1 Nyakati 23 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 23:1-32

Jamaa Za Walawi Na Utendaji Wao

123:1 1Fal 1:30-33; 1Nya 28:5; 29:28; 29:22-25Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli.

2Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi. 323:3 Hes 8:24; 4:3-49Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000. 423:4 Ezr 3:8; 2Nya 19:8; Kum 16:18; Eze 44:24; Kum 16:18; 1Nya 26:29Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, 24,000 watasimamia kazi ya Hekalu la Bwana na 6,000 watakuwa maafisa na waamuzi, 523:5 1Nya 15:16; Za 92:3; Neh 12:45; Amo 6:5; 2Nya 29:25-26na 4,000 watakuwa mabawabu, na wengine 4,000 watamsifu Bwana kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.”

623:6 2Nya 23:18; 29:25; 8:14; Kut 6:16; Hes 26:57; 2Nya 35:10; 31:2; Ezr 6:18Daudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.

Wagershoni

7Wana wa Wagershoni walikuwa wawili:

Ladani na Shimei.

8Wana wa Ladani walikuwa watatu:

Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.

9Wana wa Shimei walikuwa watatu:

Shelomothi,23:9 Yaani Shelomithi; maana yake ni Mpenda amani. Hazieli na Harani.

Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.

10Nao wana wa Shimei walikuwa wanne:

Yahathi, Zina,23:10 Tafsiri zingine zinamwita Ziza. Yeushi na Beria.

11Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.

Wakohathi

1223:12 Mwa 46:11; Kut 6:18-20; 1Nya 6:2Wana wa Kohathi walikuwa wanne:

Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

1323:13 Kut 30:7-10; 28:1; Kum 21:5; Hes 6:23; 16:40; Ebr 5:4; Hes 16:40; 1Sam 2:28Wana wa Amramu walikuwa:

Aroni na Mose.

Aroni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za Bwana, kuhudumu mbele zake na kutamka baraka katika Jina la Bwana milele. 1423:14 Kum 33:1Wana wa Mose mtu wa Mungu walihesabiwa kama sehemu ya kabila la Lawi.

1523:15 Kut 18:4; 2:22Wana wa Mose walikuwa:

Gershomu na Eliezeri.

1623:16 1Nya 26:24-28Wazao wa Gershomu:

Shebueli alikuwa wa kwanza.

17Wazao wa Eliezeri:

Rehabia alikuwa wa kwanza.

Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

18Wana wa Ishari:

Shelomithi alikuwa wa kwanza.

1923:19 1Nya 24:23; 26:31Wana wa Hebroni walikuwa:

Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

20Wana wa Uzieli walikuwa:

Mika wa kwanza na Ishia wa pili.

Wamerari

2123:21 1Nya 6:19; 24:26Wana wa Merari walikuwa:

Mahli na Mushi.

Wana wa Mahli walikuwa:

Eleazari na Kishi.

2223:22 Hes 36:6Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.

2323:23 1Nya 24:30Wana wa Mushi:

Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.

2423:24 Hes 4:3; 10:17-21Hawa walikuwa wazao wa Lawi kwa jamaa zao. Wakuu wa jamaa kama walivyoandikwa kwa majina yao na kuhesabiwa kila mmoja, yaani, wenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia miaka ishirini au zaidi, waliohudumu katika Hekalu la Bwana. 25Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile Bwana, Mungu wa Israeli amewapa watu wake raha na amekuja kuishi Yerusalemu milele, 26Walawi hawahitaji tena kubeba Maskani wala chombo chochote cha utumishi wake.” 27Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi waliohesabiwa ni wale wa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi.

2823:28 Neh 13:9; Mal 3:3Wajibu wa Walawi ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aroni kuhudumu katika Hekalu la Bwana: Kuwa wasimamizi wa nyua, vyumba vya pembeni, kutakasa vyombo vitakatifu na utendaji mwingine wowote katika nyumba ya Mungu. 2923:29 Kut 25:30; Law 2:4-7; 6:20-23; 19:35-36; 1Nya 9:29-32Walikuwa wasimamizi wa mikate iliyowekwa mezani, unga kwa ajili ya sadaka za nafaka, mikate isiyotiwa chachu, uokaji na uchanganyaji, pamoja na vipimo vyote vya wingi na ukubwa. 3023:30 1Nya 9:33; Ufu 5:8-14; 2Nya 31:2; 1Nya 6:31-33; Za 135:1-3; Ufu 14:3Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu Bwana. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni 3123:31 2Fal 4:23; Law 23:4; Kol 2:16; Hes 10:10; Za 81:3; Isa 1:13-14na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa Bwana siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za Bwana mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.

3223:32 Hes 1:53; 1Nya 6:48; Hes 3:6-8; 2Nya 31:2; Eze 44:14Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la Bwana.

Nueva Versión Internacional

1 Crónicas 23:1-32

Los levitas

1David era muy anciano cuando declaró a su hijo Salomón rey de Israel.

2Reunió a todos los líderes de Israel junto a los sacerdotes y levitas. 3Entonces contaron a los levitas que tenían más de treinta años; resultó que eran en total treinta y ocho mil hombres. 4David dijo: «De los levitas, veinticuatro mil estarán a cargo del trabajo del templo del Señor, seis mil serán oficiales y jueces, 5cuatro mil serán porteros y los otros cuatro mil se encargarán de alabar al Señor con los instrumentos musicales que he ordenado hacer23:5 que he ordenado hacer. Lit. que yo hice. para ese propósito».

6David dividió a los levitas en grupos de acuerdo con el número de los hijos de Leví, que fueron Guersón, Coat y Merari.

Los guersonitas

7De los guersonitas:

Ladán y Simí.

8Los hijos de Ladán fueron tres:

Jehiel, el mayor, Zetán y Joel.

9Simí también tuvo tres hijos:

Selomit, Jaziel y Harán.

Estos fueron los jefes de las familias patriarcales de Ladán.

10Los hijos de Simí fueron cuatro:

Yajat, Ziza,23:10 Ziza (un ms. hebreo, LXX y Vulgata; véase v. 11); Ziná (TM). Jeús y Beriá.

Estos fueron los hijos de Simí.

11Yajat era el mayor y Ziza, el segundo. Como Jeús y Beriá no tuvieron muchos hijos, se les contó como una sola familia y se les dio un mismo cargo.

Los coatitas

12Los hijos de Coat fueron cuatro:

Amirán, Izar, Hebrón y Uziel.

13Los hijos de Amirán fueron:

Aarón y Moisés.

Aarón y sus descendientes fueron los escogidos para presentar las ofrendas sagradas, quemar el incienso, servir al Señor y pronunciar la bendición en su nombre para siempre. 14A Moisés, hombre de Dios, y a sus hijos se les incluyó en la tribu de Leví.

15Los hijos de Moisés fueron:

Guersón y Eliezer.

16Sebuel fue el primero

de los descendientes de Guersón.

17Eliezer solo tuvo un hijo,

que fue Rejabías,

pero este sí tuvo muchos hijos.

18El primer hijo de Izar fue

Selomit.

19El primer hijo de Hebrón fue

Jerías; el segundo, Amarías;

el tercero, Jahaziel, y el cuarto, Jecamán.

20El primer hijo de Uziel fue

Micaías, y el segundo, Isías.

Los meraritas

21Los hijos de Merari fueron:

Majlí y Musí.

Los hijos de Majlí fueron:

Eleazar y Quis.

22Eleazar murió sin tener hijos; solamente tuvo hijas. Estas se casaron con sus primos, los hijos de Quis.

23Musí tuvo tres hijos:

Majlí, Éder y Jeremot.

24Estos fueron los descendientes de Leví por sus familias patriarcales. El censo los registró por nombre como jefes de sus familias patriarcales. Estos prestaban servicio en el Templo del Señor y eran mayores de veinte años. 25David dijo: «Desde que el Señor, Dios de Israel, estableció a su pueblo y estableció su residencia para siempre en Jerusalén, 26los levitas ya no tienen que cargar el santuario ni los utensilios que se usan en el culto». 27De acuerdo con las últimas disposiciones de David, fueron censados los levitas mayores de veinte años.

28Su función consistía en ayudar a los descendientes de Aarón en el servicio del Templo del Señor. Eran los responsables de los atrios, de los cuartos y de la purificación de todas las cosas santas; en fin, de todo lo relacionado con el servicio del Templo de Dios. 29También estaban encargados del pan consagrado, de la harina refinada para las ofrendas de cereales, de las hojuelas sin levadura, de las ofrendas fritas en sartén o cocidas y de todas las medidas de capacidad y de longitud. 30Cada mañana y cada tarde debían estar presentes para agradecer y alabar al Señor. 31Así mismo, debían ofrecer todos los holocaustos que se presentaban al Señor los sábados, los días de luna nueva y durante las otras fiestas. Así que siempre servían al Señor, según el número y la función que se les asignaba.

32De modo que tenían a su cargo el cuidado de la Tienda de reunión y del Lugar Santo. El servicio que realizaban en el Templo del Señor quedaba bajo las órdenes de sus hermanos, los descendientes de Aarón.