1 Nyakati 8 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 8:1-40

Ukoo Wa Sauli Mbenyamini

18:1 Mwa 46:21; 1Nya 7:6; Hes 26:38Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza,

Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,

2Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.

38:3 Mwa 46:21Wana wa Bela walikuwa:

Adari, Gera, Abihudi, 48:4 2Sam 23:9Abishua, Naamani, Ahoa, 5Gera, Shefufani na Huramu.

68:6 Amu 3:12-30; 1Nya 2:52; Neh 6:2Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:

7Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.

8Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara. 9Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu, 10Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao. 11Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

128:12 Ezr 2:33; Neh 7:37Wana wa Elpaali walikuwa:

Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka), 138:13 Yos 10:12; Yn 11:22; Yos 19:42na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

14Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi, 15Zebadia, Aradi, Ederi, 16Mikaeli, Ishpa, na Yoha.

17Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi, 18Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.

19Yakimu, Zikri, Zabdi, 20Elienai, Silethai, Elieli, 21Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.

22Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli, 23Abdoni, Zikri, Hanani, 24Hanania, Elamu, Anthothiya, 25Ifdeya na Penueli.

26Shamsherai, Sheharia, Athalia, 27Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.

28Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

298:29 Yos 9:3; 1Nya 9:35Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.

Mke wake aliitwa Maaka. 30Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 318:31 1Nya 9:37Gedori, Ahio, Zekeri, 32na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

338:33 1Sam 28:19; 9:1; 14:49; 2Sam 2:8; Mdo 13:21Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.

348:34 2Sam 9:12; 4:4; 21:7-14Yonathani akamzaa:

Merib-Baali,8:34 Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (Amu 6:32); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona 2Sam 4:4). naye Merib-Baali akamzaa Mika.

35Wana wa Mika walikuwa:

Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

36Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa. 37Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

38Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:

Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.

39Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:

Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti. 408:40 Hes 26:38; 1Nya 12:2; 2Nya 11:1; 13:3; Neh 4:13; Wim 3:7-8; Efe 6:11-20Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150.

Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

Bibelen på hverdagsdansk

1. Krønikebog 8:1-40

Benjamins slægt

1Benjamin fik følgende sønner i rækkefølge efter alder: Bela, Ashbel, Ahiram, 2Noha og Rafa. 3Fra Bela nedstammer slægtsoverhovederne Addar, Gera, Abihud, 4Abishua, Na’aman, Ahoa, 5Gera, Shefufan og Huram.

6-7Ehuds sønner Na’aman, Ahija og Gera var slægtsoverhoveder for dem, der boede i Geba. Men befolkningen blev drevet bort og flyttede til Manahat. Gera, som blev far til Uzza og Ahihud, var deres leder.8,6-7 Teksten er uklar og meningen omstridt.

8-10Shaharajim lod sig skille fra sine koner, Hushim og Ba’ara, og flyttede til Moabs land, hvor han giftede sig med Hodesh, og fra ham nedstammer slægtsoverhovederne Jobab, Zibja, Mesha, Malkam, Jeutz, Sakeja og Mirma.

11Med Hushim havde Shaharajim tidligere fået sønnerne Abitub og Elpa’al. 12Elpa’al fik sønnerne Eber, Misham og Shemed. Sidstnævnte grundlagde byerne Ono og Lod med tilhørende landsbyer. 13Desuden fik han sønnerne Beria og Shema, der var overhoveder for den del af slægten, som slog sig ned i Ajjalon og fordrev Gats indbyggere. 14Elpa’al fik også sønnerne Shashak og Jeremot.8,14 Teksten usikker.

15-16Fra Beria nedstammer følgende slægtsoverhoveder: Zebadja, Arad, Eder, Mikael, Jishpa og Joha.

17-18Fra Elpa’al nedstammer Zebadja, Meshullam, Hizki, Heber, Jishmeraj, Jizlia og Jobab.

19-21Fra Shimi nedstammer Jakim, Zikri, Zabdi, Elienaj, Zilletaj, Eliel, Adaja, Beraja og Shimrat.

22-25Fra Shashak nedstammer Jishpan, Eber, Eliel, Abdon, Zikri, Hanan, Hananja, Elam, Antotija, Jifdeja og Penuel.

26-27Fra Jeroham nedstammer Shamsheraj, Sheharja, Atalja, Ja’areshja, Elija og Zikri. 28De var slægtsoverhoveder i Benjamins slægt, og de boede alle i Jerusalem.

Folkene i Gibeon og Sauls slægt

29En mand ved navn Jeiel8,29 Fra 9,35. En variant af „Abiel” (1.Sam. 9,1). grundlagde byen Gibeon og bosatte sig der sammen med sin kone Ma’aka. 30Hans sønner var i rækkefølge efter alder: Abdon, Zur, Kish, Ba’al, Ner,8,30 Efter LXX. Både „Ner”, „Miklot” og noget af „Zekarja” mangler i de hebraiske manuskripter, jf. 9,36-44. Nadab, 31Gedor, Ahjo, Zeker8,31 En kortere form af Zekarja, jf. 9,37. og Miklot. 32Miklot blev far til Shima. De boede alle sammen tæt ved deres slægtninge i Jerusalem.

33Ner blev far til Kish,8,33 Sandsynligvis en fejl, da Ner ifølge 1.Sam. 14,50 var bror til den Kish, som blev far til Saul. og Kish blev far til Saul. Saul fik sønnerne Jonatan, Malkishua, Abinadab og Eshba’al. 34Jonatan fik sønnen Meribba’al,8,34 Bedre kendt under navnet Mefiboshet. som fik sønnen Mika. 35Mika fik sønnerne Piton, Melek, Tarea og Ahaz.

36Ahaz blev far til Jeho’adda, som blev far til Alemet, Azmavet og Zimri.

Zimri blev far til Moza, 37som blev far til Bina. Bina blev far til Rafa, som blev far til Elasa, som igen blev far til Atzel.

38Atzel fik sønnerne Azrikam, Bokeru, Jishmael, Shearja, Obadja og Hanan.

39Atzels bror Eshek fik sønnerne Ulam, Jeush og Elifelet. 40Ulams sønner var dygtige bueskytter, og han havde ualmindeligt mange børn og børnebørn, i alt 150. Alle de her nævnte personer tilhørte Benjamins stamme.