1 Nyakati 3 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 3:1-24

Wana Wa Daudi

13:1 1Nya 14:3; 14:3; 28:5; Yos 15:56; 1Sam 25:42; 27:3Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni:

Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli;

wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;

23:2 1Fal 2:22wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;

33:3 2Sam 3:5wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali;

wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.

43:4 2Sam 5:4; 1Nya 29:27; 1Sam 2:11; 5:5; 1Fal 2:11Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita.

Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu, 53:5 2Sam 11:3; 12:24; 1Nya 14:4nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu:

mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua,3:5 Sawa na Shimea; maana yake ni Mashuhuri, Maarufu. Shobabu, Nathani na Solomoni. 6Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti, 7Noga, Nefegi, Yafia, 83:8 2Sam 5:14Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa. 93:9 2Sam 13:1; 1Nya 14:4; 2Sam 14:27Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.

Wafalme Wa Yuda

103:10 1Fal 14:21-31; 15:1-8; 2Nya 12:16; 13:1; 17:1–21:3Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu,

mwanawe huyo alikuwa Abiya,

mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati,

mwanawe huyo alikuwa Asa,

113:11 2Fal 8:16-24; 2Nya 21:1; 22:1-10; 2Fal 11:1-12mwanawe huyo alikuwa Yehoramu,

mwanawe huyo alikuwa Ahazia,

mwanawe huyo alikuwa Yoashi,

123:12 2Fal 14:1-22; 2Nya 25:1-28; 27:1; Isa 1:1; 3:13; 2Nya 28:1; Isa 1:1; 2Fal 21:1-18; 2Nya 33:1mwanawe huyo alikuwa Amazia,

mwanawe huyo alikuwa Azaria,

mwanawe huyo alikuwa Yothamu,

13mwanawe huyo alikuwa Ahazi,

mwanawe huyo alikuwa Hezekia,

mwanawe huyo alikuwa Manase,

14mwanawe huyo alikuwa Amoni

na mwanawe huyo alikuwa Yosia.

153:15 2Fal 23:34; Yer 37:1; 2Fal 25:3Wana wa Yosia walikuwa:

Yohanani mzaliwa wake wa kwanza,

Yehoyakimu mwanawe wa pili,

wa tatu Sedekia,

wa nne Shalumu.

163:16 2Fal 24:6, 8; Mt 1:11; 2Fal 24:18Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni:

Yekonia mwanawe,

na Sedekia.

Ukoo Wa Kifalme Baada Ya Uhamisho

173:17 Ezr 3:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka:

Shealtieli mwanawe, 183:18 Ezr 1:8; 5:14; Yer 22:30Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

193:19 Hag 2:2; Zek 4:6; Ezr 3:2Wana wa Pedaya walikuwa:

Zerubabeli na Shimei.

Wana wa Zerubabeli walikuwa:

Meshulamu na Hanania.

Shelomithi alikuwa dada yao.

20Pia walikuwepo wengine watano:

Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.

21Wazao wa Hanania walikuwa:

Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

223:22 Ezr 8:2-3Wazao wa Shekania:

Shemaya na wanawe:

Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.

23Wana wa Nearia walikuwa:

Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.

24Wana wa Elioenai walikuwa:

Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

New International Version

1 Chronicles 3:1-24

The Sons of David

1These were the sons of David born to him in Hebron:

The firstborn was Amnon the son of Ahinoam of Jezreel;

the second, Daniel the son of Abigail of Carmel;

2the third, Absalom the son of Maakah daughter of Talmai king of Geshur;

the fourth, Adonijah the son of Haggith;

3the fifth, Shephatiah the son of Abital;

and the sixth, Ithream, by his wife Eglah.

4These six were born to David in Hebron, where he reigned seven years and six months.

David reigned in Jerusalem thirty-three years, 5and these were the children born to him there:

Shammua,3:5 Hebrew Shimea, a variant of Shammua Shobab, Nathan and Solomon. These four were by Bathsheba3:5 One Hebrew manuscript and Vulgate (see also Septuagint and 2 Samuel 11:3); most Hebrew manuscripts Bathshua daughter of Ammiel. 6There were also Ibhar, Elishua,3:6 Two Hebrew manuscripts (see also 2 Samuel 5:15 and 1 Chron. 14:5); most Hebrew manuscripts Elishama Eliphelet, 7Nogah, Nepheg, Japhia, 8Elishama, Eliada and Eliphelet—nine in all. 9All these were the sons of David, besides his sons by his concubines. And Tamar was their sister.

The Kings of Judah

10Solomon’s son was Rehoboam,

Abijah his son,

Asa his son,

Jehoshaphat his son,

11Jehoram3:11 Hebrew Joram, a variant of Jehoram his son,

Ahaziah his son,

Joash his son,

12Amaziah his son,

Azariah his son,

Jotham his son,

13Ahaz his son,

Hezekiah his son,

Manasseh his son,

14Amon his son,

Josiah his son.

15The sons of Josiah:

Johanan the firstborn,

Jehoiakim the second son,

Zedekiah the third,

Shallum the fourth.

16The successors of Jehoiakim:

Jehoiachin3:16 Hebrew Jeconiah, a variant of Jehoiachin; also in verse 17 his son,

and Zedekiah.

The Royal Line After the Exile

17The descendants of Jehoiachin the captive:

Shealtiel his son, 18Malkiram, Pedaiah, Shenazzar, Jekamiah, Hoshama and Nedabiah.

19The sons of Pedaiah:

Zerubbabel and Shimei.

The sons of Zerubbabel:

Meshullam and Hananiah.

Shelomith was their sister.

20There were also five others:

Hashubah, Ohel, Berekiah, Hasadiah and Jushab-Hesed.

21The descendants of Hananiah:

Pelatiah and Jeshaiah, and the sons of Rephaiah, of Arnan, of Obadiah and of Shekaniah.

22The descendants of Shekaniah:

Shemaiah and his sons:

Hattush, Igal, Bariah, Neariah and Shaphat—six in all.

23The sons of Neariah:

Elioenai, Hizkiah and Azrikam—three in all.

24The sons of Elioenai:

Hodaviah, Eliashib, Pelaiah, Akkub, Johanan, Delaiah and Anani—seven in all.