1 Nyakati 29 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 29:1-30

Matoleo Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Hekalu

129:1 1Fal 3:7; 2Nya 13:7; Mit 4:3; 1Nya 22:5Ndipo Mfalme Daudi akaliambia kusanyiko lote: “Mwanangu Solomoni, yeye ambaye Mungu amemchagua, ni kijana mdogo na asiye na uzoefu. Kazi hii ni kubwa, kwa sababu Hekalu hili la fahari si kwa ajili ya mwanadamu bali ni kwa ajili ya Bwana. 229:2 Ezr 6:5; Ufu 21:18; Hag 2:8; Isa 54:11; 1Nya 22:2-5; Kut 28:9Kwa uwezo wangu wote nimetenga mali kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu: dhahabu kwa kazi za dhahabu, fedha kwa ajili ya fedha, shaba kwa kazi za shaba, chuma kwa kazi za chuma na miti kwa kazi za miti, vivyo hivyo vito vya shohamu kwa ajili ya kutia kwenye vijalizo, almasi, mawe ya rangi mbalimbali, aina zote za vito vya thamani na marmar; yote haya kwa wingi mno. 329:3 2Nya 24:10; Za 28:9; 2Nya 35:8; Za 26:8; 27:4; Mit 3:9Zaidi ya hayo, kwa kujitolea kwangu kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu, sasa ninatoa hazina zangu mwenyewe za dhahabu na fedha kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu, zaidi ya mali niliyotoa kwa ajili ya Hekalu hili takatifu: 429:4 Mwa 10:29; 1Nya 22:14; Ay 22:24; 1Fal 9:28; 2Nya 8:18talanta 3,00029:4 Talanta 3,000 za dhahabu sawa na tani 110. za dhahabu (dhahabu ya Ofiri) na talanta 7,00029:4 Talanta 7,000 za fedha ni sawa na tani 260. za fedha safi iliyosafishwa, kwa ajili ya kufunika kuta za Hekalu, 5kwa kazi ya dhahabu na kazi ya fedha na kwa kazi yote itakayofanywa na mafundi. Basi, ni nani anayependa kujitoa kwa Bwana leo?”

629:6 1Nya 28:1; Kut 36:2; Ezr 7:15Ndipo viongozi wa jamaa, maafisa wa kabila za Israeli, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, pamoja na maafisa waliokuwa wasimamizi wa kazi za mfalme wakatoa kwa hiari yao.

7Wakatoa kwa ajili ya kazi ya Hekalu la Mungu talanta 5,00029:7 Talanta 5,000 za dhahabu ni sawa na tani 190. na darkoni 10,00029:7 Darkoni 10,000 za dhahabu ni sawa na kilo 84. za dhahabu, talanta 10,00029:7 Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 375. za fedha, talanta 18,00029:7 Talanta 18,000 za shaba ni sawa na tani 675. za shaba na talanta 100,00029:7 Talanta 100,000 za chuma ni sawa na tani 3,750. za chuma. 829:8 Kut 35:27; 1Nya 26:21Kila mmoja aliyekuwa na vito vya thamani akavitoa katika hazina ya Hekalu la Bwana chini ya uangalizi wa Yehieli Mgershoni. 929:9 1Fal 8:61; 2Kor 9:7Watu wakafurahi kwa sababu ya itikio la hiari la viongozi wao, kwa kuwa walikuwa wametoa kwa hiari na kwa moyo wote kwa Bwana. Mfalme Daudi pia akafurahi sana.

Maombi Ya Daudi

1029:10 1Fal 8:15-16; 2Nya 6:4; Za 72:18; Eze 3:12Daudi akamhimidi Bwana mbele ya kusanyiko lote, akisema:

“Uhimidiwe wewe, Ee Bwana,

Mungu wa Israeli baba yetu,

tangu milele hata milele.

1129:11 Za 24:8; 89:11; Mt 6:13; Ufu 5:12-13; Dan 4:34-35; 1Tim 1:17Ukuu na uweza, ni vyako, Ee Bwana,

na utukufu na enzi na uzuri,

kwa kuwa kila kilichoko mbinguni na duniani

ni chako wewe.

Ee Bwana, ufalme ni wako;

umetukuzwa kuwa mkuu juu ya yote.

1229:12 Ezr 7:27; Mhu 5:19; 2Nya 20:6; Rum 11:36; Kum 8:18; 1Sam 2:7-8; Za 75:6; Mit 10:22; Yak 1:17Utajiri na heshima vyatoka kwako;

wewe ndiwe utawalaye vitu vyote.

Mikononi mwako kuna nguvu na uweza

ili kuinua na kuwapa wote nguvu,

13Sasa, Mungu wetu, tunakushukuru

na kulisifu Jina lako tukufu.

14“Lakini mimi ni nani, nao watu wangu ni nani, hata tuweze kukutolea kwa ukarimu namna hii? Vitu vyote vyatoka kwako, nasi tumekutolea tu vile vitokavyo mkononi mwako. 1529:15 Mwa 47:9; 23:4; Ebr 11:13; Mhu 6:12; Za 102:11; Ay 14:2; Za 39:12; 1Pet 2:11; Za 90:9; 144:4Sisi ni wageni na wapitaji machoni pako, kama walivyokuwa baba zetu wote. Siku zetu duniani ni kama kivuli, bila tumaini. 16Ee Bwana Mungu wetu, kwa wingi wote huu ambao tumekutolea kwa kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina lako Takatifu, vimetoka mkononi mwako, navyo vyote ni mali yako. 1729:17 Mit 17:3; Yer 11:20; Za 15:1-5; Mit 11:20; Ebr 4:13; Kum 8:2; 1Sam 16:7; 1Nya 28:9; Za 7:9; Yer 17:10; Mit 16:2Ninajua, Mungu wangu, kwamba wewe huujaribu moyo na unapendezwa na unyofu. Vitu hivi vyote nimetoa kwa hiari na kwa moyo mnyofu. Nami sasa nimeona kwa furaha jinsi watu wako walioko hapa kwa hiari yao walivyokutolea wewe. 1829:18 Za 10:17; Yer 10:23Ee Bwana, Mungu wa baba zetu Abrahamu, Isaki na Israeli, weka shauku hii ndani ya mioyo ya watu wako daima na uifanye mioyo yao iwe na uaminifu kwako. 1929:19 1Fal 8:61; Isa 38:3; 1Nya 22:14; Za 72:1Nawe umpe mwanangu Solomoni kujitolea kwako kwa moyo wote ili kuzishika amri zako, masharti yako, maagizo yako na kufanya kila kitu ili kujenga Hekalu hili la fahari ambalo kwa ajili yake nimetoa.”

20Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote, “Mhimidini Bwana Mungu wenu.” Hivyo wote wakamhimidi Bwana, Mungu wa baba zao. Wakasujudu na kuanguka kifudifudi mbele za Bwana na mfalme.

Solomoni Akubalika Kuwa Mfalme

21Siku ya pili yake wakamtolea Bwana dhabihu na sadaka za kuteketezwa: mafahali 1,000, kondoo dume 1,000 na wana-kondoo dume 1,000, pamoja na sadaka za kinywaji na sadaka nyingine nyingi sana kwa ajili ya Israeli. 2229:22 1Nya 12:40; 1Sam 2:35; 1Fal 1:33-39Wakala na kunywa kwa furaha kubwa mbele za Bwana siku ile.

Wakamtawaza Solomoni mwana wa Daudi mara ya pili kuwa mfalme, wakamtia mafuta kwa ajili ya Bwana ili awe mfalme na Sadoki kuwa kuhani. 2329:23 1Fal 2:12; 1Nya 17:14Solomoni akaketi kwenye kiti cha enzi cha Bwana kuwa mfalme mahali pa Daudi baba yake. Akafanikiwa sana na Israeli wote wakamtii. 2429:24 Mwa 24:2; 47:29; Eze 17:18; 2Nya 30:8Maafisa wote na mashujaa, pamoja na wana wote wa Daudi, wakaahidi kumtii Mfalme Solomoni.

2529:25 1Fal 10:7; 3:13; Mhu 2:9; 2Nya 1:12; Dan 5:18-19; Ebr 2:9Bwana akamtukuza sana Solomoni mbele ya Israeli wote na kumvika fahari ya kifalme ambayo hakuna mfalme yeyote wa Israeli kabla yake aliwahi kuwa nayo.

Muhtasari Wa Utawala Wa Daudi

2629:26 1Nya 18:14Daudi mwana wa Yese alikuwa mfalme wa Israeli yote. 2729:27 2Sam 5:4-5; 1Fal 2:11Alitawala Israeli kwa miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

2829:28 Mwa 15:15; Mdo 13:36; 1Nya 23:1; Mwa 25:8; Hes 23:10; Ay 5:26Daudi akafa akiwa mzee mwenye umri mwema, akiwa ameshiba siku, utajiri na heshima. Naye Solomoni mwanawe akawa mfalme baada yake.

2929:29 1Sam 9:9; 22:5; 2Sam 7:2; Ay 5:26Kuhusu matukio ya utawala wa Mfalme Daudi, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kumbukumbu za mwonaji Samweli, na kumbukumbu za nabii Nathani na kumbukumbu za mwonaji Gadi, 3029:30 Dan 2:21pamoja na habari zote za utawala wake, nguvu zake na matukio yaliyompata yeye, na Israeli, na falme za nchi nyingine zote.

La Bible du Semeur

1 Chroniques 29:1-30

Les dons du roi pour la construction du Temple

1Puis le roi David dit à toute l’assemblée : Mon fils Salomon, le seul que Dieu ait choisi, est jeune et inexpérimenté, alors que l’ouvrage est immense, car ce n’est pas pour un homme qu’il s’agit de construire un palais, mais bien pour l’Eternel Dieu. 2Quant à moi, j’ai consacré tous mes efforts à préparer pour le temple de mon Dieu de l’or, de l’argent, du bronze, du fer et du bois pour tout ce qui est à fabriquer avec ces divers matériaux. J’ai préparé aussi des pierres d’onyx et des pierres à enchâsser, des pierres brillantes et de diverses couleurs, toutes sortes de pierres précieuses et des blocs de marbre blanc en abondance29.2 Voir 22.5.. 3De plus, par amour pour le temple de Dieu, je donne pour sa construction des biens précieux en or et en argent que je possède personnellement, en plus de tout ce que j’ai préparé pour le sanctuaire. 4Il y a dans mes réserves cent tonnes d’or pur d’Ophir29.4 Région souvent mentionnée (1 R 10.11 ; Jb 28.16) comme lieu de provenance de l’or le plus pur (voir note 1 R 9.28). et deux cent cinquante tonnes d’argent affiné pour recouvrir les parois des bâtiments. 5Cet or et cet argent sont destinés à la confection de tout ce qui doit être en or et en argent, ainsi qu’à tous les travaux que les artisans auront à exécuter. A présent, qui d’entre vous est prêt à donner volontairement et de façon généreuse pour l’Eternel ?

Les dons du peuple pour la construction du Temple

6Alors les chefs des groupes familiaux et des tribus d’Israël, les chefs des « milliers » et des « centaines » et les responsables des affaires du roi offrirent des dons volontaires. 7Ils remirent spontanément pour le temple de Dieu cent soixante-dix tonnes d’or, dix mille pièces d’or, plus de trois cents tonnes d’argent, quelque six cents tonnes de bronze et plus de trois mille tonnes de fer. 8Ceux qui possédaient des pierres précieuses les confièrent à Yehiel le Guershonite pour le trésor du temple de l’Eternel. 9Le peuple se réjouit de ses dons volontaires, car c’était d’un cœur sans partage qu’ils les avaient faits à l’Eternel. Le roi David en éprouva lui aussi une très grande joie.

Prière de reconnaissance

10David bénit l’Eternel devant toute l’assemblée en disant :

Béni sois-tu à tout jamais, ╵ô Eternel,

Dieu de notre ancêtre Israël !

11A toi, Eternel, appartiennent ╵la grandeur, la puissance ╵et la magnificence,

et la gloire et la majesté.

Car tout ce qui est dans le ciel ╵et sur la terre ╵est à toi, Eternel.

C’est à toi qu’appartient le règne,

tu es le souverain ╵au-dessus de tout être29.11 Cf. Mt 6.13..

12Et c’est de toi que viennent ╵la richesse et la gloire.

Tu domines sur tout

et dans ta main résident ╵la force et la puissance,

tu détiens le pouvoir ╵d’élever qui tu veux ╵et de le rendre fort.

13C’est pourquoi, notre Dieu, ╵nous te louons,

nous célébrons ta gloire.

14Car, qui donc suis-je,

et qui donc est mon peuple

pour avoir les moyens ╵de t’offrir de tels dons ?

Tout cela vient de toi,

et c’est de ta main même ╵que nous avons reçu ╵ce que nous te donnons.

15Nous sommes devant toi ╵comme des étrangers, des hôtes, ╵tout comme nos ancêtres.

Notre vie sur la terre ╵est aussi éphémère ╵qu’une ombre passagère, ╵qui passe sans espoir.

16Eternel, notre Dieu, ╵c’est de ta main que vient ╵toute cette fortune

que nous venons de réunir ╵pour te bâtir un temple ╵qui portera ton nom, ╵toi qui es saint.

Tout cela t’appartient.

17Je le sais, ô mon Dieu, ╵tu sondes notre cœur

et tu as du plaisir ╵lorsque quelqu’un est droit.

Eh bien, c’est d’un cœur droit ╵que je t’ai apporté ╵tous ces dons volontaires,

et j’ai vu avec joie ╵ton peuple ici présent ╵t’apporter ses dons volontaires.

18O Eternel, Dieu d’Abraham, ╵d’Isaac et d’Israël, nos pères,

conserve pour toujours ╵dans le cœur de ton peuple ╵ces dispositions, ces pensées,

et maintiens fermement ╵leur cœur tourné vers toi !

19A mon fils Salomon ╵donne un cœur sans partage

afin qu’il obéisse ╵à tes commandements,

tes ordonnances et tes lois, ╵et les applique tous,

et qu’il bâtisse le palais29.19 Autre traduction : qu’il exécute tout pour bâtir le palais. ╵en vue duquel j’ai fait ╵tous ces préparatifs.

L’onction royale de Salomon

20Là-dessus, David dit à toute l’assemblée : Bénissez l’Eternel, votre Dieu !

Alors toute l’assemblée loua l’Eternel, le Dieu de ses ancêtres. Ils s’inclinèrent et se prosternèrent devant l’Eternel et devant le roi. 21Le lendemain, ils offrirent des sacrifices et des holocaustes à l’Eternel : mille taureaux, mille béliers et mille agneaux, accompagnés des offrandes de vin requises29.21 Les libations accompagnent obligatoirement les sacrifices (voir Ex 29.40-41 ; Nb 15.1-16). ; et ils offrirent un grand nombre de sacrifices pour tout Israël. 22Ils mangèrent et burent ce jour-là devant l’Eternel dans de grandes réjouissances. Pour la seconde fois29.22 Voir 1 R 1 ; 1 Ch 23.1., ils proclamèrent roi Salomon, fils de David, et lui conférèrent l’onction au nom de l’Eternel pour être leur chef. Ils établirent aussi par l’onction Tsadoq comme prêtre. 23Salomon prit place sur le trône de l’Eternel, pour régner à la place de son père David. Il l’occupa avec succès et tout Israël lui obéit. 24Tous les chefs, et les soldats, et même tous les fils du roi David se soumirent à lui. 25L’Eternel éleva au plus haut point le prestige de Salomon aux yeux de tout Israël, et il rendit son règne plus éclatant que celui de tous ses prédécesseurs, comme roi sur Israël.

La mort de David

(1 R 2.10-12)

26David, fils d’Isaï, avait régné sur tout Israël. 27Il avait régné quarante ans sur Israël, sept ans à Hébron29.27 De 1010 à 1003 av. J.-C. et trente-trois ans à Jérusalem29.27 De 1003 à 970 av. J.-C..

28Et il mourut au terme d’une heureuse vieillesse, rassasié de jours, de richesses et de gloire. Son fils Salomon lui succéda sur le trône.

29Les faits et gestes du roi David, des premiers aux derniers, sont cités dans les Annales du prophète Samuel, dans les Annales du prophète Nathan, et dans les Annales du prophète Gad. 30On y raconte tout son règne, sa puissance, et tout ce qui lui est arrivé, ainsi qu’à Israël, et à tous les royaumes de la région.