1 Nyakati 7 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 7:1-40

Wana Wa Isakari

17:1 Mwa 30:18; Hes 26:23; Mwa 46:13Wana wa Isakari walikuwa:

Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.

27:2 2Sam 24:1-2; 1Nya 21:1-5; 27:1Wana wa Tola walikuwa:

Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.

37:3 1Nya 5:24Mwana wa Uzi alikuwa:

Izrahia.

Wana wa Izrahia walikuwa:

Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao. 4Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.

5Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.

Wana Wa Benyamini

67:6 Mwa 46:21; Hes 26:38Wana watatu wa Benyamini walikuwa:

Bela, Bekeri na Yediaeli.

7Wana wa Bela walikuwa:

Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.

8Wana wa Bekeri walikuwa:

Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri. 97:9 Kum 10:8Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.

10Mwana wa Yediaeli alikuwa:

Bilhani.

Wana wa Bilhani walikuwa:

Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari. 11Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.

127:12 Hes 26:38-39Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.

Wana Wa Naftali

137:13 Mwa 30:8; 46:24Wana wa Naftali walikuwa:

Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.

Wana Wa Manase

147:14 Mwa 41:51; Yos 17:1; Hes 26:30Wana wa Manase walikuwa:

Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi. 157:15 Hes 26:33; 36:1-12; 27:1-11Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu. 16Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.

177:17 Hes 26:30; 1Sam 12:11Mwana wa Ulamu alikuwa:

Bedani.

Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase. 187:18 Yos 17:2Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.

19Wana wa Shemida walikuwa:

Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.

Wana Wa Efraimu

207:20 Mwa 41:52; Hes 26:35; Mwa 48:14-20; Kum 33:13, 17; Za 60:7; 108:8Wana wa Efraimu walikuwa:

Shuthela, ambaye alimzaa Beredi,

Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada,

Eleada akamzaa Tahathi, 21Tahathi akamzaa Zabadi,

na Zabadi akamzaa Shuthela.

Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao. 227:22 Mwa 37:34-35; Yos 7:6; 2Sam 3:31; Ay 2:11; Za 69:11; Yoe 2:13; Yn 1:19Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji. 237:23 Mwa 35:18; 1Sam 4:21; 1Nya 4:9Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake. 247:24 Yos 10:10; 16:3, 5; 16:3; 1Sam 13:18; 2Nya 8:5Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.

25Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu,

Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,

26Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi,

Amihudi akamzaa Elishama, 277:27 Hes 13:8, 16Elishama akamzaa Nuni,

Nuni akamzaa Yoshua.

287:28 Yos 10:33; 16:7Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake. 297:29 Yos 17:11; 11:2; 1Fal 9:15; Amu 1:22-29Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.

Wana Wa Asheri

307:30 Mwa 40:17; Hes 26:44; Mwa 49:20; Kum 33:24Wana wa Asheri walikuwa:

Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.

31Wana wa Beria walikuwa:

Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.

32Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.

33Wana wa Yafleti walikuwa:

Pasaki, Bimhali na Ashvathi.

Hawa walikuwa wana wa Yafleti.

34Wana wa Shemeri walikuwa:

Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.

35Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa:

Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.

36Wana wa Sofa walikuwa:

Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra, 37Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani7:37 Kwa jina lingine Yetheri. na Beera.

38Wana wa Yetheri walikuwa:

Yefune, Pispa na Ara.

39Wana wa Ula walikuwa:

Ara, Hanieli na Risia.

407:40 Kum 2:14Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

King James Version

1 Chronicles 7:1-40

1Now the sons of Issachar were, Tola, and Puah, Jashub, and Shimron, four. 2And the sons of Tola; Uzzi, and Rephaiah, and Jeriel, and Jahmai, and Jibsam, and Shemuel, heads of their father’s house, to wit, of Tola: they were valiant men of might in their generations; whose number was in the days of David two and twenty thousand and six hundred. 3And the sons of Uzzi; Izrahiah: and the sons of Izrahiah; Michael, and Obadiah, and Joel, Ishiah, five: all of them chief men. 4And with them, by their generations, after the house of their fathers, were bands of soldiers for war, six and thirty thousand men: for they had many wives and sons. 5And their brethren among all the families of Issachar were valiant men of might, reckoned in all by their genealogies fourscore and seven thousand.

6The sons of Benjamin; Bela, and Becher, and Jediael, three. 7And the sons of Bela; Ezbon, and Uzzi, and Uzziel, and Jerimoth, and Iri, five; heads of the house of their fathers, mighty men of valour; and were reckoned by their genealogies twenty and two thousand and thirty and four. 8And the sons of Becher; Zemira, and Joash, and Eliezer, and Elioenai, and Omri, and Jerimoth, and Abiah, and Anathoth, and Alameth. All these are the sons of Becher. 9And the number of them, after their genealogy by their generations, heads of the house of their fathers, mighty men of valour, was twenty thousand and two hundred. 10The sons also of Jediael; Bilhan: and the sons of Bilhan; Jeush, and Benjamin, and Ehud, and Chenaanah, and Zethan, and Tharshish, and Ahishahar. 11All these the sons of Jediael, by the heads of their fathers, mighty men of valour, were seventeen thousand and two hundred soldiers, fit to go out for war and battle. 12Shuppim also, and Huppim, the children of Ir, and Hushim, the sons of Aher.7.12 Ir: or, Iri7.12 Aher: or, Ahiram

13¶ The sons of Naphtali; Jahziel, and Guni, and Jezer, and Shallum, the sons of Bilhah.

14¶ The sons of Manasseh; Ashriel, whom she bare: (but his concubine the Aramitess bare Machir the father of Gilead: 15And Machir took to wife the sister of Huppim and Shuppim, whose sister’s name was Maachah;) and the name of the second was Zelophehad: and Zelophehad had daughters. 16And Maachah the wife of Machir bare a son, and she called his name Peresh; and the name of his brother was Sheresh; and his sons were Ulam and Rakem. 17And the sons of Ulam; Bedan. These were the sons of Gilead, the son of Machir, the son of Manasseh. 18And his sister Hammoleketh bare Ishod, and Abiezer, and Mahalah. 19And the sons of Shemida were, Ahian, and Shechem, and Likhi, and Aniam.

20¶ And the sons of Ephraim; Shuthelah, and Bered his son, and Tahath his son, and Eladah his son, and Tahath his son,

21¶ And Zabad his son, and Shuthelah his son, and Ezer, and Elead, whom the men of Gath that were born in that land slew, because they came down to take away their cattle. 22And Ephraim their father mourned many days, and his brethren came to comfort him.

23¶ And when he went in to his wife, she conceived, and bare a son, and he called his name Beriah, because it went evil with his house. 24(And his daughter was Sherah, who built Beth-horon the nether, and the upper, and Uzzen-sherah.) 25And Rephah was his son, also Resheph, and Telah his son, and Tahan his son, 26Laadan his son, Ammihud his son, Elishama his son, 27Non his son, Jehoshua his son.7.27 Non: or, Nun7.27 Jehoshua: or, Joshua

28¶ And their possessions and habitations were, Beth-el and the towns thereof, and eastward Naaran, and westward Gezer, with the towns thereof; Shechem also and the towns thereof, unto Gaza and the towns thereof:7.28 towns: Heb. daughters7.28 unto Gaza: or, Adassa 29And by the borders of the children of Manasseh, Beth-shean and her towns, Taanach and her towns, Megiddo and her towns, Dor and her towns. In these dwelt the children of Joseph the son of Israel.7.29 towns: Heb. daughters

30¶ The sons of Asher; Imnah, and Isuah, and Ishuai, and Beriah, and Serah their sister. 31And the sons of Beriah; Heber, and Malchiel, who is the father of Birzavith. 32And Heber begat Japhlet, and Shomer, and Hotham, and Shua their sister. 33And the sons of Japhlet; Pasach, and Bimhal, and Ashvath. These are the children of Japhlet. 34And the sons of Shamer; Ahi, and Rohgah, Jehubbah, and Aram. 35And the sons of his brother Helem; Zophah, and Imna, and Shelesh, and Amal. 36The sons of Zophah; Suah, and Harnepher, and Shual, and Beri, and Imrah, 37Bezer, and Hod, and Shamma, and Shilshah, and Ithran, and Beera. 38And the sons of Jether; Jephunneh, and Pispah, and Ara. 39And the sons of Ulla; Arah, and Haniel, and Rezia. 40All these were the children of Asher, heads of their father’s house, choice and mighty men of valour, chief of the princes. And the number throughout the genealogy of them that were apt to the war and to battle was twenty and six thousand men.