1 Nyakati 24 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 24:1-31

Migawanyo Ya Makuhani

124:1 2Nya 5:11; Ezr 6:18; Kut 6:23; Hes 3:2-4; 26:60Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni:

Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. 224:2 Law 10:1-2; Hes 3:4; 26:61Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani. 324:3 2Sam 8:17Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao. 4Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari. 524:5 1Nya 26:13; Mdo 1:26; Yos 18:10; Mit 16:33; 18:18Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.

624:6 1Nya 18:16; Neh 8:4; 1Fal 4:3Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.

724:7 Ezr 2:36; Neh 7:39; 12:6Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu,

ya pili Yedaya,

824:8 Ezr 10:21; Neh 12:4-6ya tatu Harimu,

ya nne Seorimu,

9ya tano Malkiya,

ya sita Miyamini,

1024:10 Neh 12:4, 17; Lk 1:5ya saba Hakosi,

ya nane Abiya,

11ya tisa Yeshua,

ya kumi Shekania,

12ya kumi na moja Eliashibu,

ya kumi na mbili Yakimu,

13ya kumi na tatu Hupa,

ya kumi na nne Yeshebeabu,

1424:14 Ezr 2:37; Yer 20:1ya kumi na tano Bilga,

ya kumi na sita Imeri,

1524:15 Neh 10:20ya kumi na saba Heziri,

ya kumi na nane Hapisesi,

16ya kumi na tisa Pethahia,

ya ishirini Yehezkeli,

17ya ishirini na moja Yakini,

ya ishirini na mbili Gamuli,

18ya ishirini na tatu Delaya,

ya ishirini na nne Maazia.

1924:19 1Nya 9:25; Hes 4:49; 2Fal 5:7; Lk 1:18-23Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.

Walawi Waliobaki

2024:20 1Nya 23:6-17Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki:

Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli;

kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.

21Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe:

Ishia alikuwa wa kwanza.

22Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi,

kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.

2324:23 1Nya 23:19; 15:9Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.

24Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika;

kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.

2524:25 1Nya 22:9Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia;

na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.

2624:26 1Nya 6:19; 23:21; Hes 3:20; Kut 6:19Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi.

Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.

27Wana wa Merari:

kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.

2824:28 1Nya 23:22Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.

29Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi:

alikuwa Yerameeli.

3024:30 1Nya 23:23Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi.

Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao. 31Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.

Священное Писание

1 Летопись 24:1-31

Распределение священнослужителей

1Вот группы потомков Харуна.

Сыновьями Харуна были Надав, Авиуд, Элеазар и Итамар. 2Но Надав и Авиуд умерли раньше отца24:2 См. Лев. 10:1-2., а сыновей у них не было, поэтому священнослужителями были только Элеазар и Итамар. 3С помощью Цадока, потомка Элеазара, и Ахи-Малика, потомка Итамара, Давуд разделил их на группы по установленным в служении обязанностям. 4Среди потомков Элеазара оказалось больше глав семейств, чем среди потомков Итамара, и потому они были соответственно разделены: шестнадцать глав семейств из потомков Элеазара и восемь глав семейств из потомков Итамара. 5Они были разделены беспристрастно, по жребию, потому что главными в святилище и главными перед Всевышним были потомки Элеазара и потомки Итамара.

6Писарь Шемая, сын Нетанила, левит, записал их имена в присутствии царя, вождей народа, священнослужителя Цадока, Ахи-Малика, сына Авиатара, и глав священнослужительских и левитских семейств – одну семью брали из потомков Элеазара, а другую – из потомков Итамара.

7Первый жребий выпал Иехояриву,

второй – Иедаи,

8третий – Хариму,

четвёртый – Сеориму,

9пятый – Малхии,

шестой – Миямину,

10седьмой – Аккоцу,

восьмой – Авии,

11девятый – Иешуа,

десятый – Шехании,

12одиннадцатый – Элиашиву,

двенадцатый – Иакиму,

13тринадцатый – Хуппе,

четырнадцатый – Иешеваву,

14пятнадцатый – Билге,

шестнадцатый – Иммеру,

15семнадцатый – Хезиру,

восемнадцатый – Апицецу,

16девятнадцатый – Петахии,

двадцатый – Иехезкилу,

17двадцать первый – Иахину,

двадцать второй – Гамулу,

18двадцать третий – Делаи

и двадцать четвёртый – Маазии.

19Таков был установленный порядок их служения, когда они входили в храм Вечного по установлениям, которые оставил им их праотец Харун, как повелел ему Вечный, Бог Исраила.

Распределение остальных левитов

20Вот имена остальных потомков Леви.

Из сыновей Амрама: Шевуил;

из сыновей Шевуила: Иехдия.

21Из сыновей Рехавии: Ишшия был первым.

22Из ицхаритов: Шеломит;

из сыновей Шеломита: Иахат.

23Сыновья Хеврона: первый – Иерия, второй – Амария, третий – Иахазиил и четвёртый – Иекамеам.

24Сын Узиила: Миха;

из сыновей Михи: Шамир.

25Брат Михи: Ишшия;

из сыновей Ишшии: Закария.

26Сыновья Мерари: Махли и Муши.

Сын Иаазии: Бено.

27Из сыновей Мерари:

у Иаазии: Бено, Шохам, Заккур и Иври;

28у Махли: Элеазар, у которого не было сыновей;

29у Киша: Иерахмеил;

30у Муши: Махли, Едер и Иеримот.

Это левиты по их кланам. 31Они тоже бросали жребий, как и их братья, потомки Харуна, в присутствии царя Давуда и Цадока, Ахи-Малика и глав священнослужительских и левитских семейств. И семьи старших братьев были уравнены в правах с семьями младших.