1 Nyakati 7 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 7:1-40

Wana Wa Isakari

17:1 Mwa 30:18; Hes 26:23; Mwa 46:13Wana wa Isakari walikuwa:

Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.

27:2 2Sam 24:1-2; 1Nya 21:1-5; 27:1Wana wa Tola walikuwa:

Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.

37:3 1Nya 5:24Mwana wa Uzi alikuwa:

Izrahia.

Wana wa Izrahia walikuwa:

Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao. 4Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.

5Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.

Wana Wa Benyamini

67:6 Mwa 46:21; Hes 26:38Wana watatu wa Benyamini walikuwa:

Bela, Bekeri na Yediaeli.

7Wana wa Bela walikuwa:

Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.

8Wana wa Bekeri walikuwa:

Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri. 97:9 Kum 10:8Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.

10Mwana wa Yediaeli alikuwa:

Bilhani.

Wana wa Bilhani walikuwa:

Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari. 11Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.

127:12 Hes 26:38-39Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.

Wana Wa Naftali

137:13 Mwa 30:8; 46:24Wana wa Naftali walikuwa:

Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.

Wana Wa Manase

147:14 Mwa 41:51; Yos 17:1; Hes 26:30Wana wa Manase walikuwa:

Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi. 157:15 Hes 26:33; 36:1-12; 27:1-11Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu. 16Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.

177:17 Hes 26:30; 1Sam 12:11Mwana wa Ulamu alikuwa:

Bedani.

Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase. 187:18 Yos 17:2Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.

19Wana wa Shemida walikuwa:

Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.

Wana Wa Efraimu

207:20 Mwa 41:52; Hes 26:35; Mwa 48:14-20; Kum 33:13, 17; Za 60:7; 108:8Wana wa Efraimu walikuwa:

Shuthela, ambaye alimzaa Beredi,

Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada,

Eleada akamzaa Tahathi, 21Tahathi akamzaa Zabadi,

na Zabadi akamzaa Shuthela.

Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao. 227:22 Mwa 37:34-35; Yos 7:6; 2Sam 3:31; Ay 2:11; Za 69:11; Yoe 2:13; Yn 1:19Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji. 237:23 Mwa 35:18; 1Sam 4:21; 1Nya 4:9Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake. 247:24 Yos 10:10; 16:3, 5; 16:3; 1Sam 13:18; 2Nya 8:5Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.

25Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu,

Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,

26Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi,

Amihudi akamzaa Elishama, 277:27 Hes 13:8, 16Elishama akamzaa Nuni,

Nuni akamzaa Yoshua.

287:28 Yos 10:33; 16:7Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake. 297:29 Yos 17:11; 11:2; 1Fal 9:15; Amu 1:22-29Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.

Wana Wa Asheri

307:30 Mwa 40:17; Hes 26:44; Mwa 49:20; Kum 33:24Wana wa Asheri walikuwa:

Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.

31Wana wa Beria walikuwa:

Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.

32Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.

33Wana wa Yafleti walikuwa:

Pasaki, Bimhali na Ashvathi.

Hawa walikuwa wana wa Yafleti.

34Wana wa Shemeri walikuwa:

Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.

35Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa:

Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.

36Wana wa Sofa walikuwa:

Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra, 37Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani7:37 Kwa jina lingine Yetheri. na Beera.

38Wana wa Yetheri walikuwa:

Yefune, Pispa na Ara.

39Wana wa Ula walikuwa:

Ara, Hanieli na Risia.

407:40 Kum 2:14Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

New Russian Translation

1 Паралипоменон 7:1-40

Потомки Иссахара

1Сыновья Иссахара:

Тола, Фуа, Иашув и Шимрон – четверо.

2Сыновья Толы:

Уззий, Рефая, Иериил, Иахмай, Ивсам и Самуил – главы своих семейств. Во время правления Давида потомков Толы, исчисленных в их родословии как воинов, было двадцать две тысячи шестьсот человек.

3Сын Уззия:

Израхиа.

Сыновья Израхии:

Михаил, Авдий, Иоиль и Ишшия. Все пятеро были вождями. 4По их родословию, у них было тридцать шесть тысяч мужчин, годных к сражению, потому что у этих вождей было много жен и сыновей.

5Их родственников, храбрых воинов, во всех кланах Иссахара, по исчислению родословия, было всего восемьдесят семь тысяч человек.

Потомки Вениамина

6Три сына Вениамина:

Бела, Бехер и Иедиаил.

7Сыновья Белы:

Эцбон, Уззий, Уззиил, Иеримот и Ири – главы семейств – всего пятеро. В их родословии значатся двадцать две тысячи тридцать четыре храбрых воина.

8Сыновья Бехера:

Земира, Иоаш, Элиезер, Элиоэнай, Омри, Иеримот, Авия, Анатот и Алемет – все они сыновья Бехера. 9В их родословии значатся главы семейств и двадцать тысяч двести храбрых воинов.

10Сын Иедиаила:

Билган.

Сыновья Билгана:

Иеуш, Вениамин, Ехуд, Хенаана, Зетан, Таршиш и Ахишахар. 11Все эти сыновья Иедиаила были главами семейств. Храбрых воинов, готовых идти на войну, было семнадцать тысяч двести человек.

12Шупим и Хупим, были сыновьями Ира, а Хушим – сыном Ахера.

Потомки Неффалима

13Сыновья Неффалима:

Иахцеил, Гуни, Иецер и Шиллем – потомки Валлы.

Потомки Манассии

14Потомки Манассии:

Асриил, которого родила наложница его арамеянка. Она родила Махира, отца Галаада. 15Махир взял себе в жены Мааху, сестру Хупима и Шупима.

Другого потомка Манассии звали Целофхад; у него были только дочери7:15 См. Чис. 36:1-12..

16Жена Махира Мааха родила сына и назвала его Переш. Его брата назвали Шереш, а его сыновей – Улам и Рекем.

17Сын Улама:

Бедан.

Это сыновья Галаада, сына Махира, внука Манассии. 18Его сестра Амолехет родила Ишода, Авиезера и Махлу.

19Сыновьями Шемиды были

Ахиан, Шехем, Ликхи и Аниам.

Потомки Ефрема

20Сыновья Ефрема:

Шутелах, его сын Беред,

его сын Тахаф, его сын Элеада,

его сын Тахаф, 21его сын Завад,

его сын Шутелах.

Эзера и Элеада убили коренные жители Гата за то, что они пришли угнать их скот. 22Их отец Ефрем оплакивал их много дней, и его родственники приходили утешать его. 23Он лег со своей женой, и она зачала и родила сына. Он назвал его Берия7:23 По звучанию это слово напоминает еврейское слово «несчастье»., потому что несчастье пришло в его дом. 24Его дочерью была Шеера, которая построила Нижний и Верхний Бет-Хорон, и Уззен-Шееру.

25Рефах был его сыном, а его сыном был Решеф,

его сыном Телах, его сыном Тахан,

26его сыном Лаедан, его сыном Аммиуд,

его сыном Элишама, 27его сыном Нав, его сыном Иисус.

28Их земли и поселения включали Вефиль с окрестными поселениями, Нааран на востоке, Гезер с окрестными поселениями на западе и Шехем с окрестными поселениями до самой Гаи7:28 Или: «Газы». и окрестных поселений. 29На границах земель манасситов находились Бет-Шеан, Таанах, Мегиддо и Дор с их окрестными поселениями. В этих городах жили потомки Иосифа, сына Израиля.

Потомки Асира

30Сыновья Асира:

Имна, Ишва, Ишви и Берия. Их сестрой была Серах.

31Сыновья Берии:

Хевер и Малхиил, который был отцом Бирзаифа.

32Хевер был отцом Иафлета, Шомера, Хофама и их сестры Шуи.

33Сыновья Иафлета:

Пасах, Бимгал и Ашваф – это сыновья Иафлета.

34Сыновья Шемера:

Ахи, Рохга7:34 Или: «Сыновья его брата Шемера: Рохга»., Хубба и Арам.

35Сыновья Гелема7:35 Гелем – возможно другое имя Хотама (см. ст. 32)., его брата:

Цофах, Имна, Шелеш и Амал.

36Сыновья Цофаха:

Суах, Харнефер, Шуал, Бери, Имра, 37Бецер, Год, Шамма, Шилша, Ифран7:37 Ифран – возможно вариант имени Иефер (см. ст. 38). и Беэра.

38Сыновья Иефера:

Иефунни, Фиспа и Ара.

39Сыновья Уллы:

Арах, Ханниил и Риция.

40Все они были потомками Асира – главы кланов, избранные, храбрые воины, великие вожди. По родословным спискам у них насчитывалось двадцать шесть тысяч мужчин, готовых для битвы.