Shemaiah. He was the son of Hasshub. Hasshub was the son of Azrikam. Azrikam was the son of Hashabiah. Shemaiah belonged to the family line of Merari.

15The family line of the Levites also included Bakbakkar, Heresh, Galal and Mattaniah. Mattaniah was the son of Mika. Mika was the son of Zikri. Zikri was the son of Asaph.

16Obadiah was the son of Shemaiah. Shemaiah was the son of Galal. Galal was the son of Jeduthun.

Berekiah was the son of Asa. Asa was the son of Elkanah. He lived in the villages of the people of Netophah.

17The men who guarded the gates were

Shallum, Akkub, Talmon, Ahiman and other Levites. Shallum was their chief. 18He was stationed at the King’s Gate on the east side. That duty has continued to this day. These guards belonged to the camp of the Levites.

19Shallum was the son of Kore. Kore was the son of Ebiasaph. Ebiasaph was the son of Korah. Shallum and the other Levites in his family belonged to the family line of Korah. They had the duty of guarding the entrances to the tent. From long ago, their people had the duty of guarding the entrance to the house of the Lord.

20Long ago Phinehas, the son of Eleazar, was in charge of those who guarded the gate. And the Lord was with him.

21Zechariah guarded the entrance to the tent of meeting. He was the son of Meshelemiah.

22The total number of the men who were chosen to guard the entrances was 212. They were listed in their family history in their villages.

David and Samuel the prophet had appointed them to their positions. They appointed them because they trusted them. 23These Levites and their children after them were in charge of guarding the gates of the house of the Lord. The house of the Lord was also called the tent of meeting. 24The men who guarded the gates were on the four sides of the tent. They were on the east, west, north and south sides. 25From time to time, their relatives in their villages had to come to help them. They had to share their duties for a week at a time. 26But the four main men who guarded the gates were Levites. They were trusted with the duty of taking care of the storerooms and the other rooms in the house of God. 27They spent the night in their positions around the house of God. That’s because they had to guard it. They were in charge of the key that opened it each morning.

28Some Levites were in charge of the objects that were used when they served at the temple. They counted the objects when they were brought in. They also counted them when they were taken out. 29Other Levites were appointed to take care of all the other things that belonged to the temple. They also took care of the special flour, wine, olive oil, incense and spices. 30Some of the priests took care of mixing the spices. 31There was a Levite named Mattithiah. He was the oldest son of Shallum. Shallum belonged to the family line of Korah. Mattithiah was trusted with the duty of baking the offering bread. 32The bread was placed on the table every Sabbath day. Some Levites in the family line of Kohath were in charge of preparing the bread.

33Those who led the music lived in rooms in the temple. They were the leaders of their Levite families. Their only duty was to lead the music. They had to do that work day and night.

34All of them were the leaders of their Levite families. They were listed as chiefs in their family history. They lived in Jerusalem.

The Family History of Saul

35Jeiel lived in the city of Gibeon. He was the father of Gibeon.

Jeiel had a wife named Maakah. 36His oldest son was Abdon. His other sons were Zur, Kish, Baal, Ner, Nadab, 37Gedor, Ahio, Zechariah and Mikloth. 38Mikloth was the father of Shimeam. Mikloth and Shimeam lived near their relatives in Jerusalem.

39Ner was the father of Kish. Kish was the father of Saul. Saul was the father of Jonathan, Malki-Shua, Abinadab and Esh-Baal.

40The son of Jonathan was

Merib-Baal. Merib-Baal was the father of Micah.

41The sons of Micah were

Pithon, Melek, Tahrea and Ahaz. 42Ahaz was the father of Jadah. Jadah was the father of Alemeth, Azmaveth and Zimri. Zimri was the father of Moza. 43Moza was the father of Binea. Rephaiah was Binea’s son. Eleasah was Rephaiah’s son. And Azel was Eleasah’s son.

44Azel had six sons. Their names were

Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah and Hanan. They were the sons of Azel.