1 Nyakati 6 – NEN & CCL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 6:1-81

Wana Wa Lawi

16:1 Mwa 29:34; Kut 6:16Wana wa Lawi walikuwa:

Gershoni, Kohathi na Merari.

2Wana wa Kohathi walikuwa:

Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

36:3 Law 10:1–20:2; Kut 6:23; 24:1Amramu alikuwa na wana:

Aroni, Mose, na Miriamu.

Aroni alikuwa na wana:

Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

4Eleazari akamzaa Finehasi,

Finehasi akamzaa Abishua,

5Abishua akamzaa Buki,

Buki akamzaa Uzi,

6Uzi akamzaa Zerahia,

Zerahia akamzaa Merayothi,

7Merayothi akamzaa Amaria,

Amaria akamzaa Ahitubu,

86:8 2Sam 15:27; Ezr 7:2; 2Sam 8:17Ahitubu akamzaa Sadoki,

Sadoki akamzaa Ahimaasi,

9Ahimaasi akamzaa Azaria,

Azaria akamzaa Yohanani,

106:10 1Fal 6:1; 2Nya 3:1; 26:17-18Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),

116:11 Ezr 7:3Azaria akamzaa Amaria,

Amaria akamzaa Ahitubu,

12Ahitubu akamzaa Sadoki,

Sadoki akamzaa Shalumu,

136:13 2Fal 22:5-20; 2Nya 35:8Shalumu akamzaa Hilkia,

Hilkia akamzaa Azaria,

146:14 Ezr 2:2; Neh 11:11Azaria akamzaa Seraya,

Seraya akamzaa Yehosadaki.

156:15 2Fal 25:18; Zek 6:11; 2Nya 36:17-21Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.

166:16 Mwa 29:34; Kut 6:16; Hes 26:57Wana wa Lawi walikuwa:

Gershoni, Kohathi na Merari.

17Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni:

Libni na Shimei.

18Wana wa Kohathi walikuwa:

Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

196:19 Mwa 46:11; 1Nya 23:21; Hes 3:33Wana wa Merari walikuwa:

Mahli na Mushi.

Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:

20Wazao wa Gershoni:

Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi,

Yahathi akamzaa Zima, 216:21 1Nya 6:41-42Zima akamzaa Yoa,

Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera,

Zera akamzaa Yeatherai.

226:22 Kut 6:24Wazao wa Kohathi:

Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora,

Kora akamzaa Asiri, 23Asiri akamzaa Elikana,

Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,

246:24 1Nya 15:5Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli,

Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.

25Wazao wa Elikana walikuwa:

Amasai na Ahimothi,

26Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai,

Sofai akamzaa Nahathi, 276:27 1Sam 1:1; 1:20Nahathi akamzaa Eliabu,

Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana,

Elikana akamzaa Samweli.

286:28 1Nya 6:33; 1Sam 8:2Wana wa Samweli walikuwa:

Yoeli mzaliwa wake wa kwanza,

na Abiya mwanawe wa pili.

29Wafuatao ndio wazao wa Merari:

Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni,

Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,

30Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia,

Hagia akamzaa Asaya.

Waimbaji Wa Hekalu

316:31 2Nya 29:25-26; Neh 12:45; Ezr 3:10; Za 68:29; 1Nya 16:1; 2Sam 6:17; 1Fal 8:4Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko. 32Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.

336:33 1Fal 4:31; 1Nya 15:17; Mit 28Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao:

Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa:

Hemani, mpiga kinanda,

alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,

346:34 1Sam 1:1mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu,

mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

35mwana wa Sufu, mwana wa Elikana,

mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,

36mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli,

mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,

376:37 Kut 6:24mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri,

mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,

386:38 Kut 6:21mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi,

mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;

396:39 2Nya 29:13; Neh 11:17; 1Nya 15:17na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume:

Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,

40mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya,

mwana wa Malkiya, 41mwana wa Ethni,

mwana wa Zera, mwana wa Adaya,

42mwana wa Ethani, mwana wa Zima,

mwana wa Shimei, 43mwana wa Yahathi,

mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.

44Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto:

Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi,

mwana wa Maluki, 45mwana wa Hashabia,

mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,

46mwana wa Amsi, mwana wa Bani,

mwana wa Shemeri, 47mwana wa Mahli,

mwana wa Mushi, mwana wa Merari,

mwana wa Lawi.

486:48 1Nya 23:32Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu. 496:49 Kut 27:1-8; 30:1-7, 10; 2Nya 26:18; Kut 29:38; Hes 3:10; 18:7; Ebr 5:1; 1Sam 2:28; 1Nya 23:13Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.

506:50 Kut 6:23; Hes 3; 2; 26:60; 1Nya 24:1; Ezr 7:2-5Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni:

Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi,

Finehasi akamzaa Abishua, 51Abishua akamzaa Buki,

Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,

52Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria,

Amaria akamzaa Ahitubu, 536:53 2Sam 8:17Ahitubu akamzaa Sadoki,

Sadoki akamzaa Ahimaasi.

546:54 Hes 31:10; 35:1-9; Yos 21:9-19Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

556:55 Yos 21:11-12Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka. 566:56 Yos 14:13; 15:13Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.

576:57 Hes 33:20; Yos 15:48; 21:13Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa, 586:58 Yos 10:42Hileni, Debiri, 596:59 Yos 15:42; 21:16Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. 606:60 Yer 1:1Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho.

Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.

61Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.

62Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.

636:63 Yos 21:7, 34Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

646:64 Hes 35:1-8; Yos 21:3, 41-42Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho. 65Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.

66Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.

676:67 Yos 10:33; Mwa 33:19; Yos 21:21Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri, 686:68 1Fal 4:12; Yos 10:10Yokmeamu, Beth-Horoni, 696:69 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.

70Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.

716:71 1Nya 23:7; Yos 20:8; 21:27Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho:

Katika nusu ya kabila la Manase:

walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.

726:72 Yos 19:12Kutoka kabila la Isakari

walipokea Kedeshi, Daberathi, 73Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.

746:74 Yos 19:28Kutoka kabila la Asheri

walipokea Mashali, Abdoni, 756:75 Yos 19:34; Hes 13:21Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.

76Kutoka kabila la Naftali

walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.

77Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo:

kutoka kabila la Zabuloni

walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.

786:78 Yos 20:8Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko

walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa, 796:79 Kum 2:26Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.

806:80 Yos 20:8; Mwa 32:2Na kutoka kabila la Gadi

walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu, 816:81 Hes 21:32; 2Nya 11:14; Kum 2:24; Yos 13:10; Isa 15:4; Yer 48:34Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.

Mawu a Mulungu mu Chichewa Chalero

1 Mbiri 6:1-81

Fuko la Levi

1Ana a Levi anali awa:

Geresoni, Kohati ndi Merari.

2Ana a Kohati anali awa:

Amramu, Izihari, Hebroni ndi Uzieli.

3Ana a Amramu anali awa:

Aaroni, Mose ndi Miriamu.

Ana a Aaroni anali awa:

Nadabu, Abihu, Eliezara ndi Itamara

4Eliezara anabereka Finehasi,

Finehasi anabereka Abisuwa,

5Abisuwa anabereka Buki,

Buki anabereka Uzi.

6Uzi anabereka Zerahiya,

Zerahiya anabereka Merayoti,

7Merayoti anabereka Amariya,

Amariya anabereka Ahitubi.

8Ahitubi anabereka Zadoki,

Zadoki anabereka Ahimaazi.

9Ahimaazi anabereka Azariya,

Azariya anabereka Yohanani,

10Yohanani anabereka Azariya (uyu ndi amene anatumikira monga wansembe mʼNyumba ya Mulungu imene Solomoni anamanga mu Yerusalemu),

11Azariya anabereka Amariya,

Amariya anabereka Ahitubi,

12Ahitubi anabereka Zadoki,

Zadoki anabereka Salumu,

13Salumu anabereka Hilikiya,

Hilikiya anabereka Azariya,

14Azariya anabereka Seraya,

ndipo Seraya anabereka Yehozadaki.

15Yehozadaki anagwidwa ukapolo pamene Yehova analola Nebukadinezara kuti agwire ukapolo Yuda ndi Yerusalemu.

16Ana a Levi anali awa:

Geresomu, Kohati ndi Merari.

17Mayina a ana a Geresomu ndi awa:

Libini ndi Simei.

18Ana a Kohati anali awa:

Amramu, Izihari, Hebroni ndi Uzieli.

19Ana a Merari anali awa:

Mahili ndi Musi.

Mayina a mabanja a fuko la Levi olembedwa potsata makolo awo ndi awa:

20Ana a Geresomu ndi awa:

Libini, Yehati,

Zima, 21Yowa,

Ido, Zera

ndi Yeaterai.

22Zidzukulu za Kohati ndi izi:

Aminadabu, Kora,

Asiri, 23Elikana,

Ebiyasafu, Asiri,

24Tahati, Urieli,

Uziya ndi Sauli.

25Zidzukulu za Elikana ndi izi:

Amasai, Ahimoti,

26Elikana, Zofai,

Nahati, 27Eliabu,

Yerohamu, Elikana

ndi Samueli.

28Ana a Samueli ndi awa:

Mwana wake woyamba anali Yoweli,

wachiwiri anali Abiya.

29Zidzukulu za Merari ndi izi:

Mahili, Libini,

Simei, Uza,

30Simea, Hagiya

ndi Asaya.

Oyimba mʼNyumba ya Mulungu

31Awa ndi anthu amene Davide anawayika kuti aziyangʼanira mayimbidwe mʼNyumba ya Yehova, Bokosi la Chipangano litabwera kudzakhala mʼmenemo. 32Iwo ankatumikira akuyimba nyimbo pa khomo la malo opatulika, tenti ya msonkhano, mpaka Solomoni atamanga Nyumba ya Yehova mu Yerusalemu. Iwo ankagwira ntchito zawo potsata malamulo amene anawapatsa.

33Mayina a anthuwo, pamodzi ndi ana awo, anali awa:

Ochokera ku banja la Kohati:

Hemani, katswiri woyimba,

anali mwana wa Yoweli, mwana wa Samueli,

34mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu,

mwana wa Elieli, mwana wa Towa,

35mwana wa Zufi, mwana wa Elikana,

mwana wa Mahati, mwana wa Amasai,

36mwana wa Elikana, mwana wa Yoweli,

mwana wa Azariya, mwana wa Zefaniya,

37mwana wa Tahati, mwana wa Asiri,

mwana wa Ebiyasafu, mwana wa Kora,

38mwana wa Izihari, mwana wa Kohati,

mwana wa Levi, mwana wa Israeli;

39ndi Asafu mʼbale wake, amene ankatumikira ku dzanja lake lamanja:

Asafu anali mwana wa Berekiya, mwana wa Simea,

40mwana wa Mikayeli, mwana wa Baaseya,

mwana wa Malikiya, 41mwana wa Etini,

mwana wa Zera, mwana wa Adaya,

42mwana wa Etani, mwana wa Zima,

mwana Simei, 43mwana wa Yahati,

mwana wa Geresomu, mwana wa Levi;

44ndipo abale awo ena anali a banja la Merari amene amatumikira ku dzanja lake lamanzere:

Etani anali mwana wa Kisi, mwana wa Abidi,

mwana wa Maluki, 45mwana wa Hasabiya,

mwana wa Amaziya, mwana wa Hilikiya,

46mwana wa Amizi, mwana wa Bani,

mwana wa Semeri, 47mwana wa Mahili,

mwana wa Musi, mwana wa Merari,

mwana wa Levi.

48Abale awo Alevi anapatsidwa ntchito zina zonse ku malo opatulika ku nyumba ya Mulungu. 49Koma Aaroni ndi zidzukulu zake anali amene amapereka nsembe pa guwa lansembe zopsereza ndi pa guwa lansembe zofukiza pamodzi ndi zonse zimene zimachitika ku malo opatulika kwambiri, kuchita mwambo wopepesera Israeli, potsata zonse zimene Mose mtumiki wa Mulungu anawalamulira.

50Ana a Aaroni ndi zidzukulu zake anali awa:

Eliezara, Finehasi,

Abisuwa, 51Buki,

Uzi, Zerahiya,

52Merayoti, Amariya,

Ahitubi, 53Zadoki

ndi Ahimaazi.

54Malo amene iwo anapatsidwa kuti likhale dziko lawo ndi awa: (Malowa anapatsidwa kwa zidzukulu za Aaroni zimene zinali za banja la Kohati, chifukwa malo oyamba kugawidwa anali awo).

55Iwo anapatsidwa Hebroni mʼdziko la Yuda ndi madera odyetsera ziweto ozungulira malowa. 56Koma minda ndi midzi yozungulira mzindawo zinapatsidwa kwa Kalebe mwana wa Yefune.

57Kotero zidzukulu za Aaroni zinapatsidwa Hebroni (mzinda wopulumukirako), ndi Libina, Yatiri, Esitemowa, 58Hileni, Debri, 59Asani, Yuta ndi Beti-Semesi pamodzi ndi madera odyetsera ziweto ozungulira malowa. 60Ndipo ku fuko la Benjamini anapatsidwa Gibiyoni, Geba, Alemeti ndi Anatoti, pamodzi ndi madera odyetsera ziweto ozungulira malowa.

Mizinda imene anapatsidwa ku banja la Kohati onse pamodzi inalipo 13.

61Zidzukulu zotsala za Kohati anazigawira midzi khumi kuchokera ku mabanja a fuko la theka la Manase.

62Zidzukulu za Geresomu banja ndi banja zinapatsidwa mizinda 13 kuchokera ku mafuko a Isakara, Aseri ndi Nafutali, ndi gawo lina la fuko la Manase limene lili ku Basani.

63Zidzukulu za Merari banja ndi banja zinapatsidwa mizinda khumi ndi iwiri kuchokera ku mafuko a Rubeni, Gadi ndi Zebuloni.

64Kotero Aisraeli anapatsa Alevi mizindayi ndi madera a msipu ozungulira malowa. 65Kuchokera ku mafuko a Yuda, Simeoni ndi Benjamini anawapatsa mizinda imene inawatchula kale mayina.

66Mabanja ena a Kohati anapatsidwanso malo kuchokera ku fuko la Efereimu.

67Kuchokera ku dziko lamapiri la Efereimu anapatsidwa Sekemu (mzinda wopulumukirako) ndi Gezeri, 68Yokineamu, Beti-Horoni, 69Ayaloni ndi Gati-Rimoni, pamodzi ndi madera odyetsera ziweto ozungulira.

70Ndipo kuchokera ku theka la fuko la Manase, Aisraeli anapereka Aneri ndi Bileamu pamodzi ndi madera odyetsera ziweto kwa mabanja ena onse a Kohati.

71Ageresomu analandira malo awa:

Kuchokera ku theka la fuko la Manase,

analandira Golani ku Basani ndiponso Asiteroti, ndi malo awo odyetsera ziweto;

72Kuchokera ku fuko la Isakara

analandira Kedesi, Daberati, 73Ramoti ndi Anemu, pamodzi ndi malo ake odyetsera ziweto;

74kuchokera ku fuko la Aseri

analandira Masala, Abidoni, 75Hukoki ndi Rehobu, pamodzi ndi malo ake odyetsera ziweto;

76ndipo kuchokera ku fuko la Nafutali

analandira Kedesi ku Galileya, Hamoni ndi Kiriyataimu, pamodzi ndi malo ake odyetsera ziweto.

77Amerari (Alevi ena onse) analandira madera awa:

kuchokera ku fuko la Zebuloni,

iwo analandira Yokineamu, Karita, Rimono ndi Tabori, pamodzi ndi malo ake odyetsera ziweto;

78Kuchokera ku fuko la Rubeni kutsidya kwa Yorodani, kummawa kwa Yeriko,

analandira Bezeri ku chipululu, Yaza, 79Kedemoti ndi Mefaati, pamodzi ndi malo ake odyetsera ziweto;

80ndipo kuchokera ku fuko la Gadi

analandira Ramoti ku Giliyadi, Mahanaimu, 81Hesiboni ndi Yazeri, pamodzi ndi malo ake odyetsera ziweto.