1 Nyakati 23 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 23:1-32

Jamaa Za Walawi Na Utendaji Wao

123:1 1Fal 1:30-33; 1Nya 28:5; 29:28; 29:22-25Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli.

2Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi. 323:3 Hes 8:24; 4:3-49Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000. 423:4 Ezr 3:8; 2Nya 19:8; Kum 16:18; Eze 44:24; Kum 16:18; 1Nya 26:29Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, 24,000 watasimamia kazi ya Hekalu la Bwana na 6,000 watakuwa maafisa na waamuzi, 523:5 1Nya 15:16; Za 92:3; Neh 12:45; Amo 6:5; 2Nya 29:25-26na 4,000 watakuwa mabawabu, na wengine 4,000 watamsifu Bwana kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.”

623:6 2Nya 23:18; 29:25; 8:14; Kut 6:16; Hes 26:57; 2Nya 35:10; 31:2; Ezr 6:18Daudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.

Wagershoni

7Wana wa Wagershoni walikuwa wawili:

Ladani na Shimei.

8Wana wa Ladani walikuwa watatu:

Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.

9Wana wa Shimei walikuwa watatu:

Shelomothi,23:9 Yaani Shelomithi; maana yake ni Mpenda amani. Hazieli na Harani.

Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.

10Nao wana wa Shimei walikuwa wanne:

Yahathi, Zina,23:10 Tafsiri zingine zinamwita Ziza. Yeushi na Beria.

11Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.

Wakohathi

1223:12 Mwa 46:11; Kut 6:18-20; 1Nya 6:2Wana wa Kohathi walikuwa wanne:

Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

1323:13 Kut 30:7-10; 28:1; Kum 21:5; Hes 6:23; 16:40; Ebr 5:4; Hes 16:40; 1Sam 2:28Wana wa Amramu walikuwa:

Aroni na Mose.

Aroni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za Bwana, kuhudumu mbele zake na kutamka baraka katika Jina la Bwana milele. 1423:14 Kum 33:1Wana wa Mose mtu wa Mungu walihesabiwa kama sehemu ya kabila la Lawi.

1523:15 Kut 18:4; 2:22Wana wa Mose walikuwa:

Gershomu na Eliezeri.

1623:16 1Nya 26:24-28Wazao wa Gershomu:

Shebueli alikuwa wa kwanza.

17Wazao wa Eliezeri:

Rehabia alikuwa wa kwanza.

Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

18Wana wa Ishari:

Shelomithi alikuwa wa kwanza.

1923:19 1Nya 24:23; 26:31Wana wa Hebroni walikuwa:

Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

20Wana wa Uzieli walikuwa:

Mika wa kwanza na Ishia wa pili.

Wamerari

2123:21 1Nya 6:19; 24:26Wana wa Merari walikuwa:

Mahli na Mushi.

Wana wa Mahli walikuwa:

Eleazari na Kishi.

2223:22 Hes 36:6Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.

2323:23 1Nya 24:30Wana wa Mushi:

Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.

2423:24 Hes 4:3; 10:17-21Hawa walikuwa wazao wa Lawi kwa jamaa zao. Wakuu wa jamaa kama walivyoandikwa kwa majina yao na kuhesabiwa kila mmoja, yaani, wenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia miaka ishirini au zaidi, waliohudumu katika Hekalu la Bwana. 25Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile Bwana, Mungu wa Israeli amewapa watu wake raha na amekuja kuishi Yerusalemu milele, 26Walawi hawahitaji tena kubeba Maskani wala chombo chochote cha utumishi wake.” 27Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi waliohesabiwa ni wale wa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi.

2823:28 Neh 13:9; Mal 3:3Wajibu wa Walawi ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aroni kuhudumu katika Hekalu la Bwana: Kuwa wasimamizi wa nyua, vyumba vya pembeni, kutakasa vyombo vitakatifu na utendaji mwingine wowote katika nyumba ya Mungu. 2923:29 Kut 25:30; Law 2:4-7; 6:20-23; 19:35-36; 1Nya 9:29-32Walikuwa wasimamizi wa mikate iliyowekwa mezani, unga kwa ajili ya sadaka za nafaka, mikate isiyotiwa chachu, uokaji na uchanganyaji, pamoja na vipimo vyote vya wingi na ukubwa. 3023:30 1Nya 9:33; Ufu 5:8-14; 2Nya 31:2; 1Nya 6:31-33; Za 135:1-3; Ufu 14:3Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu Bwana. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni 3123:31 2Fal 4:23; Law 23:4; Kol 2:16; Hes 10:10; Za 81:3; Isa 1:13-14na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa Bwana siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za Bwana mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.

3223:32 Hes 1:53; 1Nya 6:48; Hes 3:6-8; 2Nya 31:2; Eze 44:14Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la Bwana.

Bibelen på hverdagsdansk

1. Krønikebog 23:1-32

Levitternes opgaver

1David var nu en gammel mand, og han indsatte derfor sin søn Salomon som konge over Israel. 2Derefter indkaldte han alle landets stammeledere, præster og levitter til et stort møde. 3Ved den lejlighed optalte man alle mænd over 30 år af Levis stamme, og det blev til 38.000.

4„24.000 af disse mænd skal udføre det normale arbejde ved templet,” beordrede David. „6000 skal forestå det administrative arbejde og fungere som dommere, 54000 skal bevogte tempelområdet, og 4000 skal lovprise Herren med de musikinstrumenter, jeg har ladet fremstille.”

6David inddelte dem i grupper ud fra deres slægtskab med Levis tre sønner, Gershon, Kehat og Merari.

7Gershon-slægten blev opdelt i to afdelinger, som havde navn efter to af Gershons efterkommere, Ladan23,7 Det samme som Libni, jf. 6,17. og Shimi. 8-9De blev igen delt op i ni grupper, hvoraf tre havde navn efter Ladans sønner Jehiel (slægtens overhoved), Zetam og Joel, tre havde navn efter Shimis sønner Shelomit, Haziel og Haran, 10-11og tre havde navn efter Shimis sønner Jahat, Ziza, Jeush og Beria. Jeush’ og Berias slægter blev slået sammen til én gruppe, fordi de begge var forholdsvis små.

12Kehat-slægten blev opdelt i fire afdelinger, som havde navn efter Kehats sønner Amram, Jitzhar, Hebron og Uzziel. 13Amram var far til Moses og Aron. Aron og hans efterkommere var for altid indviet til at være præster, så de kunne arbejde med de hellige ting og ofre brændofre og røgelse til Herren og i det hele taget udføre tjeneste i helligdommen. De skulle også velsigne folket i Herrens navn.

14-15Moses’ efterkommere gennem sønnerne Gershom og Eliezer arbejdede som levitter. 16Shubael var overhoved for de slægter, der stammede fra Gershoms sønner. 17Rehabja, der var Eliezers eneste søn, blev overhoved for de slægter, der stammede fra hans mange sønner.

18Kehats anden søn Jitzhar havde en søn ved navn Shelomit, som blev overhoved for sin slægt. 19Kehats tredje søn Hebron havde fire sønner, Jerija (slægtens overhoved), Amarja, Jahaziel og Jekamam. 20Kehats fjerde søn Uzziel havde to sønner, Mika (slægtens overhoved), og Jisshija.

21Merari-slægten blev opdelt i to afdelinger, som havde navn efter Meraris sønner Mahli og Mushi. Mahli havde to sønner, Eleazar og Kish. 22Elazar havde ingen sønner, og hans døtre blev gift med Kish’ sønner. 23Mushi havde tre sønner: Mahli, Eder og Jeremot.

24Således blev Levis efterkommere omhyggeligt registreret under navnet på deres slægtsoverhoveder. En mand skulle være mindst 20 år for at få lov at arbejde ved templet. 25David sagde: „Nu har Herren, Israels Gud, givet os fred til alle sider. Nu kan han bo i Jerusalem for evigt. 26Så behøver levitterne heller ikke længere bære rundt på Herrens bolig og dens inventar fra sted til sted.”

27Ifølge Davids sidste forordninger var det levitterne fra 20 år og opefter, der skulle gøre tjeneste i templet. 28De skulle hjælpe præsterne med deres tjeneste i templet, og de fik ansvaret for forgårdene og siderummene i tempelbygningen. De skulle rengøre alle de hellige redskaber og i øvrigt udføre alt forefaldende arbejde i templet. 29De skulle også sørge for bagningen af de hellige brød, de usyrnede brød og de brød, der bages på plade, blandet med olivenolie. De skulle endvidere skaffe det særlige mel til afgrødeofrene og sørge for, at alt blev afmålt i de foreskrevne mængder.

30Hver morgen og aften trådte en gruppe levitter frem for Herren for at lovprise ham. 31Andre hjalp til i forbindelse med brændofrene, sabbatsofrene, nymånefesterne og de øvrige højtider. Der var nøje forskrifter for, hvor mange levitter der skulle gøre tjeneste ved de forskellige lejligheder. 32Deres ansvar var at tage sig af de praktiske gøremål ved det hellige rum og åbenbaringsteltet i almindelighed og i det hele taget hjælpe præsterne med deres arbejde.